Dr.Slaa ashinda kesi ya uchaguzi!

Wapenzi wote wa Rubisi tukutane hapo sleep way kusherehekea kaushindi haka ka demokrasia bwana ,kwani tayari nimeagiza dumu mbili ziinakuja kwa ndege jioni hii ili tuweze kukutana na wakina Ruttakolezibwa, Ruttakyamirwa, Ruttasitara, na wotenwa pale Nyakibimbili ili tuweze kupata kamnyama na kalubisi wengine wanakaita kamnyama eti Hot Chair in Engilish bwana wewe.

Mapambano yanaendelea ,na huu ni mwanzo tuu wa ushindi japo hili ni goli la pili kwani la kwanza lilikuwa kwenye list of shame , sasa la tatu laweza kumfanya kipa akaomba kupumzika kwani anaweza kuteguka kiuno na timu yenyewe haina kipa wa ziada sasa tunasubiria.
 
hivi ni nini kilipelekea wapinzani kukosa ubunge ktk majimbo yaliyopo mijini,tukizingatia kuwa watu waliopo mijini kidogo wanaelewa nini maana ya upinzani ?

Ndugu yangu hii yote shauri ya EPA na BOT pamoja na TICS jama .

Nguvu ya takrima ndugu na ukizingatia kuwa mijini hawa jamaa hawapo tayari kuona majimbo hayo yakiondoka utakumbuka 1995 alichosema Nyerere kuhusu majimbo ya Dar.

Ndio maana utaona majimbo yote ya waspinzani isipokuwa Moshi mjini mengine ni maeneo ya vijijini ama vijiji miji tuu.

Kuna haja ya kuliangalia japo najua kuna utafiti uliwahi kufanyika na ripoti itazinduliwa 2010 ,na hapo ndipo mabadiliko makubwa yanaweza kuja.
 
Katibu Taarifa ndio maana binafsi siamini kama upigaji wa kura za Tanzania unafuata uelewa wa matatizo au hali halisi ya matukio. Bado hatujaanza sana kupiga kura kwa kuangalia issues zaidi ni watu na ni nani tunaweza kumuamini.

MKI... nakubaliana na wewe lakini point yangu ni kuwa CCM JUU hawakutaka kuonekana wana mkono wao kwenye kesi hii kwani ingewaonesha kuwa wanamlenga slaa sababu ya kisasi. Ndio maana hata kuingilia kwao kumekuwa kwa chini chini.

Lakini zaidi ni kwa sababu ushahidi ulikuwa dhaifu sana.
 
At last I can see a smell of changes in the country of corruption, Dr Slaa Hureee keep it up man and am sure one say they will realize what you are doing man.
 
Nakumbuka uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi kulikuwa na idadi kubwa ya wabunge wa upinzani bungeni lakini kila chaguzi zinavyokuja upinzani ndio unazidi kufifia.je wabunge wa upinzani walifanya nini kibaya hata kupoteza majimbo yao au ni kipikizuri kinachofanywa na ccm hata kuzoa viti vingi,tukizingatia kuwa hali za watanzania zinakuwa taabani siku hata siku
 
Nakumbuka uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi kulikuwa na idadi kubwa ya wabunge wa upinzani bungeni lakini kila chaguzi zinavyokuja upinzani ndio unazidi kufifia.je wabunge wa upinzani walifanya nini kibaya hata kupoteza majimbo yao au ni kipikizuri kinachofanywa na ccm hata kuzoa viti vingi,tukizingatia kuwa hali za watanzania zinakuwa taabani siku hata siku

Mkapa anahusika kwa kiwango kikubwa sana na mbinu za usalama wa taifa za kumaliza na kufifisha upinzani nchini.
 
Mkapa anahusika kwa kiwango kikubwa sana na mbinu za usalama wa taifa za kumaliza na kufifisha upinzani nchini.

tutawalaumu hawa watu bila sababu,kama kuna mtu hapa ambaye alishiriki ktk zoezi la usimamizi wa kupiga na kuhesabu kura atuambie kama hilo ni tatzo.
Kumbuka pemba kuna wakati wapemba walipiga kura ya maruwani na kweli ccm walishinda kwa kura kati ya kumi na sehemu zingine walipata kura moja dhidi ya mamia zilizoharbika.
1,Kwa mtazamo wangu mijini ni watu wachache wa upinzani wanaojitokeza kupiga kura
2,Upinzani wanasimamisha watu dhaifu ktk chaguzi zao.
3,maandalizi ya zimamoto
-sasa hivi wapinzani lazima wawe wanajua ni nani atasimama atasimama ktk uchaguzi ujao 2010 ktk nafasi za ubunge na madiwani.
-maandalizi ya mapema yanamjenga mgombea mbele ya jamii inayomzunguka na inakuwa ni rahisi kufanya tathimini ya mwelekeo wa kisiasa kabla ya uchaguzi
 
tutawalaumu hawa watu bila sababu,kama kuna mtu hapa ambaye alishiriki ktk zoezi la usimamizi wa kupiga na kuhesabu kura atuambie kama hilo ni tatzo.
Kumbuka pemba kuna wakati wapemba walipiga kura ya maruwani na kweli ccm walishinda kwa kura kati ya kumi na sehemu zingine walipata kura moja dhidi ya mamia zilizoharbika.
1,Kwa mtazamo wangu mijini ni watu wachache wa upinzani wanaojitokeza kupiga kura
2,Upinzani wanasimamisha watu dhaifu ktk chaguzi zao.
3,maandalizi ya zimamoto
-sasa hivi wapinzani lazima wawe wanajua ni nani atasimama atasimama ktk uchaguzi ujao 2010 ktk nafasi za ubunge na madiwani.
-maandalizi ya mapema yanamjenga mgombea mbele ya jamii inayomzunguka na inakuwa ni rahisi kufanya tathimini ya mwelekeo wa kisiasa kabla ya uchaguzi

Wapinzani ni kina nani? Wewe ni mpinzani au ni muunga mkono? na kama sio mpinzani, nani unategemea au mpinzani on your behalf?
 
Baada ya ushindi kutangazwa, Dr. Slaa (mwenye mgololi) na wakili wake wakibebwa juu juu. Wimbo wa "Kibanga ampiga mkoloni" umenijia mawazoni. Picha toka Blogu ya Athumani.

3467.jpg


3466.jpg
 
Hii habari ni nzuri sana kwa wapenda mageuzi wote. Dr Slaa ni mtu jasiri asieyumbishwa na lolote. Pia Tundu Lissu ni shujaa asieogopa mapambano na dola wala mtu yeyote. I am proud to have this people in this Country. Yaani tungekuwa na akina Slaa na Tundu 200 lazima nchi ingebadilika!!!

mia mbili wa nini kaka 20 tu wanatosha
 
kwa hakika ni furaha kwa kila mwenye mapenzi ya dhati na Tanzania!! Na sio mapenzi ya dhati ya "zidumu fikra za Mwenyekiti".
 
Wapinzani ni kina nani? Wewe ni mpinzani au ni muunga mkono? na kama sio mpinzani, nani unategemea au mpinzani on your behalf?

wapinzani ni wale wote ambao wanamawazo tofauti dhidi ya chama tawala na serikali iliyopo madarakani ktk kuchochea maendeleo kwenye jamii inayowzunguka,ikiwa ni pamoja na kupiga au kupigiwa kura ili kuiwakilisha ktk vikao vyenye maamuzi ya yanayoihusu jamii husika.
 
Hii habari ni nzuri sana kwa wapenda mageuzi wote. Dr Slaa ni mtu jasiri asieyumbishwa na lolote. Pia Tundu Lissu ni shujaa asieogopa mapambano na dola wala mtu yeyote. I am proud to have this people in this Country.

Hakika! Wanastahili kuungwa mkono kwa ujasiri wanaouonyesha.

...Yaani tungekuwa na akina Slaa na Tundu 200 lazima nchi ingebadilika!!!

Hiyo siku iko karibu kuliko wengi tunavyofikiri. Wapo waalimu wa mashule wengi tu wamejiunga na vyuo (mf. Open University) kusoma sheria kwa lengo moja tu; They have taken matters into thier own hands.
 
Tusker zipo huko Mkuu?


Mkuu Kitila hivi huyu Isack wa UVCCM alikuwapo UDSM kipindi kipi?manaake viongozi wa namna hii sijawahi kuona??hakuna busarayoyote

Huyu hakuwahi kusoma mlimani. Alisoma SUA. Tatizo lake siku zote hutanguliza ukada kuliko akili na ni kati ya wana CCM wengi wanaoamini kutumia ujanjaujanja na njia za mkato katika kupata mafanikio! We are in trouble so long as this party continues to reign kwa sababu hata vijana ambao ungewategemea wawe na mtazamo tofauti wanafikiria na kuropoka ovyo kuliko akina Kingunge na Makamba!
 
Ushindi wako ni mwanzo wa kuonyesha kwamba yote yawezekana kwani sheria haiangalii kama wewe ni kutoka chama gani bali facts ndio zitaamua nani ni mkweli.Huyo Tsere atakua ndiye aliewatuma hao watu wakafungue mashtaka ya kupinga zoezi zima la mchakato wa uchaguzi jimbo la Karatu,haiwezekeni kwa utamaduni wa kitanzania eti mtu binafsi ajiamulie mwenyewe kwenda mahakamani kulalamika.IBasi ingelikua ni hivo saa hii wabongo wangekua tayari mahakamani wamemfungulia chee nkapa mashtaka ya ufisadi.Hongera sana Dr.Slaa na ongeza mapambano ya kuwafichua mafisadi,tuko nyuma yako
 
Back
Top Bottom