Hii statement ni kutoka maktaba ya CHADEMA iliyomo ndani ya ilani ya uchaguzi 2010 - 2015:
''Kuna sababu tatu zilizosabisha nchi yetu ifike hapa ilipo, nazo ni: ufisadi, ufisadi na ufisadi''.
DR W Slaa Agosti 2010.
>>Hivi wenzangu mimi naona hiyo ni moja nyie mnaziona tatu kweli?
>>Au ndio tuseme hesabu ni mgogoro?
>>Hivi ni kweli kuna sababu moja tu ya umaskini Tanzania?
''Kuna sababu tatu zilizosabisha nchi yetu ifike hapa ilipo, nazo ni: ufisadi, ufisadi na ufisadi''.
DR W Slaa Agosti 2010.
>>Hivi wenzangu mimi naona hiyo ni moja nyie mnaziona tatu kweli?
>>Au ndio tuseme hesabu ni mgogoro?
>>Hivi ni kweli kuna sababu moja tu ya umaskini Tanzania?