Wathubutu waone cha moto na wakiendelea na mikutano tutapita kote kusafisha njia wanapopita
Kwa upuuz ambao wachaga wa chadema wanaufanya naona ni bora niendelee kuwashabikia mafisadi wa ccm kuliko wanafki wanaotumia ruzuku ya chama kujinufaisha
Chadema mnafanya mchezo wa kuigiza, tumestuka.
Zitto ni mzito.
umechoka sasa subiri, tunamfukuza kimtu chenu sooon, ilimuazishe chama chenu au mpanue chauma
Nathubutu kusema na nitaendelea kusema Chadema chama changu sasa kimefika mahali pabaya kinaweza kufa muda wowote. Alipokuwa Dr. Slaa kigoma picha zilikuwa zinachelewa kufika hapa jukwaan kwa kusingizia matatizo ya mtandao wakati za Zito zinatumwa ontime au Kabwe yupo Kigoma ya dubai? siyo aliyoenda Dr Slaa. Nina mashaka na uwezo na kurugenzi ya habari ya chadema na Tumaini Makene wao.
Tunaomba kamati kuu ikiri kuwa imeshindwa mapambano na zito ili wanachama tujue kuliko kurushiana vijembe kwenye mikutano. Tumechoka na ngonjera zenu.
Chadema mnafanya mchezo wa kuigiza, tumestuka.
Napita zangu.......zito yeye ni nani? Hata mimi nina mbunge wangu wa ccm ma Tibaijuka
akija kuongea na wananchi wake lazima nifike bila kukosa, lakini hii hainiondolei kuamini kuwa chadema ndio chama mbadala
cha upinzani. Zito wewe ndo ulinikatia kadi ya uanachama wa chadema katika mkutano wako wa hadhara katika viwanja vya magomeni Kirumba Mwanza tarehe august 15 ,2008.
Lakini bado nina iamini chadema kuliko ninavyo kuamini wewe.
Post yoyote watu wanaanza na matusi, sasa wewe na chama chako hicho doesn't matter ni CDM au CCM, Nchi hiyo unayotaka kubuild unajiita mwanachama damu kwa matusi, ndio nchi unataka kutengeneza kwa matusi?? Afu mnajiita wanamapinduzi bila aibu mnataka kujilinganisha na watu kama Mandela au Nyerere, ni ujinga, ukifikiria deeply unachofanya hakikusaidii, unadhani kwa nini watu wanasema CDM ni chama cha vibaka? Jibu moja kwa moja ni sababu ya MATUSI na fujo, ukiangalia kwa makini viongozi wa CDM hawatukani matusi ya nje nje, ukiitwa mjinga hujatukanwa au mwizi, since ni kweli, ila mnavotoa matusi sijui mamako kawaje, sijui ujinga ujinga gani, how better does that make u? sikutofautishi na yule unayemtukana kukuibia, tena wewe ni worse maana unatukana hadi mama yake ambaye hata hausiki. What a bunch of ignorant