Dr Willibrod Slaa
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 675
- 1,523
Maggid,
Thanks a lot. Nisalimie wanangu wote. Nashukuru pia kwa Taarifa ya Mlinzi wangu wa Na.10 "Mr. Simba". I enjoyed the company and hope you all arrived safely. Naamini mjadala wa Katiba utaendelea, kwani ndio kweli hitaji kubwa la nchi kwa sasa kwani mengine yote yana "hinge" kwenye Katiba. Once again thanks a lot kwa wote.
Thanks a lot. Nisalimie wanangu wote. Nashukuru pia kwa Taarifa ya Mlinzi wangu wa Na.10 "Mr. Simba". I enjoyed the company and hope you all arrived safely. Naamini mjadala wa Katiba utaendelea, kwani ndio kweli hitaji kubwa la nchi kwa sasa kwani mengine yote yana "hinge" kwenye Katiba. Once again thanks a lot kwa wote.