Henge
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 6,933
- 1,510
hizo kauli za kutupa MOYO hatuzitaki kama kunyongwa anyongwe tuu na haki zake hatumpiii!Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni. Isitoshe Roma haikujengwa kwa siku moja!
hizo kauli za kutupa MOYO hatuzitaki kama kunyongwa anyongwe tuu na haki zake hatumpiii!Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni. Isitoshe Roma haikujengwa kwa siku moja!
Hivi huwaanaenda kusalimia tuuu!!! mhhh au kunajingine!Kitu ambacho mheshimiwa hakukiahidi ila kinatekelezwa kikamilifu ni kwenda kijijini Ms(z)oga kila wiki na msusuru wa ma-nissan! Damn
Enyi wana CDM na wanaharakati wote
Baada ya kusoma maoni ya wengi nimegundua kuwa wanaJF hawataki aguswe Dr. Slaa kwa baya lolote. Namheshim Dr. Slaa ni msomi mwanaharaki mwenye ubongo uliohai ILA KWA NINI wanainchi wanamchukulia kuwa HAKOSEI?
(imefikia pahala TUMAINI University wanataka Dr. Slaa apewe saa nne za kulecture pale chuoni kila mwezi ili kufufua uzalendo kama vile hii nchi haina mzalendo mwingine)
KOSA NI KWA WENGINE ila makosa ya Dr. Slaa huitwa critical analysed ideas hence FACTS+media coverage mara gafla HUGEUKA MSIMAMO WA WANAINCHI.
mkuu, mnyonge ni yupi unae mzungumziaMnyonge mnyongeni, haki yake mpeni. Isitoshe Roma haikujengwa kwa siku moja!
eeeti Mkwere ndo Mnyonge!mkuu, mnyonge ni yupi unae mzungumzia
Hivi huwaanaenda kusalimia tuuu!!! mhhh au kunajingine!
Mkuu mbona kejeli hizo.Kwani mimi namtaja Dr kwa dini au kabila yake?eeeti Mkwere ndo Mnyonge!
unamtaka kwa lipi sasa........Mkuu mbona kejeli hizo.Kwani mimi namtaja Dr kwa dini au kabila yake?
LEO Dr. Slaa atakula wali samaki na nyie wana CDM wote kwa akili zenu lazima mkale wali samaki.
najaribu kuonesha namna wanaojiita wanavyuo,Cdm, Wanaharakati wanavyomtii Slaa hata kwa mambo ya ajabu.unamtaka kwa lipi sasa........
najaribu kuonesha namna wanaojiita wanavyuo,Cdm, Wanaharakati wanavyomtii Slaa hata kwa mambo ya ajabu.
tahadhari: uzee huo umakambaa huo Dr is no longer wa ukweli.
kwa hiyo MBOWE, LISSU,MNYIKA,MDEE na BAREGU hamuwapendi,mbona wenyewe tunawapa mabango kama kawaida hamuwatetei?Wewe umesha wahi kujiuliza ni kwanini watu wanampenda hivyo?
Labda nikukumbushe, Ni kiongozi shupavu asiyeogopa kuzungumza ukweli. Ni mzalendo wa kweli, mwenye kutupa matumaini kuwa bado kuna wazalendo ambao hawaogopi mafisadi na pesa zao.
Sote tunajua kuwa yeye naye ni binadamu, anaweza kosea, hata yeye anafahamu hivyo, ndiyo maana tunashirikiana naye katika mambo mbalimbali ikiwamo ushauri, kumbuka Dr Slaa ni member wa jf, yupo hapa kwa lengo la kupokea ushauri na kubadilishana mawazo.
Ila kama ikitokea mtu akamtuhumu bila sababu ya msingi basi lazima tuwe wakali, hii ni automatically tu maana tunampenda.
Nakubali CCM imeiumiza nchi kwa namna gharama za maisha zinavyopaa,ila mbona mko tayari kumkandia yeyote kasoro Dr. Slaa?Kumbuken uzee unaanza kumjia Slaa ataanza kauMAKAMBA kidogokidogo lakin bado mtamkubali.