Mubezi
Member
- Sep 27, 2010
- 71
- 23
Mimi naishi buguruni,nimepiga kura pale malapa,na kuna jamaa mmoja alikamatwa akiingiza fom ya kupiga kura zikiwa mbili, so pale msimamizi alimuona akiangaika kuingiza fom mbili kwa mpigo akishindwa,zilipoangaliwa zilikutwa zote zimetikiwa kikwete,pia na uko tabora alikamatwa mtu akiwa na fom 6 zikiwa zimeshatikiwa kikwete akisubili kuingia kupiga kura,je la kujiuliza wamefanya watu wangapi hayo mambo?
Pili je tume imelichukuliaje ilo,je kweli huo ulikuwa uchaguzi wa haki,Dr slaa anataka kama kuna kasoro kama hizi zitolewe ufafanuzi,na matokeo yafutwe kwani wapo wengi wamafanya mambo haya, je wadau mnasemaje?
Maana inasemekana waliofanya mambo hayo ni wale vijana wa green guard, na walikuwepo kama laki 3,so kama kila mmoja kapiga kura ya uraisi mara mbili,jiulize watokeo yatakuwa ya kweli hayo?
Pili je tume imelichukuliaje ilo,je kweli huo ulikuwa uchaguzi wa haki,Dr slaa anataka kama kuna kasoro kama hizi zitolewe ufafanuzi,na matokeo yafutwe kwani wapo wengi wamafanya mambo haya, je wadau mnasemaje?
Maana inasemekana waliofanya mambo hayo ni wale vijana wa green guard, na walikuwepo kama laki 3,so kama kila mmoja kapiga kura ya uraisi mara mbili,jiulize watokeo yatakuwa ya kweli hayo?