Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,422
- 911,172
Gazeti la Tanzania Daima limetuhabarisha ya kuwa aliyekuwa mgombea wa uraisi kwa tiketi ya chadema Dr. Slaa ambaye wengi wetu tunaamini ndiye aliyeshinda kinyang'anyiro cha Uraisi ametoa sharti la mazungumzo na serikali ya CCM kuhusiana na utata wa matokeo......
Nao CCM kupitia Katibu Mkuu Makamba wametoa tamko la kupinga kuwa hakuna uhaja wa vyama hivyo viwili kukutana kuzungumzia uchaguzi ambao ulikwisha kuyfanyika vizuri kulingana na sheria ya uchaguzi..........................
Nao CCM kupitia Katibu Mkuu Makamba wametoa tamko la kupinga kuwa hakuna uhaja wa vyama hivyo viwili kukutana kuzungumzia uchaguzi ambao ulikwisha kuyfanyika vizuri kulingana na sheria ya uchaguzi..........................