Laurence
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 3,104
- 420
Tulia dogo mbona unaweweseka na mipovu kukutoka kila konaNaona machine ya Lister Peter (Tanzania daima) inaendelea kumwaga pumba, hivi ni kweli Dr Slaa anaweza kutamka uupzi wa aina hii au wakati anazungumza sukari ilikuwa imepanda?