Kuna habari mheshimiwa Dr. W. Slaa anapokea mshahara mkubwa kuliko katibu mkuu yeyote wa chama cha Siasa Tanzania. Kuna ukweli kwenye hili? Sio kwamba napinga - anastahili kwani aliachia jimbo lake kwa maslahi ya chama.
Kuna habari mheshimiwa Dr. W. Slaa anapokea mshahara mkubwa kuliko katibu mkuu yeyote wa chama cha Siasa Tanzania. Kuna ukweli kwenye hili? Sio kwamba napinga - anastahili kwani aliachia jimbo lake kwa maslahi ya chama.
mshahara ni siiri ya mtu, nani makubaliano kati ya mfanyakazi na mwajiri wake, sasa wataka kujua ya Slaa yatusaidie nini?
Vitu Personal hivyo kijana funga domo... sasa akilipwa vizuri wewe inakuhusu nini?
Hovyooo.Sasa unamuuliza nani?Kwanini hukudadisi zaidi "huko ulikosikia kuhusu ukubwa wa mshahara wa Dkt Slaa"?Unauliza anapata kiasi gani ili iweje?Unataka kwenda kumpiga kirungu?
Wewe unakuhusu nini, kwani kuna wakurugenze wangapi wanatumia kodi zetu vibaya.
Kuna habari mheshimiwa Dr. W. Slaa anapokea mshahara mkubwa kuliko katibu mkuu yeyote wa chama cha Siasa Tanzania. Kuna ukweli kwenye hili? Sio kwamba napinga - anastahili kwani aliachia jimbo lake kwa maslahi ya chama.
hayo ni majibu ya great thinkers, ....uliza tena!
Nasikia CHADEMA wanaitangaza hiyo nafasi ya ukatibu mkuu. Apply Kama unasifa?
Analipwa kwa dola ($) 67,500 kwa mwezi
Kuna habari mheshimiwa Dr. W. Slaa anapokea mshahara mkubwa kuliko katibu mkuu yeyote wa chama cha Siasa Tanzania. Kuna ukweli kwenye hili? Sio kwamba napinga - anastahili kwani aliachia jimbo lake kwa maslahi ya chama.
Nasikia CHADEMA wanaitangaza hiyo nafasi ya ukatibu mkuu. Apply Kama unasifa?
pamoja sana...yaani Dr.Slaa mimi namtazama kama rais sio mkwere kazi kujichekesha chekesha tu
Hii avatar yako Mkuu, we wacha tu! Poa sana.Vitu Personal hivyo kijana funga domo... sasa akilipwa vizuri wewe inakuhusu nini?