Dr. Slaa huko Ulaya ni mwanafunzi, mwajiriwa au ni mfanyabiashara?

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,013
144,371
Kwasababu aliwahi kutuambia kuwa alikuwa anakula mihogo, nina maswali yafuatayo kwake.

1.Kutoka kula mihogo mpaka kusoma Ulaya(kama ni mwanafunzi) hii ni hatua kubwa sana na ya kupongeza ila atuambie tu ni nani anagharamia masomo yake/nani alimwezesha?

Itakuwa vizuri zaidi kama atatuonyesha na "admission letter" yenye tarehe zile zile au tarehe zinazokaribia kipindi kile anaondoka nchini.


2.Kama ni mwajiriwa,atuonyesha barua ya kuitwa kazini/kuajiriwa ya tarehe zile zile alizoondoka nchini maana huwezi kwenda kuishi Ulaya ghafla tu kama huna ajira ya kueleweka na kwa hadhi yake hatutarjii alienda Ulaya akitegemea kuishi kwa kazi za vibarua/kazi za kubahatisha/casual labour.

Ikiwezekana atuonyesha na kibali cha kufanya kazi cha tarehe zile zile alizoondoka nchini.

3.Kama ni mfanyabiasha huko Ulaya hivi sasa, tunaomba atueleze ni wapi alipata mtaji wa kwenda kufanya biashara huko Ulaya.

Karibu mh.kwa ufafanuzi.
 
Kwasababu aliwahi kutuambia kuwa alikuwa anakula mihogo nina maswali yafuatayo kwake.

1.Kutoka kula mihogo mpaka kusoma Ulaya(kama ni mwanafunzi) hii ni hatua kubwa sana na ya kupongeza ila atuambie tu ni nani anagharamia masomo yake/nani alimwezesha?

Itakuwa vizuri zaidi kama atatuonyesha na "admission letter" yenye tarehe zile zile au tarehe zinazokaribia kipindi kile anaondoka nchini.


2.Kama ni mwajiriwa,atuonyesha barua ya kuitwa kazini/kuajiriwa ya tarehe zile zile alizoondoka nchini maana huwezi kwenda kuishi Ulaya ghafla tu kama huna ajira ya kueleweka na kwa hadhi yake hatutarjii alienda Ulaya akitegemea kuishi kwa kazi za vibarua/kazi za kubahatisha.

Ikiwezekana atuonyesha na kibali cha kufanya kazi cha tarehe zile zile alizoondoka nchini.

Kama ni mfanyabiasha huko Ulaya hivi sasa, tunaomba atueleze ni wapi alipata mtaji wa kwenda kufanya biashara huko Ulaya.

Karibu mh.kwa ufafanuzi.

Yaani sijakuelewa.......
Akueleze hayo yote kwa minajili gani.....?.....unamdai.....?
Halafu Canada ni America ya Kaskazini........
 
Tetesi zilizopo ni kuwa mke wake anafanya kazi ubalozi wa Tanzania-Canada naye jamaa ikabidi aliunge
 
Canada ni North America, nafikiri kwa sababu asilimia kubwa ya watu wa huko, wanamizizi ya Ulaya ndio maana wanasema hivyo
 
Yaani sijakuelewa.......
Akueleze hayo yote kwa minajili gani.....?.....unamdai.....?
Halafu Canada ni America ya Kaskazini........
Tatizo huwezi kuelewa kwanini kauliza ila kwa muelewa hakutakiwa kuuliza hili swali lako.
 
Back
Top Bottom