Paulo
JF-Expert Member
- Jan 5, 2009
- 350
- 66
Dr. Slaa anahojiwa na tbc taifa kuhusu kupitishwa kwa anna makinda.
Maoni yake ni haya;
Mtangazaji: Unaonaje kupitishwa kwa anna kama spika wa bunge la jamhuri?
Dr. Slaa: Anna makinda anafaa kuwa spika. Pia ni mtu mwenye uzoefu ila kuna wakati anakuwa mwepesi wa jazba na hivyo kutumia nguvu.
Mtangazaji: Nini ujumbe wako kwa wabunge vijana?
Dr. Slaa: Nawaasa wabunge vijana kuepuka kuvutika upande mmoja hasa kipindi hiki cha mwanzo mwanzo.
Pili nawaasa wabunge vijana kutulia na kusoma kanuni vizuri ili wasipigiwe filimbi.
Maoni yake ni haya;
Mtangazaji: Unaonaje kupitishwa kwa anna kama spika wa bunge la jamhuri?
Dr. Slaa: Anna makinda anafaa kuwa spika. Pia ni mtu mwenye uzoefu ila kuna wakati anakuwa mwepesi wa jazba na hivyo kutumia nguvu.
Mtangazaji: Nini ujumbe wako kwa wabunge vijana?
Dr. Slaa: Nawaasa wabunge vijana kuepuka kuvutika upande mmoja hasa kipindi hiki cha mwanzo mwanzo.
Pili nawaasa wabunge vijana kutulia na kusoma kanuni vizuri ili wasipigiwe filimbi.