Curriculum Specialist
JF-Expert Member
- Oct 8, 2007
- 2,731
- 749
Mimi naamini Hawa watu 3 ni utatu mtakatifu wa CHADEMA; wakifanya kazi kwa ushirikiano CCM hawawezi kutamba 2015. watachakazwa vibaya! Ndo maana kuna juhudi za kuwagombanisha! Nawakilisha
UPDATED
*********************************
Baada ya umoja uliooneshwa na Viongozi wa juu wa CHADEMA kwenye mkutano wa temeke nimeona nijikumbushe post yangu niliyoiweka zamani kidogo! Kama viongozi wetu wataendelea kuonesha taswira hii kwa umma, basi CCM haitakuwa na pakutokea 2015! Nikweli kwamba kwasasa chadema ina national figures wa kutosha, lakini bado watu wanawaangalia MBOWE, SLAA na ZITTO kama watu muhimu kwa taswira ya CHADEMA na umoja wao unajenga taswira chanya ya CHADEMA na kuwaunganisha wananchi kuelekea kwenye mabadiliko ya kweli!
Mungu ibariki CHADEMA!
UPDATED
*********************************
Baada ya umoja uliooneshwa na Viongozi wa juu wa CHADEMA kwenye mkutano wa temeke nimeona nijikumbushe post yangu niliyoiweka zamani kidogo! Kama viongozi wetu wataendelea kuonesha taswira hii kwa umma, basi CCM haitakuwa na pakutokea 2015! Nikweli kwamba kwasasa chadema ina national figures wa kutosha, lakini bado watu wanawaangalia MBOWE, SLAA na ZITTO kama watu muhimu kwa taswira ya CHADEMA na umoja wao unajenga taswira chanya ya CHADEMA na kuwaunganisha wananchi kuelekea kwenye mabadiliko ya kweli!
Mungu ibariki CHADEMA!