Elections 2010 Dr. Slaa anatafutwa kujibu maswali yafuatayo.

Gwallo

JF-Expert Member
Oct 15, 2010
3,200
3,761
Jana nillikuwa katika jimbo la uchaguzi la karatu na nilikutana na watu wengi wenye maswali yafuatayo.

1.Je matokeo yaliyotangazwa na tume nec yanatofauti gani na matokeo kwenye vituo?

2.Je Dr. Slaa alishindwa ktk uchaguzi uliopita? kama ndiyo jibu ni ndiyo kwa kiasi gani cha kura kama ni laa kwa kiasi gani cha kura?

3.Je wachungaji na maaskofu walioenda kumpoza Dr. Slaa ndiyo wapiga kura pekee yao? na je nani anayehitaji kupozwa ni wananchi waliathirika na matokeo hayo au Dr.Slaa?

4.Je Dr.atazungumza na wanachi lini? kauli yake ndiyo jibu pekee la kutufariji katika wakati huu wa majonzi makuu ya janga la matokeo ya uchaguzi.

Pamoja na kujitahidi kuwaelimisha wananchi hao walioonekana wana jazba kuwa Dr.Slaa anajipanga namna ya kukabiliana na hili bado hawakuridhika. Kitakacho weza kupoza mioyo ya wananchi hawa ni Dr. Slaa kutoa ufafanuzi juu ya yaliyojiri kipindi cha uchaguzi na namna ya kupita katika kipindi hiki kigumu cha miaka 5.............Wadau nawasilisha.


 
Jana nillikuwa katika jimbo la uchaguzi la karatu na nilikutana na watu wengi wenye maswali yafuatayo.

1.Je matokeo yaliyotangazwa na tume nec yanatofauti gani na matokeo kwenye vituo?

2.Je Dr. Slaa alishindwa ktk uchaguzi uliopita? kama ndiyo jibu ni ndiyo kwa kiasi gani cha kura kama ni laa kwa kiasi gani cha kura?

3.Je wachungaji na maaskofu walioenda kumpoza Dr. Slaa ndiyo wapiga kura pekee yao? na je nani anayehitaji kupozwa ni wananchi waliathirika na matokeo hayo au Dr.Slaa?

4.Je Dr.atazungumza na wanachi lini? kauli yake ndiyo jibu pekee la kutufariji katika wakati huu wa majonzi makuu ya janga la matokeo ya uchaguzi.

Pamoja na kujitahidi kuwaelimisha wananchi hao walioonekana wana jazba kuwa Dr.Slaa anajipanga namna ya kukabiliana na hili bado hawakuridhika. Kitakacho weza kupoza mioyo ya wananchi hawa ni Dr. Slaa kutoa ufafanuzi juu ya yaliyojiri kipindi cha uchaguzi na namna ya kupita katika kipindi hiki kigumu cha miaka 5.............Wadau nawasilisha.


Kama hawataki makubwa wawaulize wazee wa NEC hayo maswali 2 ya juu
 
Jana nillikuwa katika jimbo la uchaguzi la karatu na nilikutana na watu wengi wenye maswali yafuatayo.

1.Je matokeo yaliyotangazwa na tume nec yanatofauti gani na matokeo kwenye vituo?

2.Je Dr. Slaa alishindwa ktk uchaguzi uliopita? kama ndiyo jibu ni ndiyo kwa kiasi gani cha kura kama ni laa kwa kiasi gani cha kura?

3.Je wachungaji na maaskofu walioenda kumpoza Dr. Slaa ndiyo wapiga kura pekee yao? na je nani anayehitaji kupozwa ni wananchi waliathirika na matokeo hayo au Dr.Slaa?

4.Je Dr.atazungumza na wanachi lini? kauli yake ndiyo jibu pekee la kutufariji katika wakati huu wa majonzi makuu ya janga la matokeo ya uchaguzi.

Pamoja na kujitahidi kuwaelimisha wananchi hao walioonekana wana jazba kuwa Dr.Slaa anajipanga namna ya kukabiliana na hili bado hawakuridhika. Kitakacho weza kupoza mioyo ya wananchi hawa ni Dr. Slaa kutoa ufafanuzi juu ya yaliyojiri kipindi cha uchaguzi na namna ya kupita katika kipindi hiki kigumu cha miaka 5.............Wadau nawasilisha.


 
Last edited by a moderator:
Nawapa pole ndugu zetu wa Karatu kwa kuachwa "njia ya panda". Ushauri uliotelewa hapa https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...wana-mkakati;-endeleeni-na-shughuli-zenu.html unaweza kuwasaidia.

Wale watu huwezi kwenda kuwaambia ushauri unaotoa hapa kwenye hiyo attachment hawatakuelewa, wanajua jambo moja kwamba Dr.Slaa alijitokeza kwenye vyombo vya habari kusema kura zinazotangazwa na tume haina uhusiano na matokeo ya kura ya vituoni,wanachota ni kuambiwa tofauti hiyo imetoka wapi na nini hatima ya tofauti hiyo.
 
Wale watu huwezi kwenda kuwaambia ushauri unaotoa hapa kwenye hiyo attachment hawatakuelewa, wanajua jambo moja kwamba Dr.Slaa alijitokeza kwenye vyombo vya habari kusema kura zinazotangazwa na tume haina uhusiano na matokeo ya kura ya vituoni,wanachota ni kuambiwa tofauti hiyo imetoka wapi na nini hatima ya tofauti hiyo.

Hapo kweli pamekuwa pagumu. Sasa ndugu yetu Slaa hakuna kingine zaidi ya kwenda kuongea nao kwa sababu inaonekana yeye wanamuamini na watamsikilize akiwapa mwongozo.
 
Inawezekana kabisa hiyo 61% ilikuwa ni ya SLAA ila Kiruvi alichanganya majina kama alivyokili mwanzo kuwa alichanganya pia kutaja badala ya Nyangwale akatanganza ya Geita..lol.Ila tukimkumbusaha anaweza akabadili na kutoa matokeo yaliyo halisi zaidi na yaliyomategemeo ya wengi zaidi.:israel:
kwani wewe hujui kuwa 61.17% alizopata JK ndo zilikuwa za Dr. Slaa
 
Ukweli ni kwamba tume ya uchaguzi kwa makusudi kabisa imeamua kutuchagulia viongozi. Baada ya kuona majimbo mengi ya awali yananyakuliwa na chadema, tume iliamua kwa makusudi kuchelewa kutangaza matokeo ya majimbo mengine. Jimbo la segerea licha ya vituo 36 kutohusishwa katika kuhesabu kura, bado matokeo ya msingi yalipotoshwa na tume bila woga ilisema wanaopinga waende mahakamani. Hali imekuwa hivyo kwa majimbo yote yaliyocheleweshwa matokeo, yote yameangukia kwa ccm. Kuthibitisha kwamba tume ilifanya kusudi kuharibu matokeo, majimbo ya musoma mjini na musoma vijijini, matokeo ya kura za uraisi yanazidi za wagombea ubunge kwa zaidi ya kura 20,000. Kwa tume hii na katiba hii, haki haitokuwepo ni bora jeshi lichukue nchi.
 
Back
Top Bottom