Dr Slaa Kuwa Mgeni Rasmi Mahafali Darasa la Saba Queens' Schools

By default kama inaperform vizuri hadi kupata barua ya pongezi ujue ina connection na kanisa, na sio msikiti.
Kuna msikiti pale Soko la Kilombero Arusha, watoto wa umri huo wanafundishwa Judo na Karate, ukipita jirani unasikia Huu-haaa! Najiuliza hatima ya hao watoto itakuwa nini.
Wakati huo wenzao wako darasani wanakata mapythagoras theorem na schrodinger`s theorem.

Mbavu sina. Nimecheka sana.
 
Ataenda na mke wake rose kamili au hawara ake josephine?mkuu tujuze tafazali

hahahahaha ataenda na maqueens wote hahahaha, si angesilimu tu angepata rukhsa kiisheria kuoa wote hao, halafu mm nahisi anaweza akawa mfataji sunna mzuri sana huyu
 
View attachment 69485 MPAKA CAROLITE naye atakuweko?

soma menu.
416872_376063772472489_1010957465_n.jpg
 
Naifahamu mtoto wangu alisoma pale alifanya vizuri sana. ndio ni ya binafsi na ni English Media. Naupongeza uongozi wa shule hiyo kwa kuwa bold kuweza kumwalika kiongozi wa upinzani kwani wengi ni waoga. Hii inafungua ukurasa mpya wa Tanzania kuwa hata wapinzani pia wanaweza kualikwa kama wageni rasmi maeneo mbalimbali bila woga

Kaka hapa ulitaka kuandika medium, otherwise Dr wa Ukweli anahudhuria mahafali ya shule za Ukweli kwa hadhi yake
 
itakuwa jumapili baada ya kutoka kanisani

Tunapoongea mambo ya elimu huwa mnakuwa ISOLATED kweli kweli, mnaishia kutoa comments za kijinga kwa kuwa hamna cha kuchangia. Ngoja kidogo mkuu nitabandika mada ya kuhusu kula na kufuga mapepo naamini na wewe utachangia, sawa mzee wetu?

Nimeona picha yako ya jana, ni nzuri sana.
 
hahahahaha ataenda na maqueens wote hahahaha, si angesilimu tu angepata rukhsa kiisheria kuoa wote hao, halafu mm nahisi anaweza akawa mfataji sunna mzuri sana huyu

Tunaogopa akisilimu atakosa haya kiasi cha kupanda haya vitoto vya miaka 9. Si unakumbuka vile marehemu alifanya?
 
Nitamshauri msajili wa vyama vya siasa, apige marufuku kwa viongozi wa vyama vya siasa wasio na wadhifa wowote rasmi wa umma, kualikwa kuwa wageni rasmi wa mahafali ya shule za chekechea, msingi na sekondari ili kuwakinga watoto wetu na political indoctrination kwenye siasa. Tena kanuni itasisitiza hata hao viongozi wa siasa wenye utumishi rasmi wa umma, ni marufuku kuhutubia siasa kwenye mahafali zozote za shule ili kuepuka kuzigeuza shule kuwa ulingo wa siasa!.

Katazo hili, sio mahsusi kwa Dr. Slaa bali kwa wanasiasa wote!. Shule zihesabiwe kama nyumba za ibada, iwe ni marufuku kabisa kupiga siasa shule za chekechea, msingi na sekondari, siasa zianzie vyuoni ambako wanafunzi wanaingia wakiwa wameshatimiza majority age of 18!.
utakuwa unataka ku cure mischief ipi
 
Laki nane kwa mwaka! Hiyo itakuwa ni Day School na gharama za usafiri humo hazimo! Dr Slaa, zungumza kidogo kuhusu shule hizi zinavyojenga matabaka ya nguvu ndani ya nchi yetu wenyewe. Hili unalionaje utakapokuwa Rais wetu mwaka 2015?

Ndio ila wana boarding pia
 
st marys ambazo ndio wanaoiba umeme sana haopa nchini,st peter wanaoiba mitihani sana hapa nchini na junior seminary inayotoa mapadre sana hapa nchini ambao wengi kwa sasa ni viongozi wa chadema

nenda kaishi nchi za kiarabu uone walivyokuwa hawana amani na maisha yao kwa sababu ya mfumo islamu ulioshindwa
 
Nitamshauri msajili wa vyama vya siasa, apige marufuku kwa viongozi wa vyama vya siasa wasio na wadhifa wowote rasmi wa umma, kualikwa kuwa wageni rasmi wa mahafali ya shule za chekechea, msingi na sekondari ili kuwakinga watoto wetu na political indoctrination kwenye siasa. Tena kanuni itasisitiza hata hao viongozi wa siasa wenye utumishi rasmi wa umma, ni marufuku kuhutubia siasa kwenye mahafali zozote za shule ili kuepuka kuzigeuza shule kuwa ulingo wa siasa!.

Katazo hili, sio mahsusi kwa Dr. Slaa bali kwa wanasiasa wote!. Shule zihesabiwe kama nyumba za ibada, iwe ni marufuku kabisa kupiga siasa shule za chekechea, msingi na sekondari, siasa zianzie vyuoni ambako wanafunzi wanaingia wakiwa wameshatimiza majority age of 18!.
Ah! Pasco, CCM wanayo idara ya chipukizi kabisa na ina UONGOZI wa KITAIFA! Halafu huko kwenye nyumba za IBADA ndiko nyumbani kwa wanaSIASA siku hizi. Michango yote ya kujenga makanisa, misikiti, hainogi bila kuwepo wanaSIASA wetu. Unaona viongozi wa DINI walivyo na ushawishi kwa wanasiasa wetu. Juzi nilimwona Sheikh mkoa wa Dar, Alhad Musa Salum, akiwa sambamba kabisa na RC wetu, Said Meck Sadiq na DCP Kova wakituliza ghasia za Dar!
 
By default kama inaperform vizuri hadi kupata barua ya pongezi ujue ina connection na kanisa, na sio msikiti.
Kuna msikiti pale Soko la Kilombero Arusha, watoto wa umri huo wanafundishwa Judo na Karate, ukipita jirani unasikia Huu-haaa! Najiuliza hatima ya hao watoto itakuwa nini.
Wakati huo wenzao wako darasani wanakata mapythagoras theorem na schrodinger`s theorem.

Duh nimecheka sana hapo kwenye judo na karate....
On a serious note:Guys let us stop these religious bashes.Adui yetu(common enemy) ni shetani.I mean kwa waumini wa dini lakini.....!
 
Ipo moja ya msikiti kule kigoma inaitwa Jihads na nyingine inaitwa mrubona muslim ss nadhani kama sijakosea hizi huwa zinatusaidia kufungia msitari wa matokeo yaani ni za mwisho kila mwaka huwezi kulinganisha na saints schools
 
Nitamshauri msajili wa vyama vya siasa, apige marufuku kwa viongozi wa vyama vya siasa wasio na wadhifa wowote rasmi wa umma, kualikwa kuwa wageni rasmi wa mahafali ya shule za chekechea, msingi na sekondari ili kuwakinga watoto wetu na political indoctrination kwenye siasa. Tena kanuni itasisitiza hata hao viongozi wa siasa wenye utumishi rasmi wa umma, ni marufuku kuhutubia siasa kwenye mahafali zozote za shule ili kuepuka kuzigeuza shule kuwa ulingo wa siasa!.

Katazo hili, sio mahsusi kwa Dr. Slaa bali kwa wanasiasa wote!. Shule zihesabiwe kama nyumba za ibada, iwe ni marufuku kabisa kupiga siasa shule za chekechea, msingi na sekondari, siasa zianzie vyuoni ambako wanafunzi wanaingia wakiwa wameshatimiza majority age of 18!.

Kweli,
Aanze na CCM yenye idara ya Chipukizi ambao viongozi wao wana umri wa miaka 11 na 12.
-Pia mshauri akataze somo la uraia shule za msingi na sekondari
-Pia apige marufuku viongozi wa dini kuongea masuala hayo
-pia apige marufuku wazazi na walezi kujadili hayo mahumbani au in public
-Apinge mijadala hiyo hata kwenye daladala kukiwa na watoto
Hongera Pasco!
 
Dr Slaa atakuwa mgeni rasmi katika mahafali ya darasa la saba Queens' schools (Nursery and Primary) iliyopo Ukonga Dar es Salaam. Shule hiyo ipo karibia na kituo cha Polisi Sitakishari njia panda ya Segerea kama unatokea maeneo ya Uwanja wa Ndege. Kama unatokea Tabata ukifika Mbuyuni elekea njia ya Airport na ukivuka tu daraja utaona kibao cha Queens, kama unatokea upande mwingine ni kabla hujavuka daraja.

Wananchi wote mnakaribishwa na hasa wale wenye watoto wanaotarajia kujiunga

Dr slaa, ameisha towa ratiba ya mkutano wa hadhara kule (w) Igunga mkoa wa Tabora inamana kairisha? nijuzeni makamanda.
 
Back
Top Bottom