huyu Babu SLAA naye ana maadili gani. yaani jitu linakwiba kwiba tu na kuporapora wake za watu halafu lijiite lina maadili?
Kwani kapora wake za watu wangapi?
Kama ni huyo Mushumbusi mbona mahakama ilishamuona hana kosa?!
huyu Babu SLAA naye ana maadili gani. yaani jitu linakwiba kwiba tu na kuporapora wake za watu halafu lijiite lina maadili?
Babu Slaa anaanza kutapatapa. itafika wakati atamheshimu tu ZITTO.
Huyu Zitto tangu akubali kurubuniwa na kisha kuolewa na Mwigulu Nchemba ametufedhehesha sana sisi Waislamu!!!
Oh my! Another minus minus ten! Do you expect to be paid 7,000 with this rubbish? I remind you again, Ok? This is my question: As a member of CCM I would expect you to be joyful on what is now happening within CDM political party, but rather it seems your grieving on what is happening. Is your grieving genuine or hypocrisy?A patriot gives no attention to party issues; pre requisites are the only determinants!!!!!! Process and mechanisms in the due course of attaining pre requisites is left with you guys who are good in playing with words of mouth as a day to day practice!!!! We are just waiting at the mark!!!!!
Wow! A great thinker with the language barrier?kama vijana wa tanzania wako hivi.........acha tu tuibiwe jamaa na kiingereza chake cha ugoko,ametoka nje ya mada anahitaji kiingereza,nifanye basi mimi sijui utafanyaje?acha utoto unaharibu hili jukwaa wewe mama
Its a complete version madam keep focusing!!!!!Specificity lies with your capacity to comprehend lassie!!!!Trial versions are no longer issued!!!!!
Ignorance is ultimately the worst enemy of a people who want to be free. (Jonathan Hennessey)Wa wazi kabisa mchana kweupe mbona,huwezi kumkera mtu hakafu uende kwao na kutoa kauli za kumuhusu na yanaoendelea!!!!!!
Ukimya ndio dawa hapa maana wakichoka kusema watakugusa tu sasa sababu wananchi watakuwa mashahidi wako hapo ndio unamaliza kesi kabisaaaaa!!!!!
Kwani kapora wake za watu wangapi?
Kama ni huyo Mushumbusi mbona mahakama ilishamuona hana kosa?!
mwenzangu waweza jiona unakijua kingereza kumbe hakuna lolote sasa si bora kama umemuelewa kwa lugha aliyo tumia na wewe ujibu kwa lugha yako unayo iweza vizuri? Sasa huku kujifanya na wewe umo ona sasa ulivyo umbuka hadi jf wote wamejua kuwa wewe kwenye hii lugha ya watu ni zero. Kama mungu kakujalia kukielewa shukuru kwa hilo sababu kuna wenzio wamejaliwa kukiongea kuandika na kukisikia na kukielewa kama vipi twanga kisukuma chako mbona nayo ni lugha tu kama hii?
huyu Babu SLAA naye ana maadili gani. yaani jitu linakwiba kwiba tu na kuporapora wake za watu halafu lijiite lina maadili?
Wakiristu wao hawajafedheheshwa? Utakuja kuwa mchawi.Huyu Zitto tangu akubali kurubuniwa na kisha kuolewa na Mwigulu Nchemba ametufedhehesha sana sisi Waislamu!!!
Namshangaa........kwanza kwenye hiyo trip alichokifanya ni kuendeleza mjadala
Bora alivyofukuzwa upadri angejirekibisha lakini akawa kama ayelaaniwa akaanza kubobea kwenye uzinifu eti sasa anahubiri maadili.Yaani Slaa anamnyooshea kidole ZZK eti hana maadili? Mungu wangu mtu aliyefukuzwa UPADRI? kweli kiboko!
huyu Babu SLAA naye ana maadili gani. yaani jitu linakwiba kwiba tu na kuporapora wake za watu halafu lijiite lina maadili?
mapovu ya nini sasa , si ulete ushahidi !Yaani Slaa anamnyooshea kidole ZZK eti hana maadili? Mungu wangu mtu aliyefukuzwa UPADRI? kweli kiboko!
Pilipili usio ila yakuwashiani?
Dr. Slaa alisema jana kwenye moja ya mikutano yake huko Kigoma kuwa Chedama haikumuondosha Zitto Kabwe kwenye uongozi wa Chadema kutokana na matamko yake ila ni kwa sababu ya maadili yake alisema hivyo bila ya kufafanua.
Chanzo: Star TV