G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,555
- 35,880
Katibu mkuu wa Chadema Dr. Willbrod Slaa amebainisha kuwa Edward Lowassa alijieleza mbele ya kamati kuu na akaeleweka vyema.
Aidha Dr. Slaa amewataka wana Chadema na watanzania kwa jumla kuwa wavumilivu kwani wao kama viongozi wa Chadema wanajua wanachokifanya wana uhakika wa100% kushinda uchaguzi mkuu ujao katika ngazi zote kama UKAWA.
Aidha Dr. Slaa amesema kuwa swala la Lowassa kujimuika Chadema pia liliridhiwa na UKAWA kwani kwa sasa ni wamoja na wanashirikiana kwa kila jambo.
Dr. Slaa amesema kuwa mgombea urais wa UKAWA atatangaza rasmi agost 5. Na sasa kila shauri kuhusu mgawanyo wa madaraka UKAWA lipo vizuri
Aidha Dr. Slaa amewataka wana Chadema na watanzania kwa jumla kuwa wavumilivu kwani wao kama viongozi wa Chadema wanajua wanachokifanya wana uhakika wa100% kushinda uchaguzi mkuu ujao katika ngazi zote kama UKAWA.
Aidha Dr. Slaa amesema kuwa swala la Lowassa kujimuika Chadema pia liliridhiwa na UKAWA kwani kwa sasa ni wamoja na wanashirikiana kwa kila jambo.
Dr. Slaa amesema kuwa mgombea urais wa UKAWA atatangaza rasmi agost 5. Na sasa kila shauri kuhusu mgawanyo wa madaraka UKAWA lipo vizuri