chambulilo
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 217
- 38
Sheria inayohusu mikutano inasemaje wadau/ navyofahamu mimi mwisho ni saa12:15 jioni, zaidi ya hapo ni kukamatwa na kufunguliwa mashtaka: vp mbona Dr. Slaa hajakamatwa wakati alihutubia mpaka saa12:45 jion pale katika uwanja wa CDT Kahama!
MUNGU IBARIKI AFRIKA! MUNGU IBARIKI TANZANIA!
MUNGU IBARIKI AFRIKA! MUNGU IBARIKI TANZANIA!