VIVA vijana nyie ndio tunaowategemea kuleta mabadiliko ktk nchi hii na mko wengi wa kutosha. Pamoja na ukata penye nia pana njia. Maandalizi yenu ni mazuri sana na nawashauri vijana wengine waige mfano wenu. Huyo kamanda wa Jimbo la Mkosamali ndio kioo haswa kwani anajua fika ili chama kishinde kinatakiwa kiwe na mizizi kila mahali kwani mizizi ndio unashikilia shina na matawi. Ushawishi wa nyumba kwa nyumba ni muhimu sana na sera kuu iwe kwa nini CCM hawaitaki Rasimu? Wananchi wakielimishwa vizuri CDM - UKAWA tutashinda chaguzi zijazo tu. Tujitume kwa hali na mali mpaka kieleweke.