Japo vyombo vya habari vya serikali vimejitahidi kukaa mbali au kimya kwa maswala yanayohusu mwenendo wa mgombea Uraisi kwa tiketi ya chadema na kujitahidi kufunika habari zake kwa kuweka habari za wagombea wengine wa uraisi wa vyama vya upinzani, hali hii inazidi kuvipa taabu vyombo hivyo kutokana na wananchi wanavyomkubali mgombea huyu.
Katika kile kinachoonekana kuuficha ukweli halisi wa nguvu ya ushawishi wa hoja aliyonayo mgombea huyu, vyombo hivi vya serikali vimeanza kukwepa hata kumlinganisha na kiongozi aliyepo madarakani.
Hili linajionesha dhahiri kwenye website ya gazeti la serikali la kiingereza la Dailynews ambapo wameweka opinion poll ya Dr slaa huku wakiweka swali linalouliza 'will Dr. Slaa win the presidential race?'
Kama lengo ni kujua kama Dr Slaa atakuwa raisi kwanini wasiweke na wengine wanaogombea naye pia kwenye hiyo poll ili tuone uwiano wake kulingana na wagombea wengine?
Hili wanajua litakuwa ni aibu kwamba hali halisi itakuwa ya kufedhehesha maana hata katika opinion polls zinazotolewa hapa JF, Dr. Slaa anaongoza kwa mbali sana ukilinganisha na wagombea wengine including the president JK.
Ninafafanua na kutasfiri staili hii ya Dailynews inataka kuficha ukweli unaoonekana wazi kuwa wagombea wengine wa uraisi hawana mvuto kulinganisha na Dr. Slaa mgombea uraisi wa tiketi ya chadema.
Naelewa Pia Dailynews wanaweza wakaogopa kuwa kama wakimlinganisha Dr Slaa na Jk kwenye polls zao, itawapa shida katika kuiba kura kama walivyozoea jambo ambalo hawataki lifahamike.
Hii ni jitihada wanayofanya ya kuwaficha watu kuhusu jambo ambalo ni wazi na lisilo na ubishi
Japo katika yote hayo bado Dr. Slaa anaongoza kwa wingi wa watu wanaomkubali kuwa potential presidential candidate, kufuatana na majibu ya polls hizi za dailynews hadi sasa ambapo bado zinaendelea kupigwa.
You already voted today
Mini Poll ResultsWill Dr Slaa win the presidential race?Yes 125 votes. (66.14 %)
Maybe 17 votes. (8.99 %)
No 47 votes. (24.87 %)
Total votes: 189Powered by: SimPoll v.1.0
click the link for source of the news: Quick Poll | DailyNews Election Portal
Katika kile kinachoonekana kuuficha ukweli halisi wa nguvu ya ushawishi wa hoja aliyonayo mgombea huyu, vyombo hivi vya serikali vimeanza kukwepa hata kumlinganisha na kiongozi aliyepo madarakani.
Hili linajionesha dhahiri kwenye website ya gazeti la serikali la kiingereza la Dailynews ambapo wameweka opinion poll ya Dr slaa huku wakiweka swali linalouliza 'will Dr. Slaa win the presidential race?'
Kama lengo ni kujua kama Dr Slaa atakuwa raisi kwanini wasiweke na wengine wanaogombea naye pia kwenye hiyo poll ili tuone uwiano wake kulingana na wagombea wengine?
Hili wanajua litakuwa ni aibu kwamba hali halisi itakuwa ya kufedhehesha maana hata katika opinion polls zinazotolewa hapa JF, Dr. Slaa anaongoza kwa mbali sana ukilinganisha na wagombea wengine including the president JK.
Ninafafanua na kutasfiri staili hii ya Dailynews inataka kuficha ukweli unaoonekana wazi kuwa wagombea wengine wa uraisi hawana mvuto kulinganisha na Dr. Slaa mgombea uraisi wa tiketi ya chadema.
Naelewa Pia Dailynews wanaweza wakaogopa kuwa kama wakimlinganisha Dr Slaa na Jk kwenye polls zao, itawapa shida katika kuiba kura kama walivyozoea jambo ambalo hawataki lifahamike.
Hii ni jitihada wanayofanya ya kuwaficha watu kuhusu jambo ambalo ni wazi na lisilo na ubishi
Japo katika yote hayo bado Dr. Slaa anaongoza kwa wingi wa watu wanaomkubali kuwa potential presidential candidate, kufuatana na majibu ya polls hizi za dailynews hadi sasa ambapo bado zinaendelea kupigwa.
You already voted today
Mini Poll ResultsWill Dr Slaa win the presidential race?Yes 125 votes. (66.14 %)
click the link for source of the news: Quick Poll | DailyNews Election Portal