Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,652
akienda lumumba sisi tutaendelea kwan sh ngapi? Huwezi kumlazimisha mtu
Hata ahame nani aende wapi......kura ni kwa UKAWA tu! Tushachoka na miCCM vile
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
akienda lumumba sisi tutaendelea kwan sh ngapi? Huwezi kumlazimisha mtu
Dr slaa ameonyesha uadilifu na uzalendo wa juu
Hakuna aliyejiunga chadema kwa kumfuata Slaa...kama yupo ruksa kuondoka naye...hatutetereki hata asemeje tupo pale pale...LOWASSA My president...Tulimpuuza lipumba sembuse SLAA? Ujio wa lowasa utapunguza kura za ukawa kwa asilimia 6 tu...huku ujio wake huo huo utaongeza kura asilimia 18.
tunajua VATICAN ipo nyuma ya mpango huu...kila kitu tunajua...
Pengo la Dr.Slaa ataliziba Tamwbe Hiza.
msiyempenda kwa ukatoliki wake,kesho anajiunga rasmi CCM.aisee mfumo kristu noma sana....hahahahahahMakamanda msiwe na wasiwasi Mbowe alishasema kafanya utafiti wa kisomi kumleta Lowassa watashinda uchaguzi.
Kwani slaa ni nani aondoke tu sisi vijana wapenda mabadiliko tuta fight kwa kizazi hiki na kijacho. Aende tu na ubinafsi wake kama aliacha kiapo na nadhiri kwa Mungu ndo sembuse kuwageuka Watanzania. Kama ilipangwa uchaguzi wa mwaka uu uwe wa tofauti utakua tu. Kamwe Watanzania haturudi nyuma. Namtakia safari njema na maisha mema
Watz tunamwamini Dr.Slaa na hawezi kuwa sehemu ya wezi na walaghai huku wakijivika mwamvuli Wa ukawa
Chadema kwisha habar
Kama Slaa kanunuliwa na ccm ajabu nini? Mbona chadema imenunuliwa na lowassa na watu wako kimya?
naona team lowassa baada ya kuinunua chadema wanaanza mapambano sasa na chadema asilia.
Hatimaye katibu mkuu wa Cham cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Dr. Wilbrod Slaa ameamua rasmi kuachana na siasa baada ya tafakari ya muda mrefu.
Kesho Slaa anatarajiwa kutangaza uamuzi wake huo ndani ya 'Dar es Salaam Serena hotel' ambao utakuwa ni pigo kubwa kwa vyama vinavyounda UKAWA.
Katika hatua nyingine mwanachama wa CHADEMA anayeamini katika siasa za Dr. Slaa, G Sam ameamua kumuunga mkono kutokana na mizengwe ya uteuzi wa mgombea urais ndani ya chama hicho.
"Nitapiga kura kwa Halima Mdee na mgombea udiwani wa Chadema ila siyo kwa Edward Lowassa" anasema G Sam.
G Sam anamuonea Edward Lowassa kama mgombea dhaifu sana asiyeweza kwenda sambamba na kasi ya chama hicho. Aidha G Sam anakiri kuwa hana tatizo na Edward Lowassa kuhusu mambo ya ufisadi bali ni kutokana na udhaifu unaoonekana waziwazi juu ya mgombea huyo.
Mungu mkuu yuko upande wetu. Amelaaniwa yule amtegemea mwanadamu na kumfanya kuwa kinga yake. Kama ameamua kuondoka mwache aende kwa amani, Mungu mkuu atatutea, na kutupigania mpaka mwisho. Biblia inasema waraka wa kwanza wa Yohana 1 yohana 12:19 "Walipoondoka, walidhirihisha kuwa hawakuwa upande wetu, kama wangekuwa upande wetu wasingeondoka". Kama ataamua kuondoka, itadhihirika kuwa, alikuwa hasimamii maslahi ya Tanzania, labda maslahi mengine. Mungu mkuu yupo upande wetu, Yeye ni zaidi ya binadamu yoyote.
Pengo la Dr.Slaa ataliziba Tamwbe Hiza.
Kamanda kwani wewe ulikuwa unampenda Lowassa, Tabwe Hiza, Sumaye?msiyempenda kwa ukatoliki wake,kesho anajiunga rasmi CCM.aisee mfumo kristu noma sana....hahahahahah
Ni Dr Slaa pekee anayeweza kupewa sifa ya kubadilisha siasa za Tanzania.
Ni Dr Slaa pekee aliyeuingiza upinzani wa kweli na wa kudumu katika jimbo la karatu.Hakuna mfano wa upinzani uliokomaa kama ule wa jimbo la karatu.
Ni Dr Slaa pekee aliyeanzisha siasa za kweli za upinzani ndani ya bunge la Tanzania.Slaa aliisumbua serikali kwa hoja nzito bungeni despite uchache wa wabunge wa upinzani bungeni.
Ni Dr Slaa pekee aliyeweza kuwaeleza wananchi kuhusu ni nani hasa mafisadi na wanaolitafuna Taifa na kulifanya lisiende mbele.
Pengine ni Dr Slaa pekee atakayeamua mustakabali wa nini watanzania wafanye baada ya hii contraversial switch katika siasa za Tanzania.
Dr Slaa ana uwezo wa kusema na kukubalika kwamba mwaka huu ni nani hasa anayeibeba ile ajenda yake ya vita dhidi ya ufisadi.
Wanasema "Be as wise as the enemy you encounter"
Dr Slaa atakuwa wise...na atatupa muelekeo.
Inasikitisha kuona CHADEMA asili nao wamepewa limbwata na kina LAKI si pesa, nao eti 'wanamtukana' Dr. Slaa, kweli?????Vijana wa Lowassa wanamtukana Dr Slaa na vijana wa Chadema asili wanachekelea.Yaan kweli Chadema imenunuliwa na mafisadi na wameimiliki hasa.
Leo hii Laki si Pesa, Jenerali Ambamba na Ocampo Four ndio wanaChadema sanaaa ata kuliko Dr Slaa.