Elections 2010 Dr. Slaa awe kiongozi mkuu wa Chadema kuelekea Uchaguzi Mkuu?

Mzee Mwanakijiji,
Mkuu ktk kujibu swali lako kama ndivyo imetokea, basi hapo chama kitakuwa kimekosea. Dr. Slaa ndiye anachagua team ya kampeni yake X ktk kuwania kiti cha Urais na mara nyingi chama hujihusisha na team Y ktk kampeni za Wabunge zaidi hivyo kuunganisha nguvu zote mbili inapotakiwa..

Navyojua mimi rais Mtarajiwa huachwa huru akatumia vision, ubunifu na uwezo wake wa kushawishi ktk kuongoza huku chama kikiwa nyuma yake kwa ushauri na kumpa tafu, lakini sio kumwambia afanye nini au afuate nini kwani ni sera na ilani yake aloiuza kwa wajumbe na wanachama dhidi ya viongozi wengine hivyo akaweza kuuzika ndani ya chama kuliko wengine wote na sababu hii ndiyo inayobeba nguvu yote ya uchaguzi mzima.

Kwa hiyo inategemea kama nimeelewa swali hapa. nachokataa mimi ni Dr. Slaa kuwa mwenyekiti wa chama...Kwani Obama hajawahi kuwa mwenyekiti wa chama, mwenyekiti ni Tim Kaine baada ya H. Dean mwaka 2009.
 
kwa mfano, Dr. Slaa anataka x na timu yake aliyoiunda inataka x lakini Uongozi mwigine wa chama unasema unataka "y" na Mwenyekiti anataka "y" Dr. Slaa afanye kile wanachotaka viongozi wa juu wa chama au kile ambacho anajua ni bora kwa kampeni ya Urais na kinachofaa kuelekea kupata ushindi? Kama akisema "nitafanya "x" je uongozi wa chama uko tayari kusupport maamuzi yake au utagawanyika kwa sababu Mwenyekiti alikuwa anataka "y" na watu wake nao walikuwa wanataka "y"?
We are talking on speculations of the unknown party 'Z' which is not Chadema. The Chadema leadership i know is now united and stronger than ever, there is a presidential campaign team I think under Prof. Baregu known as NGOME includes all big fishes of Chadema and they are working together under a strategic leadership of Mbowe.
 
Mwanakiji labda nikuulize swali what makes you suspect Dr. Slaa si kiongozi mkuu wa CHADEMA kuelekeauchaguzi mkuu? As of now nini unakiona CHADEMA kinachoashira kwamba Dr. Slaa is not on the steering wheel as far as uchaguzi is concerned??
 
Duh jamani ndio maana kwa makusudi nimekwepa kusema Dr. Slaa awe "Mwenyekiti" wa Chadema.



Thats what I A M SAYING.



ndicho ninachoitisha; je Mbowe, Zitto na viongozi wengine wa Chadema wako tayari kusimama nyuma ya flag bearer? Au wanaweza kumoverule wakati wa kampeni.
Mwanakijiji,
The fact that Zitto and Mbowe supported Dr Slaa for the presidency should answer your worries whether they are ready to stand behind the flag bearer. My off the head answer is a resounding yes!
 
jamani sijasema Dr. Slaa awe Mwenyekiti na Mgombea wa Urais!!!! Hii lugha mbona ni ya Kiswahili?

umeongea nini sasa ?,wewe unajuaje kuwa Slaa haongozi kampeni?Mfano wa Obama umechemka sana wao wana kampeni meneja ndio anakuwa kiongozi mkuu wa mbinu za kampeni.
Yaani ushauri wako siku zote kama unachanganya na sumu kidogo ?Hushangai kuwaambia watu kuwa soma vizuri lugha kuwa kiswahili hakufanyi kusiwe na communication break down.

Haya maneno yako
"Mojawapo ya faida alizonazo mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM kuelekea uchaguzi mkuu ukiondoa kuwa yeye ni Rais ni ukweli kwamba yeye pia ni Mwenyekiti wa Taifa wa CCM. Hivyo, licha ya kwamba ni mgombea wa Urais aliyesimamishwa na chama Rais Kikwete vile vile ana ujiko na nguvu nyingine ya kutoa uelekezi kwenye chama kama Mwenyekiti wa chama. Ukweli huu vile vile unamhusu mgombea wa Urais kwa tiketi ya CUF Prof. Ibrahim Lipumba ambaye naye ni Mwenyekiti wa chama chake."
Sasa maneno kama haya ya ku back up ushauri kuwa Slaa awe kiongozi mkuu wa kampeni au mkiti?,maana kampeni kuongoza si lazima uwe mwenyekiti wa chama kama ilivyokuwa kwa Obama.

Wanao kuambia hivi unasema wakusome vizuri ,mimi nasema wewe uandike vizuri may be kichwa chako kinavyosoma uliyoandika kinavyoelewa unataka na wote waelewe hivyo.
 
MMJ,
Kwanza naomba radhi kwa kutokuwa jamvini muda mrefu baada ya tatizo la mkono, ikiwa ni pamoja na kuwa mizunguko na mikutano mbalimbali inayotokana na jukumu kubwa lililoko mbele yetu. Napenda kuwashukuru wana JF wote kwa kunipa pole kwa njia mbalimbali nilipopata ajali ya kuteleza nikitoka bafuni, pale hoteli ya Nyumbani, jijini Mwanza. namshukuru Mwenyezi Mungu niliweza kuendelea na shughuli pamoja na kuwa mkono ulivunjika. Nawashukuru sana waganga na wauguzi wote walionihudumia kwa upendo mkubwa.

Kuhusu mjadala unaoendelea, ningependa pia kuwarejesha kwa model ya NPP ya Ghana ambapo RAIS siyo lazima awe Mwenyekiti wa Chama
a) kwanza mgawanyo wa kofia mbili pamoja na kuwa na athari zilizoelezwa na MMJ na wengine unaleta check and balance kama chama husika ni democratic internally.
b) chama ndio chenye sera na ilani inapaswa kutengenezwa na chama kwa kumshirikisha kikamilifu mbeba bendera. dhana hiyo ikiwa wazi ni dhahiri hakutakuwa na conflict. personal differrences baada ya maridhiano ya kisiasa yanapaswa kukoma makubaliano yanapofikiwa. ndiyo maana ya chama cha siasa vinginevyo inabaki tu kuwa genge la watu wenye malengo yanayotofautiana iwapo kila mmoja atataka kuendeleza matakwa yake.
c) Kwa mfumo wa NPP ya Ghana mwenyekiti wa chama hushiriki vikao mbalimbali vya Serikali ikiwemo Baraza la Mawaziri kufuatilia sera na ilani inavyotekel;ezwa na Serikali ya chama chake lakini hana kauli wala mamlaka ndani ya vikao hivyo. serikali, regularly inatoa taarifa kwa vikao vya chama kuhusu utekelezaji wa sera na ilani hiyo. Hapa ni swala la check and balance na si swala la kugombania madaraka. Katika hali ya ccm mathalan vikao vinavyotengeneza na kupitishaera na ilani Rais ni mwenyekiti na rais ndiye anatekeleza lakini taarifa ya utekelezaji inatolewa kwa vikao ambavyo RAIS pia ni mwenyekiti.Pamoja na kuwa mfumo huo unaondoa au kuepuka migongano lakini haijengi mardhiano ndani ya chama cha siasa.
hivyo, ni vema tukitazama pros and cons ya schools of thoughts zilizoko, advantages and disadvantages ya kila mfumo. ni wazi kuna weza kuwa na flows katika kila mfumo muhimu ni kuona mizani imeegemea wapi zaidi. Sipendi kufunga mjadala unaoendelea bali nina nia ya kuleta tu changamoto zaidi.
 
Kila kukicha naona MMKJ anatafuata kosa CHADEMA. Ukiwa na nia ya kutafuta kosa utalipata. Lakini ni wakati wa kutafuta makosa kweli? Mbona huzingatii kutangaza makosa na uozo wa CCM na badala yake unaisakama CHADEMA tu?

Ila Mag3 amempa MMKJ sababu za kutosha kuonyesha kuna hata uongo kwenye hii mada. Mwinyi kagombea wakati Mwalimu ndiye Mwenyekiti. Mkapa kagombea wakati Mwenyekiti ni Mwinyi. Na JK kagombea chini ya uenyekiti wa Mkapa. Na wala sio lazima tuwe kama CCM.

MMKJ, unatumia hata mifano isiyo sahihi ili kuidhoofisha CHADEMA? Naamini sasa nia yako ni kuhakikisha CCM inabaki na Urais. You don't say it, but you are working consistently towards achieving it. Ila naamini hutafaulu.

If I sound disappointed with your tactics its because I am.
 
Kwa hiyo inategemea kama nimeelewa swali hapa. nachokataa mimi ni Dr. Slaa kuwa mwenyekiti wa chama...Kwani Obama hajawahi kuwa mwenyekiti wa chama, mwenyekiti ni Tim Kaine baada ya H. Dean mwaka 2009.

nimekupata lakini sikutoa pendekezo hilo. Nimesomeka vibaya tu.. si unajua tena siye wa bara bwana hii lugha wakati mwingine..
 
Mwanakiji labda nikuulize swali what makes you suspect Dr. Slaa si kiongozi mkuu wa CHADEMA kuelekeauchaguzi mkuu? As of now nini unakiona CHADEMA kinachoashira kwamba Dr. Slaa is not on the steering wheel as far as uchaguzi is concerned??

nikilijibu swali hili nitawekwa katika uwanja na kuanza kutupiwa mawe. I plead the Fifth!.
 
We are talking on speculations of the unknown party 'Z' which is not Chadema. The Chadema leadership i know is now united and stronger than ever, there is a presidential campaign team I think under Prof. Baregu known as NGOME includes all big fishes of Chadema and they are working together under a strategic leadership of Mbowe.

well angalau umesema vizuri. I agree.
 
Hata wafanyeje CCM watafunika tu....

Nimeshasema huko nyuma kuwa CCM is a juggernaut. Haiwezi kuanguka mwaka huu, 2015, 2020, au hata 2025. Yahifadhini haya maneno yangu ikiwezekana myawekee sticky nyinyi akina Invisible, Silencer, Painkiller, etc.





usiwe rigid; nchi nyingine zilizofanya mabadiliko yasiyotarajiwa zinatofauti gani na tanzania?- zambia, malawi, kenya, nk
kinachotakiwa ni watanzania kuwezeshwa ili waachane na tabia ya kuhongwa kwa nguo, kofia na pombe...
 
usiwe rigid; nchi nyingine zilizofanya mabadiliko yasiyotarajiwa zinatofauti gani na tanzania?- zambia, malawi, kenya, nk
kinachotakiwa ni watanzania kuwezeshwa ili waachane na tabia ya kuhongwa kwa nguo, kofia na pombe...

Kwa Tanzania inawezekana kutawala milele kwa kuchakachua kura.
 
Back
Top Bottom