Good point...Hivi kwa nini chadema wasianzishe jeshi lao kama lile la umkhonto we sizwe....
Zomba kwa umri wako na heshima yako sitegemei ungesema uwongo mkubwa mchana kweupe namna hii.Thibitisha uwongo wake kwanza kwa rekodi zako. Nimekusoma kwenye thread nyingine ukisema uwongo wa mchana kweupe kuhusu Dr slaa huko Karatu ambako nadhani hata hujafika. Huyu mzee mbona anawasumbua sana?
Ebu niambie Chadema mlitumia vigezo gani kuyakataa matokea ya urais halafu mkayakubali matokeo ya ubunge na udiwani.
Sidhani kama hayo maneno yatakuwa yanawasaidia ccm,kwa hali ilivyo sasa hivi kila kona ya nchi hii wananchi wanateseka kwa kiasi kikubwa sana,sasa mtu kama nape anakuja na propaganda dhaifu kama hizi,inaonesha ni jinsi gani M4C inavyo haribu ubongo wa hawa watu!!!
Nape asubilie tu adhabu yake na hilo shavu lake. Kijana mdogo unanenepeana ovyoovyo utapata wapi mda wa kufikiria mambo ya maana kuhusu inchi yako. Kazi yake siku hizi nikufikiria kesho aseme nini kuhusu Chama cha Mungu. Usishindane na ukweli Mr. Nape na kaa ukijua baiskeri huwa haziogonzwi na traffic
Kimweli,
UNAMAANISHA MTEI NDO MUNGU KWENU?!!! au
mkuu umenichekesha kweli eti baisikeli haziongozwi na trafiki,ccm mwaka huu watajibebaNape asubilie tu adhabu yake na hilo shavu lake. Kijana mdogo unanenepeana ovyoovyo utapata wapi mda wa kufikiria mambo ya maana kuhusu inchi yako. Kazi yake siku hizi nikufikiria kesho aseme nini kuhusu Chama cha Mungu. Usishindane na ukweli Mr. Nape na kaa ukijua baiskeri huwa haziogonzwi na traffic
walisema kikwete ni chaguo la Mungu hukununa,Ni hivi Mungu alimtuma kikwete ili aiue ccm chadema chama la wazalendo na kipenzi cha watu kipate kutawala hapo 2015,hutaki unaacha na usitake kushindana na MunguCDM nawakubali lakin napata sana doubt mnapomuhusisha husisha sana Mungu katika hoja zenu,na sio mara moja nimesikia hcho kitu
mkuu unatakata tumuhusishe shekhe Yahaya? kama ambapo dhaifu anaongoza nchi kwa imani za majin?CDM nawakubali lakin napata sana doubt mnapomuhusisha husisha sana Mungu katika hoja zenu,na sio mara moja nimesikia hcho kitu