Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,555
- 31,876
Hoja hapa Dr.Slaa akichukuwa nchi mfuko wa cement utakuwa Tshs 5.000 ni kweli?Naona wewe ndio una akili za kimasikini unapoambiwa mfuko wa cementi bei itakuwa chini haina maana kila Tom, Dick and Harry wajenge nyumba wao wenyewe. You need to be able to manage income and value of expenditure. Hao technicians mnaowasamehe kodi wamejaza mifuko yenu na dola ndio sababu mnawakumbatia. Tanzania ikitaka kupiga hatua jambo la kwanza ni kufuta matumizi ya dola ndani ya nchi. Che nkapa na JK tangu wameingia madarakani wameweza kuuza nyumba za serikali na sio kujenga wezi wakubwa.
Hayo mambo ya matumizi ya dola siyo hoja kwenye huu uzi kafungue uzi takuja kujadili.