Dr. Slaa: Daftari la wapiga kura liboreshwe kabla ya kura ya maoni!

Huyu mzee anadhani serikali inafanya kazi kwa remote kutoka ufipa? Aache kelele zake za chura. By the way next election chama cha upinzani kitakuwa either Nccr au Cuf kwahiyo ngebe zao zitakwisha.
 
Hiyo haiwezi kuwa sababu kwa sasa, kuna mambo ambayo lazima nayeye awe mkweli, kwa sababu moja ya ahadi endapo Slaa angekuwa ''raisi'' 2010 ilikuwa ni katiba mpya ndani ya siku mia moja za mwazo za ''utawala'' wake.Naamni isingetekelezeka na hata daftari asingeweza kurekebisha. Kila mtu anataka Katiba mpya lakini sipendi jinsi wanaiasa wanavyojimilikisha Katiba ya nchi, mimi ninaamini wananchi walio na wanachama wa vyama vya siasa ni wachache ukilinganisha na wasio vyama...........sasakitka CCM,CDM,NCCR nk wakagoma kushiriki upigaji kura waache tu sababu pia sio watu wote kwenye daftari hupiga kura.Hoja hapa tufuate uaratibu pia nchi haiwezi kueeshwa kwa kumridhisha kila mtu.

Slaa hoja hana kabisa kaanza kubabaika masuala ya gongo na sasa anakuja kuleta kelele zake za chura huku.
 
Wewe uliona sababu zake na kukimbilia kuanzisha uzi .Hukuona haja ya mantiki ya alichosema.Ni kwanini serikali haitaki kuboresha Daftari hilo?

Mkuu Ben; Kwa kupitia ile Sheria tu uwezekano wa kila raia mtanzania mwenye Umri wa miaka 18 kushiriki kura ya maoni bila Urasimu ulikuwapo lakini kwa sababu wanataka WanaCCM wasiozidi Milioni mbili tu ndiyo washiriki na kuamua kwa niaba ya 30 milioni ya watanzania.

Mwanzo Kabisa mimi nilikuwa na Maoni haya kupitia Thread hii;Na jambo hili lisingehitaji Marekebisho ya Daftari ya Mpiga kura yenye kuhitaji Gharama na Muda!


The referendum act, 2013-hatua moja kwenda katiba mpya:



Suala la Referendum ni haki ya kila Mtanzania over 18yrs old na si vinginevyo.kwa hiyo kifungu chochote kinacho mbagua Mtanzania kwenye zoezi ya Kura ya maoni kwa kisa eti hana Kadi ya Kupigia Kura ni batili na ya kibaguzi tena mkubwa.

Kwanza Daftari hili ya wapiga kura miaka nenda rudi limekuwa sehemu ya Mgogoro kila uchaguzi unapofika leo hii bila aibu na kwa zoezi muhimu kama hili la kura ya Maoni Serikali inataka kulifanya kuwa Rejea muhimu ,mwenendo huu si sawa hata kidogo.

Register of voters Cap. 343 and Act No. 11 of 1984

8. The register of voters established under the National Elections Act or the Zanzibar Elections Act shall be the register of voters for the purpose of the referendum


Right to vote and evidence of identity
9.-(1) A registered voter in a particular constituency is entitled to vote at the referendum unless he is otherwise disqualified from voting by any other written law.

(2) A referendum officer shall require a person applying for a ballot paper to produce the voter’s card issued by the Commission or such other proof of his identity as a director of election may for the time being, direct to be sufficient proof of identity of the person claiming to be entitled to vote.



Mimi na maoni tofauti kwenye eneo hili kama kweli kunadhamira na nia njema ya kujenga Nchi hii.Na hasa Waheshimiwa Wabunge acheni utamaduni wa Ndiyooooooooooooooooo!panapo masilahi pana ya Nchi.
Maoni yangu ambayo naamini wataalamu wanaweza kusaidia kuiweka sawa.



8.(1) The register of voters established under the National Elections Act or the Zanzibar Elections Act shall be the register of voters for the purpose of the Referendum; and


(2) Without discrimination for right to vote for referendum any Citizen of United Republic of Tanzania above eighteen years (18 yrs) old shall have the right and shall be allowed to vote if he/she so register as per section 19 (f) and produce to referendum officer his/her valid citizenship identification card or any other sufficient proof as per section 9;(2,3)of this act.
Right to vote and evidence of identity



9.-(1) A registered voter in a particular constituency is entitled to vote at the referendum unless he is otherwise disqualified by this act from voting.


(2) A referendum officer shall require a person applying for a ballot paper to produce the voter’s card issued by the Commission or such other proof of his identity as a director of election may for the time being, direct to be sufficient proof of identity of the person claiming to be entitled to vote.

(3) what is so referred to be sufficient identity shall be original document of the follows identification;
(a) any of Tanzanian Travel document;
(b) birth certificate ;

(c) national card;
(d) voter card issued by the Commission; and
(e) any affidavit of Tanzanian citizenship sign by Primary Court Magistrate and witness by Ward Executive Officer of the respective person.

Admission to polling stations
19.-(1) The referendum officer shall regulate the number of voters to be admitted to a polling station at one time, and shall exclude all other persons except-
(a) commissioners or officers on duty of the Commission;
(b) police officers or any other person responsible for security;
(c) persons necessarily assisting blind or incapacitated voters;
(d) agents registered by the Commission;
(e) accredited observers and representatives of the print and electronic media approved or accredited by the Commission; and
(f) Any other voter so registered to a polling station three days before the referendum Voting.





Naunga Mkono msisimamo wa CDM kupitia Katibu Mkuu.
 
Hatutaki maboresho ya zimamoto kama 2010 tunataka muda wa kutosha.ujanjaujanja wa maccm haunanafasi.
 
Bwana Chongs, ukatibu mwenezi hauendi kwa njia hiii, huu sio ukatibu uenezi huu sijui hata tuuiteje sasa, Isomwe na @mhomaedi Mtoi
 
Kwani Chadema isipo shiriki inamadhara gani kwa raia maskin,tena ikiwezekana wajitoe katika siasa za Tz
 
Dr.Slaa, ni mwanasiasa ambaye hadumu kwenye misimamo yake. Dr.Slaa huyu huyu alisema alishinda uchaguzi 2010 ila CCM kupitia usalama wa taifa wakabadili matokeo, Dr.Slaa huyu huyu akaja kubadilika na kusema Nusu ya usalama wa Taifa wanamsapoti yeye hivyo huwa wanaripoti kwake kila kinachoendelea. Kumwamini Dr.Slaa ni kuchezea kamari na maisha yako.
 
Dr.Slaa, ni mwanasiasa ambaye hadumu kwenye misimamo yake. Dr.Slaa huyu huyu alisema alishinda uchaguzi 2010 ila CCM kupitia usalama wa taifa wakabadili matokeo, Dr.Slaa huyu huyu akaja kubadilika na kusema Nusu ya usalama wa Taifa wanamsapoti yeye hivyo huwa wanaripoti kwake kila kinachoendelea. Kumwamini Dr.Slaa ni kuchezea kamari na maisha yako.
Mkuu pia kama alishinda uchaguzi CCM ikampora asie na wasiasi kwani wapiga kura wengi waliosajiliwa wanampenda na watapigia kura mapendekezo ya CDM asiwe na wasiwasi, aache kutokwa povu
 
vijana wa lumumba mmejivua ubinadamu kabisa sasa mnafikiri kwa kutumia sijui masabuli hivi hizo ni hoja muhimu au sio hoja muhimu?ritz sixgater lizaboni tumieni vichwa kufikiri si kufuga nywele
 
Serikali inatakiwa iweke utaratibu wa kuboresha daftari la wapiga kura walau mara moja baada miezi mitatu ili kuwawezesha wananchi kupiga kura wakati wowote hasa kwenye chaguzi ndogo za.ubunge na udiwani

Mkuu utaratibu huo ni rahisi iwapo serikali itaunganisha mifumo yote ya utambuzi ya mtu, mfano..vizazi na vifo, Nida, NEC, Immagration(Passport) na TIN kutakuwa hakuna haja ya kurekebisha maana mtu akifa anapewa death certificate and all systems zinakuwa updated automatical kuwa huyu mtu amekufa, na wale wenye Umri wa 18 systems automatically inawatambua kama wapiga kura halali
 
Hivi ni lini serikali imetangaza halitarekebisha daftari la wapiga kura? Aliesikia hilo tangazo atujuze.
Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi aliongea hilo. Anadai muda uliobaki ni mfupi kufanya maboresho kwenye daftari la wapiga kura. Wakati mswada unapitishwa serikali hii hii iliahidi kutafanyika maboresho ya daftari hilo. Aidha Wazanzibar wenye matatizo na ID za ukaazi walitakiwa kujisajili na NEC kwa ajili ya kuwawezesha kupiga kura za maoni.
 
Wewe uliona sababu zake na kukimbilia kuanzisha uzi .Hukuona haja ya mantiki ya alichosema.Ni kwanini serikali haitaki kuboresha Daftari hilo?

Tofauti na kazi ya kubeba sumu, tindikali na kushambulia mtu anayeonekana kuwa mawazo tofauti na CDM una kazi nyingine inayokuingizia kipato?

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
 
Wanaukumbi.

Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Dr.Slaa kasema kuwa chama chake hakitashiriki kura ya maoni ya katiba bila daftali la kupigia kura kuboreshwa, wala hatutaingia katika zoezi hilo bila kuondolewa wapiga kura hewa ndani ya daftari na kuingizwa wapiga kura wapya waliofikisha miaka 18. ikiwa ni pamoja na waliochwa mwaka 2010 kwa sababu mbalimbali.

SOURCE; MAWIO

My Take.....

Dr.Slaa mbona unaanza visingizio mapema wakati ulipokuwa unazunguka na Chopa kukusanya maoni ya katiba haukuyajua haya.

Dr.Slaa wewe ulisema Uchaguzi Mkuu uliyopita mwaka 2010 ulishinda usalama wa taifa wakakuibia kura zako leo tena unaanza kulalamika, Dr.Slaa mlipokwenda Ikulu na wenzako kuonana na rais Kikwete mbona haukayasema haya unasema leo.

kwa kuwa KATIBA ni ya watanzania wote,ni vyema wale waliofikisha umri wa kupiga kura nao wapate nafasi hiyo,kwani umri ni endelevu na ni vyema kwa wale ambao umri wao sasa ni miaka 18 na hawakuwepo ktk daftari wapewe nafasi hiyo.
ama unaonaje?
 
NEC na CCM Wameanza chenga zao.

NEC kaeni na Vyama vyote vya SIASA na ijulikane ni shs ngapi zinatakiwa ili pesa zipatikane kwa Harambee

Wananchi tupo Tayari kuchangia ili kupata Demokrasia kamili, Tume huru ni lazima

Kituo cha Demokrasia na Kituo cha haki za binadamu angalieni hili
 
niko tayari kuchangia kiasi kikubwa cha pesa ili kuwezesha uboreshaji wa daftari , ADUI WA KWANZA WA DEMOKRASIA NCHI HII NI HILO DUDU LINALOITWA TUME YA UCHAGUZI .
 
Back
Top Bottom