Vikao vya siri vinaonyesha ya kuwa jk amepanga kumchagua slaa kuwa waziri wa nishati na madini iwapo atashinda uchaguzi wake ujao, je na yeye dr slaa akishinda uchaguzi huu ataweza kumchagua jk katika baraza lake ili wafanye kazi pamoja, na nini mitazamo ya wananchi kwa ujumla kuhusu baadhi ya wabunge wa upinzani kuchaguliwa mawaziri?