Dr. Slaa atahojiwa na Redio maarufu ya Demokrasia Jijini Washington DC [WPFW RADIO]

Chadema kwa kulia lia sasa hiyo radio ndio Slaa anapeleka kilio chake...Redio hiyo wanasikiliza wabeba box wa Kitanzania tu, nilidhani anafanya mahojiano na VOA au Texas Public Radio.
 
HII "OPERATION KANDAMIZA KILA KONA" Inaendelea, tumesha ongea na watu wa RADIO na tunasubiri kufinalize. Tunaomba muwe wapole tutawajurisha mambo yakikamilika. Tunataka DUNIA ijue yanayo jili TANZANIA.

Asanteni
 
Jk lazima mambo anayoyafanya pamoja na magamba wenzake yawekwe hadharani ili dunia itambue .ahsante mkuu kwa kutuletea taarifa.
 
Kumbe na ninyi mnaona tz inavyokwenda mrama. kila la heri. hebu rusheni na ile ya dr. ulimboka hata kama kwa kiswangilish mkuu.
 
Ndugu zangu mapambano kila kona mambo yanakwenda vizuri sana huku nje.Sasa tumeanza kukandamiza kwenye vyombo vya habari huku nje sasa hivi.Hii redio ni maarufu sana inayozungumzia siasa hapa Washington DC.

Inasikika karibu nusu ya United state of americaW

ale walikuwa wananenepa kwa misaada kutoka marekani sasa wakae chonjo.maana hii sio mchezo inaitwa "OPERATION KANDAMIZA".

Nipo kwenye ofisi zao hapa tuna kamilisha mikakati,maojiana yatakuwa kwa kiingereza ili watu wote Wajue Tanzania ile sio hii ya sasa hivi.Nitawapa ni siku gani itakuwa week hii na saa ngapi.kwa wale wenye simu za kisasa wataweza kusikia vizuri haya maojiano.yatakuwa live.Hatulali mpaka kieleweke.

Peopleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee,powerrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr

Hakuna rangi wataacha ona kila kitu hadhari sasa wakienda huko watu wawajue na uozo wao!Heche naye anaenda kukandamiza moroco hii inaitwa twanga kote kote
 
Kweli hapa hamna jiwe litakalo baki mpaka watu wapate haki yao.
 
Chadema kwa kulia lia sasa hiyo radio ndio Slaa anapeleka kilio chake...Redio hiyo wanasikiliza wabeba box wa Kitanzania tu, nilidhani anafanya mahojiano na VOA au Texas Public Radio.

ww unapenda kuchekacheka.......... hamnazo mkubwa wee
 
safi sana ,sababu hawa magamba viradio vyote na vi-tv vya bongo wameshaviweka mfukoni ss tuone kama wataweza huko USA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom