Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
acha kutafuta umaarufu kwa kupitia dr slaa wewe,mshahara wakeunakuhusu nini? Kwanza kaulize wa baba yako jk ndio uambiwe na wa dr.Slaa
Kuna habari mheshimiwa Dr. W. Slaa anapokea mshahara mkubwa kuliko katibu mkuu yeyote wa chama cha Siasa Tanzania. Kuna ukweli kwenye hili? Sio kwamba napinga - anastahili kwani aliachia jimbo lake kwa maslahi ya chama.
Mshahara unaendana na majukumu uliyopangiwa na mwajiri wako na performance yako. Kama una deliver atakuongezea. Win-Win situation.
Nafikiri umeleta roles and reponsibilities za kila mmoja katika chama, achievements. na uwezo wa organization kulipa.
Bila hivyo vitu tutabakia majungu na kutukanana tu hapa.
Kuna habari mheshimiwa Dr. W. Slaa anapokea mshahara mkubwa kuliko katibu mkuu yeyote wa chama cha Siasa Tanzania. Kuna ukweli kwenye hili? Sio kwamba napinga - anastahili kwani aliachia jimbo lake kwa maslahi ya chama.
umejuaje kama si kweli si ulikuwa unataka jibu bwana! Kumbe unajibu lako mkuu!bora wewe umejua swali (hata kama sio kweli,umejibu)
Kuna habari mheshimiwa Dr. W. Slaa anapokea mshahara mkubwa kuliko katibu mkuu yeyote wa chama cha Siasa Tanzania. Kuna ukweli kwenye hili? Sio kwamba napinga - anastahili kwani aliachia jimbo lake kwa maslahi ya chama.
Kuna habari mheshimiwa Dr. W. Slaa anapokea mshahara mkubwa kuliko katibu mkuu yeyote wa chama cha Siasa Tanzania. Kuna ukweli kwenye hili? Sio kwamba napinga - anastahili kwani aliachia jimbo lake kwa maslahi ya chama.
Umenichekesha sana mkuu,ndo maana kumbe ndani ya chadema uki question kitu tu unaonekana msaliti,kwa mtindo huu,....chadema ina jiundia bomu kwa kuamini kuwa ina watu wasaliti kumbe ni waoga wa kuuliza
umejuaje kama si kweli si ulikuwa unataka jibu bwana! Kumbe unajibu lako mkuu!
kama siyo kweli wewe imekusaidia nini?bora wewe umejua swali (hata kama sio kweli,umejibu)
halafu eti unajiita mshabiki wa Chadema, kweli? Kiss my ass!
hapo umenena mkuu ,ndio maana wabunge wa chadema wapo tayari kuchangia mshahara wake.kama ningeambiwa nichangie mshahara wa dr slaa mimi nilikuwa tayari kufanya hivyo. Kwani kwangu kazi nzuri ina thamani kubwa zaidi kuliko fedha.
kama siyo kweli wewe imekusaidia nini?
sure kamanda.well... He deserves every dime they are paying him..
kama anapokea mshahara mkubwa basi anastahili maana ni yeye pekee yake nchi hii mwenye elimu kati ya makatibu wakuu wa vyama vingine!Utumbo mtupu.