Ilumine
Senior Member
- Dec 27, 2008
- 196
- 4
:israel: Dr. Slaa atafanya press conference na waandishi wa habari kesho siku ya Jumapili. Mahali ni Makao Makuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo. Dr. Slaa amesema sio kawaida yake kuongea mambo ambayo hajafanyia uchunguzi.
Haya tumtegee masikio Shujaa huyu hiyo kesho. Sijajua kama kutakuwa na TV station au redio yoyote itakayorusha Live na pia muda sijajua ni saa ngapi.
Chanzo: BBC Swahili, Dr.Slaa mwenyewe ameongea hilo.
Haya tumtegee masikio Shujaa huyu hiyo kesho. Sijajua kama kutakuwa na TV station au redio yoyote itakayorusha Live na pia muda sijajua ni saa ngapi.
Chanzo: BBC Swahili, Dr.Slaa mwenyewe ameongea hilo.