Hiyo haiwezi kuwa sababu kwa sasa, kuna mambo ambayo lazima nayeye awe mkweli, kwa sababu moja ya ahadi endapo Slaa angekuwa ''raisi'' 2010 ilikuwa ni katiba mpya ndani ya siku mia moja za mwazo za ''utawala'' wake.Naamni isingetekelezeka na hata daftari asingeweza kurekebisha. Kila mtu anataka Katiba mpya lakini sipendi jinsi wanaiasa wanavyojimilikisha Katiba ya nchi, mimi ninaamini wananchi walio na wanachama wa vyama vya siasa ni wachache ukilinganisha na wasio vyama...........sasakitka CCM,CDM,NCCR nk wakagoma kushiriki upigaji kura waache tu sababu pia sio watu wote kwenye daftari hupiga kura.Hoja hapa tufuate uaratibu pia nchi haiwezi kueeshwa kwa kumridhisha kila mtu.
Wewe uliona sababu zake na kukimbilia kuanzisha uzi .Hukuona haja ya mantiki ya alichosema.Ni kwanini serikali haitaki kuboresha Daftari hilo?
The referendum act, 2013-hatua moja kwenda katiba mpya:
Suala la Referendum ni haki ya kila Mtanzania over 18yrs old na si vinginevyo.kwa hiyo kifungu chochote kinacho mbagua Mtanzania kwenye zoezi ya Kura ya maoni kwa kisa eti hana Kadi ya Kupigia Kura ni batili na ya kibaguzi tena mkubwa.
Kwanza Daftari hili ya wapiga kura miaka nenda rudi limekuwa sehemu ya Mgogoro kila uchaguzi unapofika leo hii bila aibu na kwa zoezi muhimu kama hili la kura ya Maoni Serikali inataka kulifanya kuwa Rejea muhimu ,mwenendo huu si sawa hata kidogo.
Register of voters Cap. 343 and Act No. 11 of 1984
8. The register of voters established under the National Elections Act or the Zanzibar Elections Act shall be the register of voters for the purpose of the referendum
Right to vote and evidence of identity
9.-(1) A registered voter in a particular constituency is entitled to vote at the referendum unless he is otherwise disqualified from voting by any other written law.
(2) A referendum officer shall require a person applying for a ballot paper to produce the voters card issued by the Commission or such other proof of his identity as a director of election may for the time being, direct to be sufficient proof of identity of the person claiming to be entitled to vote.
Mimi na maoni tofauti kwenye eneo hili kama kweli kunadhamira na nia njema ya kujenga Nchi hii.Na hasa Waheshimiwa Wabunge acheni utamaduni wa Ndiyooooooooooooooooo!panapo masilahi pana ya Nchi.
Maoni yangu ambayo naamini wataalamu wanaweza kusaidia kuiweka sawa.
8.(1) The register of voters established under the National Elections Act or the Zanzibar Elections Act shall be the register of voters for the purpose of the Referendum; and
(2) Without discrimination for right to vote for referendum any Citizen of United Republic of Tanzania above eighteen years (18 yrs) old shall have the right and shall be allowed to vote if he/she so register as per section 19 (f) and produce to referendum officer his/her valid citizenship identification card or any other sufficient proof as per section 9;(2,3)of this act.
Right to vote and evidence of identity
9.-(1) A registered voter in a particular constituency is entitled to vote at the referendum unless he is otherwise disqualified by this act from voting.
(2) A referendum officer shall require a person applying for a ballot paper to produce the voters card issued by the Commission or such other proof of his identity as a director of election may for the time being, direct to be sufficient proof of identity of the person claiming to be entitled to vote.
(3) what is so referred to be sufficient identity shall be original document of the follows identification;
(a) any of Tanzanian Travel document;
(b) birth certificate ;
(c) national card;
(d) voter card issued by the Commission; and
(e) any affidavit of Tanzanian citizenship sign by Primary Court Magistrate and witness by Ward Executive Officer of the respective person.
Admission to polling stations
19.-(1) The referendum officer shall regulate the number of voters to be admitted to a polling station at one time, and shall exclude all other persons except-
(a) commissioners or officers on duty of the Commission;
(b) police officers or any other person responsible for security;
(c) persons necessarily assisting blind or incapacitated voters;
(d) agents registered by the Commission;
(e) accredited observers and representatives of the print and electronic media approved or accredited by the Commission; and
(f) Any other voter so registered to a polling station three days before the referendum Voting.
Sisi masikini ndiyo wapiga kura na ndiyo tunaomchagua rais.
Mkuu pia kama alishinda uchaguzi CCM ikampora asie na wasiasi kwani wapiga kura wengi waliosajiliwa wanampenda na watapigia kura mapendekezo ya CDM asiwe na wasiwasi, aache kutokwa povuDr.Slaa, ni mwanasiasa ambaye hadumu kwenye misimamo yake. Dr.Slaa huyu huyu alisema alishinda uchaguzi 2010 ila CCM kupitia usalama wa taifa wakabadili matokeo, Dr.Slaa huyu huyu akaja kubadilika na kusema Nusu ya usalama wa Taifa wanamsapoti yeye hivyo huwa wanaripoti kwake kila kinachoendelea. Kumwamini Dr.Slaa ni kuchezea kamari na maisha yako.
Serikali inatakiwa iweke utaratibu wa kuboresha daftari la wapiga kura walau mara moja baada miezi mitatu ili kuwawezesha wananchi kupiga kura wakati wowote hasa kwenye chaguzi ndogo za.ubunge na udiwani
Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi aliongea hilo. Anadai muda uliobaki ni mfupi kufanya maboresho kwenye daftari la wapiga kura. Wakati mswada unapitishwa serikali hii hii iliahidi kutafanyika maboresho ya daftari hilo. Aidha Wazanzibar wenye matatizo na ID za ukaazi walitakiwa kujisajili na NEC kwa ajili ya kuwawezesha kupiga kura za maoni.Hivi ni lini serikali imetangaza halitarekebisha daftari la wapiga kura? Aliesikia hilo tangazo atujuze.
Wasiposhiriki itakuwa poa sana.
Wewe uliona sababu zake na kukimbilia kuanzisha uzi .Hukuona haja ya mantiki ya alichosema.Ni kwanini serikali haitaki kuboresha Daftari hilo?
Wanaukumbi.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Dr.Slaa kasema kuwa chama chake hakitashiriki kura ya maoni ya katiba bila daftali la kupigia kura kuboreshwa, wala hatutaingia katika zoezi hilo bila kuondolewa wapiga kura hewa ndani ya daftari na kuingizwa wapiga kura wapya waliofikisha miaka 18. ikiwa ni pamoja na waliochwa mwaka 2010 kwa sababu mbalimbali.
SOURCE; MAWIO
My Take.....
Dr.Slaa mbona unaanza visingizio mapema wakati ulipokuwa unazunguka na Chopa kukusanya maoni ya katiba haukuyajua haya.
Dr.Slaa wewe ulisema Uchaguzi Mkuu uliyopita mwaka 2010 ulishinda usalama wa taifa wakakuibia kura zako leo tena unaanza kulalamika, Dr.Slaa mlipokwenda Ikulu na wenzako kuonana na rais Kikwete mbona haukayasema haya unasema leo.