KALYOVATIPI
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 1,414
- 197
Zzk no,safu iko hivi slaa+mbowe+ lisu
Hapo ndo mnapokosea zk ni jembe kuliko unavyo mchumia
Zzk no,safu iko hivi slaa+mbowe+ lisu
Mimi naamini Hawa watu 3 ni utatu mtakatifu wa CHADEMA; wakifanya kazi kwa ushirikiano CCM hawawezi kutamba 2015. watachakazwa vibaya! Ndo maana kuna juhudi za kuwagombanisha! Nawakilisha!
Pata darsa kidogo, litakusaidia kuwaelewa Waislaam:Shekh Yahya aliyekuwa akiwapa majini ya kuwalinda amekwisha kufa, sijui mtafanyaje 2015!
Pata darsa kidogo, litakusaidia kuwaelewa Waislaam:
Qur'an 2:255. Mwenyezi Mungu - hapana mungu ila Yeye Aliye hai, Msimamia mambo yote milele. Hashikwi na usingizi wala kulala. Ni vyake pekee vyote viliomo mbinguni na duniani. Ni nani huyo awezaye kuombea mbele yake bila ya idhini yake? Anayajua yaliyo mbele yao na yaliyo nyuma yao; wala wao hawajui chochote katika vilio katika ujuzi wake, ila kwa atakalo mwenyewe. Enzi yake imetanda mbinguni na duniani; na wala haemewi na kuvilinda hivyo. Na Yeye ndiye aliye juu, na ndiye Mkuu.
unapomtoa zitto unataka umuweke nani sasa??ucwe unacomment ki2 kwa chuki binafsi,kuna nafasi kubwa sana ya zitto ktk chama,Ulipomuweka zitto ndo ulipoharibu thread yako nzuri. Hatutaki wanafiki na tunataka kabla ya 2015 wawe wamejiondoa au wamefukuzwa cdm.
Wewe mwenyewe huelewi,je wawezaje kumwelimisha mwenzako ili hali huyajui uyandikao?Funguka kijana acha njaa.
si ndio wewe ulie sema bila Mbowe CDM ingekuwa history. Usha sahau mapema hivi?
Mfano, CDM wakashinda urais lakini hawakupata kura hata moja Zanzibar, watasema wanakubalika Tanzania?
Teh teh teh. CCM inawagombanisha? kweli wajinga , hawafai kuongoza nchi kama wanaweza kupelekwa pelekwa hivyo wakakubali?
Hivi kumbe ni CCM iliyomwabia ZITTO atangaze nia ya urais 2015?
Nilikuwa sijui, kumbe CCM ndiyo iliyomwabia SLAA, bwana mkeo JOEPHINE akikataliwa kutengeneza mfumo wa fedha wa CDM ukomae hadi kieleweke?
CDM jamani tuambieni sisi makamanda jinsi ambavyo fedha zinazopatikana kwenye harambee, kutoka kwa wahisani wa nje na zile za ruzuku zinavyotumia. Je ni viongozi wote wa CDM wanazifaidi? au huu utatu ni wa kifedha? Samahani kaka yangu ZITTO kwa kukuunganisha humo ni kwa sababu tu umesingiziwa na mleta mada kuwa nawe unatengeneza huu utatu, amefanya hivyo makusudi ili kuonesha kuwa hakuna ubaguzi wa kikabila na udini.
CDM, Makamanda wenzangu acheni hii inami mnayoiamini ya upendeleo wa vyeo ndani ya chama. Niulize kwa mara nyingine tena, hivi urembo ni sifa mojawapo ya mwanamke kupata cheo ndani ya chama chetu? Mbona naona kama hawa akina Kiwelu, Abwao, Lucy, Nyerere wangeweza kufanya shughuli za urembo? Kuna nini hapa na mwenyekiti wenu?
Mara nyingi nasikia sana bungeni maneno haya: "KWANZA KABISA NAPENDA KUMSHUKURU MSEMAJI WA KAMMBI YA UPINZANI KWA KUNIAMINI NA KUNIPA NAFASI HII" ni uaminifu gani huu ambao unakuwa unaongelewa na hawa akina mama?
Ulipomuweka zitto ndo ulipoharibu thread yako nzuri. Hatutaki wanafiki na tunataka kabla ya 2015 wawe wamejiondoa au wamefukuzwa cdm.
Hapo kwenye red tafuta neno jingine la kuandika usiwe mjinga kama wagombea wa CCM!! Neno hilo liliwagharimu wengi waliofananisha hivyo. Kuna mgombea kule kwetu alisema hivyo hivyo yeye akaenda mbali zaidi kwa kusema Kikwete ni Baba, mgombea ubunge ni Mwana na yeye mgombea udiwani ni Roho mtakatifu! Heee mwotto (kama siyo moto) ulimwakia siku ya kura chaaaali!!!
Kwa hiyo na wewe acha kuwa juha!
unapomtoa zitto unataka umuweke nani sasa??ucwe unacomment ki2 kwa chuki binafsi,kuna nafasi kubwa sana ya zitto ktk chama,
Combination hiyo ilikuwa muhimu sana tunapoelekea uchaguzi mkuu,tatizo mbowe na slaa wanaendekeza ukanda.hata hivyo zitto anajimudu,jeshi la mtu mmoja.