Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,559
- 1,452
MS anawachezea sana JF mods... sijui ana nguvu gani
The Bad thing ni kwamba watu wana mdekeza sana utakuta Post ya MS ina page zaidi ya 10 na hamna la maana kwa nini Asipuuzwe?
MS anawachezea sana JF mods... sijui ana nguvu gani
i want to know kinachonisaidia ,otherwise ni hadithi za abunuwasi.you will never know until you know
Gaziti mtanzania walishaitoa hii et Dr. Analipwa 12m kwa mwezi,
i want to know kinachonisaidia ,otherwise ni hadithi za abunuwasi.
The Bad thing ni kwamba watu wana mdekeza sana utakuta Post ya MS ina page zaidi ya 10 na hamna la maana kwa nini Asipuuzwe?
ha ha ha ha !!!!!! Analipwa million 12 kwa mwezi sawa na shillingi laki nne kwa siku. Analipwa kutoka hela ya walipa kodi wa nchi gani? Hayo hayanihusu.
HansMaja;1711949[COLOR="#ff0000" said:]Kuna habari[/COLOR] mheshimiwa Dr. W. Slaa anapokea mshahara mkubwa kuliko katibu mkuu yeyote wa chama cha Siasa Tanzania. Kuna ukweli kwenye hili? Sio kwamba napinga - anastahili kwani aliachia jimbo lake kwa maslahi ya chama.
Naomba mod uiondoe hii thread ina lengo la kutuondoa kwenye malengo yetu ya hoja za kujenga taifa,,
Kuna mijitu humu ndani hata haistahili kuitwa magreat thinkers wala nini. Jamaa kauliza swali vizuri, tena kwa staha kabisa, bila kashfa. Watu badala ya kumjibu, wanaanza jazba za kipumbavu, jamani huyo Dr asizungumziwe hata kidogo? Aaagh.... Naona wanazi wa CHADEMA wanaanza kuwa kama CCM B(CUF) sasa!
Uliona kabisa title "mshahara wa mheshimiwa Dr.Slaa" bado ukaja humu kuona nini sasa kama sio umbea?
Si ungebaki kwenye thread za kujenga taifa kama ulikuwa hutaki kujua mshahara wake?
Kuna habari mheshimiwa Dr. W. Slaa anapokea mshahara mkubwa kuliko katibu mkuu yeyote wa chama cha Siasa Tanzania....
Kuna habari mheshimiwa Dr. W. Slaa anapokea mshahara mkubwa kuliko katibu mkuu yeyote wa chama cha Siasa Tanzania. Kuna ukweli kwenye hili? Sio kwamba napinga - anastahili kwani aliachia jimbo lake kwa maslahi ya chama.
Acha kuropoka wewe....
Dr. Slaa mshahara wake unamkaribia CEO wa COCACOLA wa HQ huko USA.
Jamaa analambishwa kitu kama $ 40 Mlns za US kwa mwaka.
Na Makamu wake Zitto, yuko na mshahara sawa na CEO wa MAERSK, huko Denmark.
Mbowe ndiyo achana naye kabisa. Ni sawa na mshahara wa hao wote wawili hapo juu.
Yaani jamaa wanakula mashahara kwa siku, zaidi ya C Ronaldho.
Wenye wivu WAJINYONGE sana. Chadema tesa maana Tanzania yetu, kutesa kwa zamu.
Mh. Mbona haya maneno yamekaa kama SOPHIA SIMBA kayapost humu.