Dr. Slaa aonekana kuufyata mkia na kumkubali JK...kimyakimya....................

We ulikuwepo mkuu? Maana ndo njia pekee unajua kuwa mwenzako hakuwepo.!
Haujakosea.
Ila kusema eti kulikuwa hakuna uchakachuaji wakati baadhi yetu tumeambiwa na watu wa usalama, wasimamizi wa uchaguzi na mawakala haiingi akilini! Kwa hiyowote walikula njama na Dr Slaa? Nchi nzima? Acha propaganda mkuu!

Hivi ulishajiuliza kwa nini wananchi walikuwa wakiandamana kushinikiza kutangazwa kwa matokeo ya ubunge wa baadhi ya maeneo lakin hawakuwa na haja ya kusubiri kusomewa matokeo ya uraisi katika majimbo yao?..wanaujua ukweli!!

Kuna hoja ya msingi ya kuwa na tume huru ya uchaguzi ili kuondoa mwingiliano wa tume na serikali iliyopo madarakani lakini atleast katika uchaguzi wa mwaka huu hakuna aliyeporwa ushindi wa uraisi, aliyeshinda ndiye aliyetangazwa na tume.
 
Watanganyika hamna lenu kazi yenu ni ushabiki tu kama mpira lkn vitendo hamna subirini uchaguzi mwengine muje na ushabiki mwengine. Mulitumia ukatoliki mukafikiri mutashinda huku mukijua kua waislam ktk nchi hii ni zaidi ya 60%. Hapo ndio mulipo umia maana kwa gia ya udini hamtoshinda maisha. Halafu mbona leo hamja sherehekea uhuru wenu wa tanzania bara? Hahahaha..... Tanzania baraa? Kwenda zakoni nyie.
 
Ruta

Hujitambui na wala huna msaada wowote kwa taifa hili hivyo huna haki ya kutoa ushauri wa aina yoyote kwa wa Tanzania, ........kwanza fanya kazi ya kwanza na ya mhimu ya kuweza kujitambua..........

Kama umeshindwa kujua swala dogo tu la utashi wa taifa hili kwa misingi ya katiba juu ya kuhoji matokeo ya uchaguzi yanayo muweka raisi madarakani basi huna faida yoyote na unastahili kukaa kimya kabisa........

Unalazimisha Dr.Slaa atoe tamko? Kama wewe ni mweridi wa mambo mshauri Dr. atoe tamko gani ili ueleweke kuwa wewe nijasiri usiye ogopa kueleza wazi wazi kuwa huna uelewa wakutosha juu ya mstakabali wa taifa lako.......
 
Haujakosea.


Hivi ulishajiuliza kwa nini wananchi walikuwa wakiandamana kushinikiza kutangazwa kwa matokeo ya ubunge wa baadhi ya maeneo lakin hawakuwa na haja ya kusubiri kusomewa matokeo ya uraisi katika majimbo yao?..wanaujua ukweli!!

Kuna hoja ya msingi ya kuwa na tume huru ya uchaguzi ili kuondoa mwingiliano wa tume na serikali iliyopo madarakani lakini atleast katika uchaguzi wa mwaka huu hakuna aliyeporwa ushindi wa uraisi, aliyeshinda ndiye aliyetangazwa na tume.
Aha nimekusoma mkuu, ila naomba nikuhakikishie kuwa hata wanaCCM wenyewe tena wenye wadhifa mzito wamekiri kuwepo kwa uchakachuaji tena wa urais, watu wa usalama wenyewe wamekiri kushiriki. Sasa sijui kama bado utasema kuwa hawa watu wamebuni hii kitu na kama ndiyo ni kwa njia gani?
Na mimi pia nauliza una uhakika wananchi hawakutaka kuandamana? Mbona basi taifa iliwekwa kwenye alert? Anyway siyo lazima taarifa zote ziwekwe hapa lakini kuna vitu vingi vilivyotokea nyuma ya pazia na kama kweli ulikuwepo mkuu unajua ukweli ni kuwa mlipata mtu mstaarabu sana kama Dr Slaa ndo maana leo hatuko hapo walipo Ivory Coast na siyo kwa sababu rais wenu alishinda kihalali.
Nawasilisha mkuu
 
Watanganyika hamna lenu kazi yenu ni ushabiki tu kama mpira lkn vitendo hamna subirini uchaguzi mwengine muje na ushabiki mwengine. Mulitumia ukatoliki mukafikiri mutashinda huku mukijua kua waislam ktk nchi hii ni zaidi ya 60%. Hapo ndio mulipo umia maana kwa gia ya udini hamtoshinda maisha. Halafu mbona leo hamja sherehekea uhuru wenu wa tanzania bara? Hahahaha..... Tanzania baraa? Kwenda zakoni nyie.
Endeleeni na kuushabikia udini na matusi yenu kwa wakatoliki majibu yake mutayapa siku moja mutasaga meno
 
Watanganyika hamna lenu kazi yenu ni ushabiki tu kama mpira lkn vitendo hamna subirini uchaguzi mwengine muje na ushabiki mwengine. Mulitumia ukatoliki mukafikiri mutashinda huku mukijua kua waislam ktk nchi hii ni zaidi ya 60%. Hapo ndio mulipo umia maana kwa gia ya udini hamtoshinda maisha. Halafu mbona leo hamja sherehekea uhuru wenu wa tanzania bara? Hahahaha..... Tanzania baraa? Kwenda zakoni nyie.

Hata sikuelewi mkuu umeingia na false accusations zisizoeleweka, hustahili kujibiwa!:loco:
 
Thumb up DR WP Slaa! tuko pamoja wewe si mtu wa kubweta bweta kama wengine tunajua truth speaks by itself and have heard it si lazima wewe useme seme kama mpayukaji!
 
Anyway siyo lazima taarifa zote ziwekwe hapa lakini kuna vitu vingi vilivyotokea nyuma ya pazia na kama kweli ulikuwepo mkuu unajua ukweli ni kuwa mlipata mtu mstaarabu sana kama Dr Slaa ndo maana leo hatuko hapo walipo Ivory Coast na siyo kwa sababu rais wenu alishinda kihalali.
Nawasilisha mkuu

Mkuu nakuhakikishia kuwa endapo Chadema wangefanya kosa la kuitisha maandamano ya kupinga matokeo mwitikio wa wananchi katika maandamano hayo ungedhihirisha kuwa aliyetangazwa kuwa Rais ndiye mshindi halali, hivyo Dr. Slaa hajafanya aliyoyafanya Quattara sio kwa sababu ni mstaarabu saana bali ni kwa kuwa anajua kuwa hakuwa mshindi wa uchaguzi ule, huu ndio ukweli.

Lakini uchaguzi huu umeonyesha pia kuwa wananchi wameanza tena kuukubali upinzani, changamoto iliyopo kwa Chadema ni kujiimarisha zaidi katika pande zote za nchi kuelekea 2015, kuhakikisha wabunge na madiwani wake wanakidhi matarajio ya wananchi wao ili kuongeza chachu ya kusambaa kwa mabadiliko kwenye majimbo/kata zingine na kuepuka njia waliyoipitia NCCR Mageuzi baada ya uchaguzi wa 1995.
 
Watanganyika hamna lenu kazi yenu ni ushabiki tu kama mpira lkn vitendo hamna subirini uchaguzi mwengine muje na ushabiki mwengine. Mulitumia ukatoliki mukafikiri mutashinda huku mukijua kua waislam ktk nchi hii ni zaidi ya 60%. Hapo ndio mulipo umia maana kwa gia ya udini hamtoshinda maisha. Halafu mbona leo hamja sherehekea uhuru wenu wa tanzania bara? Hahahaha..... Tanzania baraa? Kwenda zakoni nyie.


Unamegwa wewe nani kakwambia Waislam ni 60% toa dataz...au unaangalia Zanzibar? Dini ya wabaguzi wakubwa nyie...kafie mbele huko...wajilipua wewe unataka?
 
Kuna haja ya Chadema kuleta huo ushahidi wa kuthibitisha kuna uchakachuaji wa kura ulitokea, wasituletee habari za kwamba ushahidi wamepeleka NEC, huo ushahidi uliopelekwa NEC utakuwaje na nguvu ilihali NEC ndiyo mtuhumiwa?.

Halafu kuna wanaoridhika na Matokeo ya Geita kuwa ndiyo uchakachuaji wenyewe, NEC wamekiri kwamba kulikuwa na tatizo katika hilo na wamelirekebisha, haya tuelezeni basi tatizo lingine liko wapi ambalo ni la ushahidi wa kuonyesha Slaa alimshinda JK ukiondoa vitatizo vya hapa na pale?

Mimi ninasema, Chadema lazima watuambie, ni vipi, na ni wapi, na ni nani walioshiriki katika uchakachuaji wa kura, na ni kura ngapi zilichakachuliwa, na Slaa alipata asilimia ngapi ya kura halali, wakiweza kuyajibu haya maswali nitawaona watu waliokuwa na ushahidi wa kutosha katika lile walilosema la uchakachuaji, otherwise mpaka sasa hawajaniconvince vya kutosha.
 
Rais Mwizi sasa amemuambukiza hata mwanae, lakini akae akijua kwamba watakaolipa big time ni wanae atakaowaacha, hii ni nchi yetu sote na dhihaka wanazozifanya zinaonekana hadharani.



Kama Chama Cha Majambazi kinaona tuhuma hizo sio za kweli kimpeleke mahakamani Dr Slaa kwa sababu amezitoa hadharani na kunukuliwa na magazeti. Kwa Chama Cha Majambazi kutokuchukua hatua za kisheria kinaridhika na kukubali madai ya Dr. Slaa. Badala yake tunasikia huyu dogo kimburu anaharisha hovyo.
 
Ni nani atasahau hizi picha.....................

pg17.jpg


Ni nani atasahau hoja hizi za Dr. Slaa.......................


Dk. Slaa apinga matokeo


*Asema Usalama wa Taifa wamechakachua kura
*Aeleza tofauti ya zinazotangazwa na za vituoni
*Sasa aiomba jumuiya ya kimataifa iingilie kati
*Ridhiwan asema ameshaona dalili za kushindwa

Na Maregesi Paul

MGOMBEA urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Wilbrod Slaa, ametoa tuhuma nzito za wizi wa kura akiihusisha Idara ya Usalama wa Taifa.

Amesema kuwa kitendo cha Idara hiyo kujiingiza katika siasa na kushiriki kubadili matokeo ya kura katika maeneo mbalimbali nchini ni cha hatari kwa kuwa viongozi wanaopatikana sio chaguo la wananchi.

Amesema kwamba kubadili matokeo kunaweza kuzua vurugu kwa kuwa wapigakura wanajua ukweli juu ya kinachofanywa.

Dk. Slaa alitoa kauli hiyo alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari katika Makao Makuu ya Chadema, Kinondoni jijini Dar es Salaam, jana.


Mmoja wa watuhumiwa wa "uchakachuaji kura", Ridhiwan Kikwete, amejitokeza haraka kujibu tuhuma hizo, akisema Dk. Slaa ametoa madai hewa baada ya kuona kuna dalili zote za yeye kuukosa urais.

Ridhiwan alisema Dk. Slaa anachofanya ni kutapatapa kutokana na imani yake kwamba watu wengi waliokuwa wakifika kwenye mikutano yake wangempa kura.

"Asidanganywe na umati aliokuwa akiupata, awaulize kina Augustine Mrema au Freeman Mbowe, asichukulie kuwa wote aliowaona walikuwa wapigakura wake, wengine walifika kumshangaa mambo aliyokuwa akizungumza," alisema Rishiwan.

Maudhui ya mkutano wa Dk. Slaa yalikuwa kueleza jinsi Chadema isivyoridhishwa na mwenendo wa utoaji matokeo ya kura zilizopigwa Oktoba 31.

“Tumewaiteni hapa ili kuzungumzia mwenendo wa kura za urais kwani kwa mujibu wa Katiba yetu, Rais akishaapishwa hakuna chombo chochote kinachoruhusiwa kuhoji ushindi wake.

“Kwa kuwa NEC inaendelea kutangaza matokeo yanayoonekana kuwa na dosari, naomba nisema yafuatayo kwa kuwa ni ya msingi kwa mustakabali wa nchi hii.

“Kama wote tunaitakia mema nchi hii, naiomba Tume ya Taifa ya Uchaguzi ifute matokeo yote ya urais na kura zirudiwe upya kwa kuwa hayo yanayotangazwa sio matokeo ya wananchi.

“Hatuwezi kukubali matokeo ya dola, hizo si kura za wananchi, ni kura za Usalama wa Taifa ambao wameshiriki kuchakachua matokeo haya.

“Vile vile matokeo ya ubunge yaliyochakachuliwa katika majimbo yote, NEC iyafute na uchaguzi urejewe upya ili haki iweze kutendeka.

“Lakini, kama tabia hii ya kuchakachua matokeo haitakoma, siku uzalendo utakapotushinda na tukawaamuru wananchi waingie mitaani, tusilaumiwe.

“Hivi wananchi wakiingia mitaani nani atabaki, siyo CCM wala Chadema, CCM wasitake kutupeleka huko tusikotaka.

“Katika haya, jumuiya ya kimataifa lazima itoe hadharani ripoti yake, TEMCO nao wasiogope kuitoa, waitoe ili wananchi wajue kilichofanywa na CCM,” alisema Dk. Slaa.

Alimtaka Mkuu wa Usalama wa Taifa ajiuzulu wadhifa huo kwa maelezo kwamba ana hakika maofisa wa Idara yake wameshiriki kubadili matokeo ya kura zinazoelekea kumpa ushindi mgombea kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete.

Katika mkutano huo, mgombea huyo wa urais alitumia muda mrefu kueleza jinsi matokeo yalivyobadilishwa.

Alisema kuwa matokeo ya urais yanayotangazwa na NEC kutoka katika majimbo nchini yanatofautiana na matokeo yaliyoko katika vituo vya kupigia kura.

Katika hatua nyingine, alimtaka Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP), Said Mwema, aongoze Jeshi hilo kwa mujibu wa Kitabu cha Haki na Wajibu kwa Mpiga Kura kilichotungwa na Jeshi la Polisi.

Ama kweli kimya cha Dr. Slaa kina mshindo mkuu......................


Slaa pigo alilopigwa na JK tunaita pigo takatifu , ni mambo ya shoka moja tu mbuyu chini. Sio kwamba amekaa kimya, hiyo ni aibu ya kushindwa kwani hakutegemea na watu waliokuwa wanajaa kwenye mikutano yake angepata kura za aibu kiasi kile. Ajiandae aingie tena 2015 apewe pigo lingine kabambe ambalo hato inuka tena
 
Slaa pigo alilopigwa na JK tunaita pigo takatifu , ni mambo ya shoka moja tu mbuyu chini. Sio kwamba amekaa kimya, hiyo ni aibu ya kushindwa kwani hakutegemea na watu waliokuwa wanajaa kwenye mikutano yake angepata kura za aibu kiasi kile. Ajiandae aingie tena 2015 apewe pigo lingine kabambe ambalo hato inuka tena

Mweu.
 
Rais Mwizi sasa amemuambukiza hata mwanae, lakini akae akijua kwamba watakaolipa big time ni wanae atakaowaacha, hii ni nchi yetu sote na dhihaka wanazozifanya zinaonekana hadharani.



Kama Chama Cha Majambazi kinaona tuhuma hizo sio za kweli kimpeleke mahakamani Dr Slaa kwa sababu amezitoa hadharani na kunukuliwa na magazeti. Kwa Chama Cha Majambazi kutokuchukua hatua za kisheria kinaridhika na kukubali madai ya Dr. Slaa. Badala yake tunasikia huyu dogo kimburu anaharisha hovyo.

Chaggas Development Manifesto (CHADEMA) wao ndio waende mahakamani, si ndio wanadai wamedhulumiwa?. CHADEMA hawana ushahidi wowote wa kuibiwa kura, wameshindwa kihalali kwenye uchaguzi wa kidemokrasia. Ndio maana mpaka leo Slaa ameamua kuwa kimya kwa aibu ya kushindwa, na huu twauita ushindi wa kishindo wa JK.
 
Kuna haja ya Chadema kuleta huo ushahidi wa kuthibitisha kuna uchakachuaji wa kura ulitokea, wasituletee habari za kwamba ushahidi wamepeleka NEC, huo ushahidi uliopelekwa NEC utakuwaje na nguvu ilihali NEC ndiyo mtuhumiwa?.

Halafu kuna wanaoridhika na Matokeo ya Geita kuwa ndiyo uchakachuaji wenyewe, NEC wamekiri kwamba kulikuwa na tatizo katika hilo na wamelirekebisha, haya tuelezeni basi tatizo lingine liko wapi ambalo ni la ushahidi wa kuonyesha Slaa alimshinda JK ukiondoa vitatizo vya hapa na pale?

Mimi ninasema, Chadema lazima watuambie, ni vipi, na ni wapi, na ni nani walioshiriki katika uchakachuaji wa kura, na ni kura ngapi zilichakachuliwa, na Slaa alipata asilimia ngapi ya kura halali, wakiweza kuyajibu haya maswali nitawaona watu waliokuwa na ushahidi wa kutosha katika lile walilosema la uchakachuaji, otherwise mpaka sasa hawajaniconvince vya kutosha.

Haraka za nini? Ni lini Chadema ilitangaza kushindwa kutoa taarifa?Nakumbuka walitangaza wanafanyia kazi,Ninyi watu wa ccm vipi? Nasema Mtakoma hata nguvu ya uma itawaenyesha.
 
Kuna haja ya Chadema kuleta huo ushahidi wa kuthibitisha kuna uchakachuaji wa kura ulitokea, wasituletee habari za kwamba ushahidi wamepeleka NEC, huo ushahidi uliopelekwa NEC utakuwaje na nguvu ilihali NEC ndiyo mtuhumiwa?.

Halafu kuna wanaoridhika na Matokeo ya Geita kuwa ndiyo uchakachuaji wenyewe, NEC wamekiri kwamba kulikuwa na tatizo katika hilo na wamelirekebisha, haya tuelezeni basi tatizo lingine liko wapi ambalo ni la ushahidi wa kuonyesha Slaa alimshinda JK ukiondoa vitatizo vya hapa na pale?

Mimi ninasema, Chadema lazima watuambie, ni vipi, na ni wapi, na ni nani walioshiriki katika uchakachuaji wa kura, na ni kura ngapi zilichakachuliwa, na Slaa alipata asilimia ngapi ya kura halali, wakiweza kuyajibu haya maswali nitawaona watu waliokuwa na ushahidi wa kutosha katika lile walilosema la uchakachuaji, otherwise mpaka sasa hawajaniconvince vya kutosha.

Chaggas Development Manifesto (CHADEMA) hawana ushahidi wowote ule ndio maana wamepigwa butwaa, kwa jinsi niwajuavyo CHADEMA watu wa kelele nyingi na kujitafutia umaarufu wangekuwa na ushahidi Slaa angeisha utoa muda mrefu, ila sasa hana lolote, atoe nini sasa mzee wa watu ?????????.

 
Mkuu nakuhakikishia kuwa endapo Chadema wangefanya kosa la kuitisha maandamano ya kupinga matokeo mwitikio wa wananchi katika maandamano hayo ungedhihirisha kuwa aliyetangazwa kuwa Rais ndiye mshindi halali, hivyo Dr. Slaa hajafanya aliyoyafanya Quattara sio kwa sababu ni mstaarabu saana bali ni kwa kuwa anajua kuwa hakuwa mshindi wa uchaguzi ule, huu ndio ukweli.

Lakini uchaguzi huu umeonyesha pia kuwa wananchi wameanza tena kuukubali upinzani, changamoto iliyopo kwa Chadema ni kujiimarisha zaidi katika pande zote za nchi kuelekea 2015, kuhakikisha wabunge na madiwani wake wanakidhi matarajio ya wananchi wao ili kuongeza chachu ya kusambaa kwa mabadiliko kwenye majimbo/kata zingine na kuepuka njia waliyoipitia NCCR Mageuzi baada ya uchaguzi wa 1995.

Msimlinganishe Slaa na Quattara. Quattara yeye alitangazwa na Tume ya Uchaguzi kuwa ndio mshindi , je Slaa alitangazwa hivyo???. Ndio maana Jumuiya ya Kimataifa imeisha toa kauli mbali mbali za kumshutumu Bagbo na kumtambua Quattara, je kwa Tanzania waliisha mshutumu JK na kumtambua Slaa???. Hii ina maana hata waangalizi wao waliona uchaguzi ulikuwa wa huru na wa haki, na lolote atakalo sema watampuuza tu.
 
Back
Top Bottom