Mingoi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2012
- 11,715
- 6,119
Mkuu umenichanganya hapa,
kati ya mtu anayesema kuna xx ameingiza silaha kijambazi na huyo jambazi ambaye tuliwahi kumjua kuwa ni mtu mwenye heshima huko nyuma, ni nani wa kupima epilepsy?
Dr Willbroad Slaa, na dalili kuwa si mzima ni juu ya kauli zake na matendo yake kama kupoteza kumbukumbu na kutelekeza familia,kuropoka maneno ya hovyo hovyo,kuhisi anataka kuuliwa. Si vibaya mkifuata ushauri kwani kucheck afya ni jambo la kawaida.