Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,654
Kiongozi wa chama cha Upinzani na Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema)
Amevunja rekodi ya usimamizi katika vyama vya siasa barani Afrika, Dr Slaa ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCBRT, Amevunja rekodi hio baada ya kuongoza usimamizi wa fedha za wadhamini wa Taasisi anayoiongoza; Akizungumza na Radio ya taifa mjini adis ababa,Abdil jabir Mkuu wa vyama vya siasa Afrika ya Magharibi alipongeza hatua hio kwa kua ni nadra kwa Nchi za Afrika kuwa na Kiongozi muwazi. Itakumbukwa nafasi hio ilitangazwa kwa mara ya kwanza Mjini Libravile,Gabon, Kukiwa na nchi washirika 43, Maazimio hayo yalifikiwa huku vyama vya siasa barani Afrika vikiwa na wakati mgumu, Hasa linapokutazamiwa suala la Uhuru.
WASHNGTON
CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO CHADEMA KIMEVUNJA REKODI YA VYAMA VYA SIASA NCHINI TANZANIA KWA KUFIKISHA IDADI YA WANACHAMA MILIONI(10)
HAYO YALIBAINISHWA HIVI KARIBUNI NA MKUU WA UTAFITI SERA NA MAHUSIANO WA CHAMA HICHO AKIWA MJINI WASHNGTON
ALISEMA
CHADEMA KWA SASA NI TAASISI INAYOJITEGEMEA KWA KUWA NA WQNACHAMA ZAIDI YA MILIONI KUMI TANZANIA BARA PEKEE.
HATUA HIO INAIFANYA CHADEMA KUVUNJA REKODI YA VYAMA VYOYE TANZANIA IKIWEMO CCM,CUF,TLP,UDP,NK
Amevunja rekodi ya usimamizi katika vyama vya siasa barani Afrika, Dr Slaa ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCBRT, Amevunja rekodi hio baada ya kuongoza usimamizi wa fedha za wadhamini wa Taasisi anayoiongoza; Akizungumza na Radio ya taifa mjini adis ababa,Abdil jabir Mkuu wa vyama vya siasa Afrika ya Magharibi alipongeza hatua hio kwa kua ni nadra kwa Nchi za Afrika kuwa na Kiongozi muwazi. Itakumbukwa nafasi hio ilitangazwa kwa mara ya kwanza Mjini Libravile,Gabon, Kukiwa na nchi washirika 43, Maazimio hayo yalifikiwa huku vyama vya siasa barani Afrika vikiwa na wakati mgumu, Hasa linapokutazamiwa suala la Uhuru.
WASHNGTON
CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO CHADEMA KIMEVUNJA REKODI YA VYAMA VYA SIASA NCHINI TANZANIA KWA KUFIKISHA IDADI YA WANACHAMA MILIONI(10)
HAYO YALIBAINISHWA HIVI KARIBUNI NA MKUU WA UTAFITI SERA NA MAHUSIANO WA CHAMA HICHO AKIWA MJINI WASHNGTON
ALISEMA
CHADEMA KWA SASA NI TAASISI INAYOJITEGEMEA KWA KUWA NA WQNACHAMA ZAIDI YA MILIONI KUMI TANZANIA BARA PEKEE.
HATUA HIO INAIFANYA CHADEMA KUVUNJA REKODI YA VYAMA VYOYE TANZANIA IKIWEMO CCM,CUF,TLP,UDP,NK