RUMANYIKA
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 315
- 74
Hayawi hayawi hatimae Dr slaa, G.Lema na Makamanda wengine kufanya mkutano leo hapa KAHAMA. Nipo hapa kahama na nitaendelea kuwajuza kila kinachoendelea. Kwa sasa makamanda wapo vijijini wakitoa dawa na kuanzia saa kumi watakua hapa mjini kahama. Yatakayojiri yatafuata.