Dr. Slaa awataka Watanzania wakumbuke asili ya walikotoka, ashiriki siku ya Utamaduni wa Wairaki!

Kwamba katibu mkuu mstaafu.. . Dr wilbroad silaa.
Siyo balozi mwandamizi tena. wa scandnevia.....,
 
Wairaqwi asili ni Ethiopia and before ni Mesopotamia Iraq and before kabisa all human are from Africa so atulie
 
Huyu mzee toka imejiengua kwenye kile chama na genge lake lenye wasomi kama vile prof Safari, mh Mabere Marando na wengineo, basi chama kimekuwa shagala bagala kama vile hakina viongozi. Ingawa inatumika hela nyingi kuwaonga vijana hela ya kula na kununua bando ili waje mitandaoni kueneza propaganda, na kukipigania chama lkn wapi hali inazidi kuwa ngumu kwa upande wao na kukimbilia kuibebesha lawama serikali.
 
Utashangaa kuna watu wanaumiaaa roho,wachaga wakienda hija kwao,ila hawashangai kuna watu wanaenda macca kuhuji.
Tupende vya kwetuuu
Why na wewe uumizwe na Mecca ( "macca" according to you), wala sio Nazareth, au Karbala, Patna sahib, au Varanasi...
 
Huyu mzee toka imejiengua kwenye kile chama na genge lake lenye wasomi kama vile prof Safari, mh Mabere Marando na wengineo, basi chama kimekuwa shagala bagala kama vile hakina viongozi. Ingawa inatumika hela nyingi kuwaonga vijana hela ya kula na kununua bando ili waje mitandaoni kueneza propaganda, na kukipigania chama lkn wapi hali inazidi kuwa ngumu kwa upande wao na kukimbilia kuibebesha lawama serikali.
Chama bora ni kile kilichobuni mbinu ya kupita bila kupingwa, ni kile kilichowaamuru Wakurugenzi wakimbie fomu za wapinzani wakati wa uchaguzi. Chama Bora ni kile kinachowategemea TISS na Polisi badala ya sanduku la kura.
 
Kuna demu wa kiiraqwi akiitwa Aurea yule mtoto bana sijuwi alijifunzia wapi kuliwa kisamvu mchele.
 
Chama bora ni kile kilichobuni mbinu ya kupita bila kupingwa, ni kile kilichowaamuru Wakurugenzi wakimbie fomu za wapinzani wakati wa uchaguzi. Chama Bora ni kile kinachowategemea TISS na Polisi badala ya sanduku la kura.
Hapana mkuu chama bora ni hiki kilicholeta mafuriko wakati wa ufunguzi wake. Inasemekana mgombea wao ndugu Lisu ndie alievunja rekodi ya kujaza watu ktk ufunguzi wa mkutano wake kama ushahidi wa picha hii unavyoonesha. Hata ukiangalia ufunguzi wa mkutano wa Lowasa mwaka 2015 na huu wa Lisu, utagundua kabisa kuwa Lisu alivunja rekodi wa kujaza watu ktk uwanja wake zaidi ya mwanasiasa yoyote yule including hayati mw Nyerere, Maguguli, Maalim Sefu nk. Kwa umati huu wa chadema pale mbagala ndio maana tunaamini kuwa Chadema ilishinda uchaguzi kihalali.

2500681_2500254_Screenshot_20200828-184339.jpg

Mafuriko ya Lisu hapo juu mwaka 2020
images (6).jpeg

Mafuriko ya Lowasa hapa kati mwaka 2015
images (8).jpeg

Mafuriko ya hayati Magufuli hapa chini mwaka 2020.
 
Back
Top Bottom