CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,358
- 6,422
Anapendekeza nini, atoe nini kifanyike, vinginevyo ajinyamazie ameshaamua kujitoa mambo ya siasa!Dr. Slaa katema cheche kwa wabunge wa Ukawa na kuwambia wamekosa sifa za kuwa wabunge na kwamba wabunge kukimbia bunge hakusaidii hata kidogo...