Katika Nchi hii na pengine hata nchi nyingine sijawahi kumwona au kumsikia kiongozi wa kisiasa anayetajwa mambo yake mengi hadharani kama Dr. Slaa.
Wapinzani wake wana/wamemwongelea sana mambo yake mengine hadi ya ndani ya zipu lakini Babu amehilimi na kukabiliana nayo vizuri kabisa. Kwahiyo hata hizi propaganda za sasa nina uhakika Dr. Slaa atazishinda.
Kwasababu anajua uwezo wa kufikiri na kutenda na hata mbinu za wapinzani wake. Sina shaka kabisa na hili. Na huu unaweza kuwa mmoja ya mipango ambayo mtu mmoja aliiandika...
Kwamba ili CCM iendelee kuongoza ni:
1. Au wakiue CHADEMA
2. Au Wakiue CCM na kuanzisha chama kingine
3. Watumie Demokrasia.
Hili la kwanza lilipewa kipaumbele sana. LAKINI KWA TAARIFA YENU (MAGAMBA) HAMTAWEZA HATA KIDOGO. Uwezo wa Dr. Unaweza kuwa sawa au hata zaidi ya Sekretariati nzima ya CCM.
Wapinzani wake wana/wamemwongelea sana mambo yake mengine hadi ya ndani ya zipu lakini Babu amehilimi na kukabiliana nayo vizuri kabisa. Kwahiyo hata hizi propaganda za sasa nina uhakika Dr. Slaa atazishinda.
Kwasababu anajua uwezo wa kufikiri na kutenda na hata mbinu za wapinzani wake. Sina shaka kabisa na hili. Na huu unaweza kuwa mmoja ya mipango ambayo mtu mmoja aliiandika...
Kwamba ili CCM iendelee kuongoza ni:
1. Au wakiue CHADEMA
2. Au Wakiue CCM na kuanzisha chama kingine
3. Watumie Demokrasia.
Hili la kwanza lilipewa kipaumbele sana. LAKINI KWA TAARIFA YENU (MAGAMBA) HAMTAWEZA HATA KIDOGO. Uwezo wa Dr. Unaweza kuwa sawa au hata zaidi ya Sekretariati nzima ya CCM.