Dr. Slaa ataka Sofia Simba ajiuzulu au awajibishwe

Mfamaji

JF-Expert Member
Nov 6, 2007
6,631
1,926
Doctor Slaa amemtaka Sofia Simba ajiuzulu na asipofanya hivyo awajibishwe na Rais kwa kuitia serikali aibu kwa kuleta mbele ya Bunge mswada usio na mashiko. Sofia Simba anataka kumpunguzia Amiri Jeshi Mkuu madaraka. Je hili litafanyika ? Na kwa nini lisifanyike? Does this amount to insurbordination ? Kwa nini Sofia hakuseek advise from the state house, security Organs, etc kabla hajaleta unproffesiopnal bill bungeni? Au anafikiri security issues ni mchiriku, rusha roho au mipasho ya akina Pembe la Ngombe? Wakuu mnasemaje ?
 
Kama wewe huna cha kusema wengine tutasema,

mwambie Dr. Slaa kama amesema hivyo amefulia, Sofia Simba hajiuzulu, wala JK hamfanyi chochote! wala serikali haijapata aibu, walichopitia miaka hii minne kama ingekuwa serikali ya ibu tungeijua! mwambie slaa mshipa wa aibu serikali ya JK haina!!

Yeye Slaa aangalie kuiondoa CCM na sio kujificha chini ya JK, anaposema hivyo ina maana JK ni safi, poa, mchapa kazi n.k

Sofia Simba ameonyesha uwezo wa CCM, Slaa badala ya kuchukua kama point ya kupatia kura anataka kujikomba! aache kujikomba kwa JK; kutaja jina la JK kuwawajibisha mawaziri aliowateua ni ujinga!!! mna hakika gani kama hakupitia huko state house na vyombo vya usalama kupata ushauri? kwani hawana sheria zao kuwa kabla ya mswada upitiwe? SS hana tatizo baba! ni sanamu robot lingine next to JK akiambiwa simama anasimama

nani kawaroga jamani?? JK has nothing to do in this country, JK alitaka ujiko tu wa urais hana analoliweza na hakuna atakaloliweza achilia mbali kumuwajibisha SS!!

Huyo slaa naye kama amesema hivyo ajiuzulu upinzani; I am sick and tired mentioning the name of JK as if he is innocent!

wapinzani my foot! JK akimchukulia hatua Sofia Simba si ndio anapata kura yeye! halafu mnasema kuna upinzani 'nji' hii

Wapinzani wa Tanzania ukiwasikiliza sana unaweza ukaugua ukichaa, wapole, wanajikomba, statement zao sio za kipinzani, they dont take opportunity, yaani wapinzani nchi hii ni kama mabaraza ya wazee wa CCM!! au tume fulani za bunge!
 
Kama wewe huna cha kusema wengine tutasema,

mwambie Dr. Slaa kama amesema hivyo amefulia, Sofia Simba hajiuzulu, wala JK hamfanyi chochote! wala serikali haijapata aibu, walichopitia miaka hii minne kama ingekuwa serikali ya ibu tungeijua! mwambie slaa mshipa wa aibu serikali ya JK haina!!

Yeye Slaa aangalie kuiondoa CCM na sio kujificha chini ya JK, anaposema hivyo ina maana JK ni safi, poa, mchapa kazi n.k

Sofia Simba ameonyesha uwezo wa CCM, Slaa badala ya kuchukua kama point ya kupatia kura anataka kujikomba! aache kujikomba kwa JK; kutaja jina la JK kuwawajibisha mawaziri aliowateua ni ujinga!!! mna hakika gani kama hakupitia huko state house na vyombo vya usalama kupata ushauri? kwani hawana sheria zao kuwa kabla ya mswada upitiwe? SS hana tatizo baba! ni sanamu robot lingine next to JK akiambiwa simama anasimama

nani kawaroga jamani?? JK has nothing to do in this country, JK alitaka ujiko tu wa urais hana analoliweza na hakuna atakaloliweza achilia mbali kumuwajibisha SS!!

Huyo slaa naye kama amesema hivyo ajiuzulu upinzani; I am sick and tired mentioning the name of JK as if he is innocent!

wapinzani my foot! JK akimchukulia hatua Sofia Simba si ndio anapata kura yeye! halau mnasema kuna upinzani 'nji' hii

Wapinzani wa Tanzania ukiwasikiliza sana unaweza ukaugua ukichaa, wapole, wanajikomba, statement zao sio za kipinzani, they dont take opportunity, yaani wapinzani nchi hii ni kama mabaraza ya wazee wa CCM!! au tume fulani za bunge!

Duh!!!
 
Well, Slaa should have said something . This is his stand kama mpinzani, angalau pale mswada umepingwa hata na CCM wenyewe.

He could have a different stand and perhaps use it as opposition stick if the same could have gone through the perliament.

Kama aliupitisha kwenye sehemu husika zikiwemo Security na baraza la Mawaziri nao wakaukubali, then were are borne to suffer more and more and forever until we uproot this pumkin CCm from the reign. Bora hata wangeuleta kwanza hapa Jf kablaya kuleta aibu kama hiyo. Tungewasidia zaidi. Great Thinkers.
 
Well, Slaa should have said something . This is his stand kama mpinzani, angalau pale mswada umepingwa hata na CCM wenyewe.

He could have a different stand and perhaps use it as opposition stick if the same could have gone through the perliament.

Kama aliupitisha kwenye sehemu husika zikiwemo Security na baraza la Mawaziri nao wakaukubali, then were are borne to suffer more and more and forever until we uproot this pumkin CCm from the reign. Bora hata wangeuleta kwanza hapa Jf kablaya kuleta aibu kama hiyo. Tungewasidia zaidi. Great Thinkers.

Sure my friend ndani ya bunge angesema bila woga kuwa "nadhani wananchi wanaona bomu lingine la CCM, hawafikiri usalama wa nchi n.k"

ange-wablast CCM wote, hapo ndio angewasha moto mzuri, kwanza unawadharau chama chote wapigane huko huko, lakini huku umejiwekea credit kuwa 'you see chadema wazuri'' kuongea sentensi yoyote itakayoonyesha utatuzi wa tatizo hilo ni CCM ni kuweka upinzani mbali na wananchi!

CCM has to go! msiwapambe pambe na kuwatenga 'wasafi' na wachafu, woote kuanzia JK mpaka madiwani wao wachafu sina cha kulinganisha!
 
Kweli kuna vimeo lakini huyu kimeo cha juu kabisa mara apigane mara mipasho mara mswada usiokua na kichwa wala miguu akini JK KIMYAAAAAA!
 
Doctor Slaa amemtaka Sofia Simba ajiuzulu na asipofanya hivyo awajibishwe na Rais kwa kuitia serikali aibu kwa kuleta mbele ya Bunge mswada usio na mashiko. Sofia Simba anataka kumpunguzia Amiri Jeshi Mkuu madaraka. Je hili litafanyika ? Na kwa nini lisifanyike? Does this amount to insurbordination ? Kwa nini Sofia hakuseek advise from the state house, security Organs, etc kabla hajaleta unproffesiopnal bill bungeni? Au anafikiri security issues ni mchiriku, rusha roho au mipasho ya akina Pembe la Ngombe? Wakuu mnasemaje ?

Heshima kwako Mfamaji.

Dr W Slaa ni miongoni mwa wabunge wa bunge la JMT ambao wanajua kilichowapeleka pale mjengoni [Bungeni].Anasimamia vyema maslahi ya taifa pia anawawakilisha vizuri wapiga kura wake wa Karatu.Natamani mbunge wetu wa jimbo la Arusha angekuwa kama alivyo mheshimiwa W Slaa,natamani Tanzania ingekuwa na wabunge kumi wa aina ya Dr W Slaa.

Maoni/mapendekezo ya Mheshimiwa Dr W Slaa kwa Mheshimiwa S Simba na kwa Muungwana ni muhimu sana kuzingatiwa hasa kwa nchi inayozingatia sheria,kanuni na taratibu.Nafasi ya uwaziri anayoshikilia Simba ni kubwa sana kwake pengine muungwana angecreate wizara ya mipasho/blah blah ingemfaa sana mama Simba.Mama Simba ameidhalilisha sana serekali laiti ingekuwa mambo haya yamefanyika kwenye nchi za wenzetu wanaojua nini maana ya bunge,serekali na wananchi tungesha msahau mama mipasho.

Nakubaliana na maelezo ya waberoya kwamba hakuna kitakachofanyika labda niongezee sababu moja kubwa ni uchaguzi mkuu.Mama Simba ni mwenyekiti wa UWT ambayo ni muhimu sana kumhakikishia Muungwana anapita kwa kishindo ndani ya CCM.Muungwana hajali maslahi ya kitaifa sana sana anaangalia term ya pili ya urais ni kina nani watamsaidia kufikia lengo lake.
 
Taarifa ya utekelezaji wa maazimio ya Richmond wameikataa mara ngapi? Kuna aliyejiuzuru?
 
This is a lesson that the MPs are not always on opposite sides when it comes to issues pertinent to our country. I think, we need a more balanced parliament in terms of opposition and the ruling party.

The Committee which prepared the bill may have not done their work thoroughly but again Hon. S.Simba must have taken the bill to the cabinet meeting before tabling it. How did it go through the cabinet which is chaired by His Excellency President of URT?

There may be a good motive for the bill but it was not well addressed or some flaws were left uncemented. This also send signals to the ministers to be well prepared for their bills before tabling to the parliament.
 
huyu mama naamini wamemuingiza mkenge wa kisiasa tu, nadhani kuna watu wanatumiwa katika ofisi yake kisiasa. kimantiki tunafahamu kabisa, kama waziri hapa nchini kwetu si mtendaji (professinal) kuna watu na kamati maalumu zinazofanya michakato kama hii,akiwemo katibu mkuu, pia kabla ya kufika Bungeni, Mwanasheria mkuu lazima apitie na kuridhishwa na jambo lolote linalohusu sheria, Pia ikumbukwe kwamba, muswada huu ulisharudishwa bungeni, ili ufanyiwe marekebisho, Je timu ya mwanasheria mkuu iliji evaluate vipi pale kazi yao waliyo ibariki kurudishwa? na walichukua hatua gani mpaka wanarudisha utumbo ule ule? Sophia atapata aibu na ikibidi kuwajibika kwa wajibu wake kama waziri (accountability)

Mnataka JK alie kama ilivyokuwa kwa Pinda Jamani? kuna tatizo hapa kwenye ofisi ya MAMA huyu,
Kwa matatizo yaliyompata, SS nadhani amejitahidi kujirekebisha, kwani simsikii kuropoka siku hizi. wamemtafutia mitego mingine ya kiutendaji, anakuwa dhalili tena.lakini hadhaliliki, anapoteza umakini wake, na credibility kwa nafasi yake.

Nashauri. kuna watu hapa badala ya kuisaidia Tanzania isonge mbele, wanatumiwa na wanasiasa kurudisha nyuma tanzania, haiwezekani watu wenye professional zao wafanye madudu kama haya. washughulikiwe haraka watu wabaya hawa

JK, Baba hizi ndizo hasara za wewe kutokaa hapa nyumbani na kufuatilia na kujua nini kinaendelea. Nadhani umeshatambua kwamba wasaidizi wako si lolote si chochote. kaa chini ufanye kazi mwenyewe, ikiwezekana kazi hata za wakuu wa mikoa na wilaya, hakuna kinachofualitiliwa na hao watu wako. wanafanya siasa na majungu ili udondoke.walimdondosha EL kwa malengo ya kukudondosha wewe. umeanguka baba.

Inuka, futa mavumbi, Usiogope lawama, cc wa Tz ni wa pole na wenye kusamehe.

Umetukosea sana,
tuonyeshe na wewe umesikitika na umefahamu kwamba umetukosea, tuonyeshe si kwa maneno, bali kwa vitendo kwamba, umeikosea tanzania na sasa unatubia makosa yako.
 
Hiyo ndio hasara ya kuteua waziri mbumbumbu! Hata kama yeye si mtendaji lazima ahoji na kujiridhisha kabla ya kuleta bill itakayotia aibu. Yeye ndie aneyebeba dhamana ya wizara hata kama anoo wataalam na ndio maana anombwa kujiuzuru!
 
Ninavyofahamu, muswada unaopelekwa Bungeni na Serikali unakuwa umejadiliwa na kupitishwa na Baraza la Mawaziri (Cabinet) ambalo mwenyekiti wake ni Rais. Aidha, kabla ya hapo, Wizara zote na taasisi husika hupewa nafasi ya kutoa maoni yao kwa maandishi. Hivyo, nimeumia kichwa sana kuwaza nini hasa kilichotokea hapa.

Je, ni kwamba kuna watu wanataka kumpunguza uzito Rais? Lakini yeye ndiye bosi wa mchakato wa Waraka huo Serikalini! Au ni yeye ndiye anayetafuta namna ya kukwepa majukumu nyeti? And why? Au hana uwezo tena wa kudhibiti mambo Serikalini; kuna watemi wengine ambao ndio Serikali yenyewe zaidi yake?

In any case, kilichotokea Bungeni ni dalili mbaya sana kwa taifa. Na huyo Mh. S. Simba awe katumwa, au mjinga, au mkorofi ni kielelezo cha aibu (embarassment) kwa uongozi wa taifa letu. CCM watake wasitake wanayo aibu hiyo hadi hapo watakapojipambanua na makada uozo.
 
Wakati wa u-Rais wa Mwalimu Nyerere, Muswada wowote uliokuwa unaletwa kwa majadiliano Bungeni ulikuwa umekwisha pitishwa na Baraza la Mawaziri na kukubaliwa na Rais. In any case, the President will have to assent to Bill, and so all Bills submitted to Parliament by a Minister must have the approval of the President.

Kama utaratibu huu unafuatwa hadi leo, basi ni Baraza lote lingetakiwa kujiuzulu, kwa vile Bunge limeonyesha halina imani na Baraza la Mawaziri, Rais akiunganishwa nao.

Mheshimiwa Dk Slaa waunganishe wote hawa wababaishaji, waondoke kabla ya Oktoba 2010.
 
Dk Slaa ana uelewaa mkubwa tuu kwamba uelewaa wa SS unalindwaa na serikali iliyomteuaaa..Hapa ni kwamba muswada huu umejadiliwaa na vyombo vyotee achilia mbalii kamati husika ya bunge kuhusu masuala ya ulinzi na KATIBA...SHAME ON THEM ALL!!!!

SS aliwajibika tuu kuusomaa bungeni kwani ndo mhusikaa na kazi yake ya msingii. wapi wajumbe na mwenyekiti wa kamati husikaaaaaaaaaaaaaaa???

Pia Raisi na baraza lake waliupitia na natumaii kwa undani zaidi TISS na wenzao wakikacherooo ndo waliousomaa kwa undani zaidiiii na kumshaurii Wazirii Husikaa.

Bunge wamefanya kazi yao ila nawalaumuu huwa wanachelewaa sanaa kufanya kazi yao na mara nyingi wako bias na ushabikii wa kipuuuziiiiiiiiiii...WAACHEE WAENDELEE KUPIGA CHINI MISWADA MINGI ZAIDI (MINGI HUWA MIBOVUUU) na wasichague wala kutishiaa na kutafuta umaarufuu wa kisiasa.
Tayari ni maarufuu kwa wapiga KURA WAO..WAWATEEE NA KUWALETEAA MAENDELEOOOOO..
 
Kama wewe huna cha kusema wengine tutasema,

mwambie Dr. Slaa kama amesema hivyo amefulia, Sofia Simba hajiuzulu, wala JK hamfanyi chochote! wala serikali haijapata aibu, walichopitia miaka hii minne kama ingekuwa serikali ya ibu tungeijua! mwambie slaa mshipa wa aibu serikali ya JK haina!!

Yeye Slaa aangalie kuiondoa CCM na sio kujificha chini ya JK, anaposema hivyo ina maana JK ni safi, poa, mchapa kazi n.k

Sofia Simba ameonyesha uwezo wa CCM, Slaa badala ya kuchukua kama point ya kupatia kura anataka kujikomba! aache kujikomba kwa JK; kutaja jina la JK kuwawajibisha mawaziri aliowateua ni ujinga!!! mna hakika gani kama hakupitia huko state house na vyombo vya usalama kupata ushauri? kwani hawana sheria zao kuwa kabla ya mswada upitiwe? SS hana tatizo baba! ni sanamu robot lingine next to JK akiambiwa simama anasimama

nani kawaroga jamani?? JK has nothing to do in this country, JK alitaka ujiko tu wa urais hana analoliweza na hakuna atakaloliweza achilia mbali kumuwajibisha SS!!

Huyo slaa naye kama amesema hivyo ajiuzulu upinzani; I am sick and tired mentioning the name of JK as if he is innocent!

wapinzani my foot! JK akimchukulia hatua Sofia Simba si ndio anapata kura yeye! halafu mnasema kuna upinzani 'nji' hii

Wapinzani wa Tanzania ukiwasikiliza sana unaweza ukaugua ukichaa, wapole, wanajikomba, statement zao sio za kipinzani, they dont take opportunity, yaani wapinzani nchi hii ni kama mabaraza ya wazee wa CCM!! au tume fulani za bunge!

You really dont have to react that way at all.., also dont condem people without facts, argue with fact ,listen to the loud and stupid, they too have their story, what you have quoted above everyone knows about it, what we dont know is why she mentioned what she did, you could start from there, but vuta pumzi kwanza..kunywa maji pia...
 
Me nadhani ingekuwa poa tu huo mswada nugepita halafu tuone kama Muungwana angeupitisha kabla haujawa sheria au la.....wakina Slaa wamekurupuka,wangeuchunia waone Muungwana atasema nini,by then Kumpunguzia majukumu Muungwana ingekuwa poa tu..maaana mambo yamemzidia sana,huu mswada upite akiingia madarakani mtu mwingine zaid ya Muungwana then sheria inapigwa chini..
Wangemuacha Muungwana waone angefanya nini..angeupitisha au angeuchunia
 
Kazi zote hizi ndio kwanza zimeanza maana kipindi hiki tunahitaji viongozi makini sana katika zama hivi za harakati
 
Inawezekana muswada huu ulipitiwa na baraza la mawaziri na mkuu mwenyewe. Haingii akilini kwamba Muswada unaweza kuibukia bungeni bila kupitiwa na kujadiliwa kwanza.

Hii ndio product ya kuchaguana kishkaji bila sifa.

Ni aibu kwa serikali nzima. Wabunge nao wasiogope mikwara na wakaze buti mpaka kieleweke
 
Wapinzani wa Tanzania ukiwasikiliza sana unaweza ukaugua ukichaa, wapole, wanajikomba, statement zao sio za kipinzani, they dont take opportunity, yaani wapinzani nchi hii ni kama mabaraza ya wazee wa CCM!! au tume fulani za bunge!
I totally agree with you! Tunataka kuona upinzani wa kweli ambapo kila kosa la kiongozi wa CCM linakuwa 'mtaji' wenye manufaa kwa the opposition. Hakuna lolote la maana wanalofanya haw wanaojiita ni wapinzani wa Chama tawala!
 
I actually support the general idea of clipping presidential wings. Na sielewi what's this hoopla is all about - at least from the little info we have-. Tukiwa na madikteta tutashangaa kweli?

Tuna rais kama papa bwana.
 
Back
Top Bottom