Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,172
Katika mahojiano kati ya BBC na Dr. Slaa leo jioni Raisi wetu Mtarajiwa Dr. Wilbard Slaa ametuhakikishia ya kuwa ameshinda Uraisi kwa kura zaidi ya milioni 15.........
Akitoa mfano wa uchakachuajii wa CCM alisema lipo jimbo ambalo amepata kura 15,000 lakini NEC yadai alipata kura 3,000 tu.........
Dr. Slaa ameimuru NEC iache mara moja kuendelea kutangaza matokeo hayo ya Uraisi kama wanaitakia nchi hii mema..................
BBC walipomuuliza nini kifanyike Dr. Slaa alidai uchaguzi wa Uraisi ni lazima urudiwe haraka iwezekanavyo...............
Mimi hapo nipo na Dr. Slaa kwa asilimia mia moja kwa sababu uongozi unaoingia madarakani kwa dhuluma utaendesha nchi kwa dhuluma tu ni kheri tupate shida kidogo ili wapigakura tupewe heshima yetu tunayostahili ya kubadili serikali kila mara tunapoona uhaja wa kufanya hivyo....................
Akitoa mfano wa uchakachuajii wa CCM alisema lipo jimbo ambalo amepata kura 15,000 lakini NEC yadai alipata kura 3,000 tu.........
Dr. Slaa ameimuru NEC iache mara moja kuendelea kutangaza matokeo hayo ya Uraisi kama wanaitakia nchi hii mema..................
BBC walipomuuliza nini kifanyike Dr. Slaa alidai uchaguzi wa Uraisi ni lazima urudiwe haraka iwezekanavyo...............
Mimi hapo nipo na Dr. Slaa kwa asilimia mia moja kwa sababu uongozi unaoingia madarakani kwa dhuluma utaendesha nchi kwa dhuluma tu ni kheri tupate shida kidogo ili wapigakura tupewe heshima yetu tunayostahili ya kubadili serikali kila mara tunapoona uhaja wa kufanya hivyo....................