Mulangila Mukuru
JF-Expert Member
- Feb 24, 2010
- 1,945
- 724
hueleweki mkuu hebu tupe watu mbadala wa tuwalinganishe na Dk.slaa then tuchambue.
mkuu si anakuuliza mwananchi wewe mkuu!Sasa si Ungewauliza Wananchi bana
Tafuta kwenye ccm kama kuna mzalendo unaye mjua kam utampata wangekuwepo wazalendo Dowans,Buzwagi,Kiwila,TRL,Loliondo,Richimond,IPTL,Tics,Rada,Magari ya jeshi,EPA,Majengo pacha!,Noti Zisizokuwa na viwango!,Kuua watu kwenye maandamano,Zanzibar+Arusha+Mbeya!,Kupanda kwa gharama za maisha!Vyote nilivyokutajia nivitu vinavyofanywa na ccm!!wakati wananchi wanakufa njaa!!Yote ni ccm!!Hivyo nje ya chadema hakuna uzalendo!!Enyi wana CDM na wanaharakati wote
Baada ya kusoma maoni ya wengi nimegundua kuwa wanaJF hawataki aguswe Dr. Slaa kwa baya lolote. Namheshim Dr. Slaa ni msomi mwanaharaki mwenye ubongo uliohai ILA KWA NINI wanainchi wanamchukulia kuwa HAKOSEI?
(imefikia pahala TUMAINI University wanataka Dr. Slaa apewe saa nne za kulecture pale chuoni kila mwezi ili kufufua uzalendo kama vile hii nchi haina mzalendo mwingine)
KOSA NI KWA WENGINE ila makosa ya Dr. Slaa huitwa critical analysed ideas hence FACTS+media coverage mara gafla HUGEUKA MSIMAMO WA WANAINCHI.
Siyo udhalilishwe nikwamba watu wanaona na kama wewe ni mpinga maendeleo basi wewe lazima usakamwe!!ndio maana nikasema ukitaka udhalilishwe mguse Dr.Slaa ,umeshaanza kunidhalilisha. KWANI LISSU NA MBOWE NI FISADI ? mbona hamuwi wakali tunapowagusa hao?
Nyie ccm ndiyo mtaiwasha moto nchi yameanzia Tunisia yapo Misiri ujue hata huku yatakuja!!Tumechoka lichama lakinyonyaji lakukumbatia mafisadihapana ila nadhan kama vijan hawatafanyiwa scanning ya bongo zao kuna siku Dr. atawaamuru wachafue aman na wataiwasha moto nchi.
dr slaa siyo malaika lakini hujatuambie wapi alikosea..
Mkuu nadhan hata wewe unashaliona hili kuwa kandia wote ila sio Dr Slaa, nakiri tunamatatizo pale LUMUMBA, mbona JF hawaruhusu kabisa mabaya ya Slaa kuanikwa?mkuu si anakuuliza mwananchi wewe mkuu!
Ni mpuuzi sana. Tarehe 5 Januari katika uwanja wa Unga Ltd, Arusha alipotangaza kuwa atahakikisha nchi haitawaliki unadhani ni maneno ya mtu anayeitakia mema nchi hii?? Huyu hajawahi kuwa na familia ya kwake mwenyewe ndiyo maana hajui maana ya nchi kutotawalika. CHEAP POPULARITY.
Mbona Misri wamewasha moto..hata hapa moto uwake tu hata leo. Wao wale na kusaza wakati sisi tunashindia kipande cha nguru? Au wewe kwako kuwa na amani maana yake ni nini?
BE BLESSED,,,,,,,,,, Huja analyze vizuri article yako lakini inaeleweka kwa yeyote mwenye akili timamu. akili ambazo haziongozwi na ushabiki maandazi kama walivyo wengi humuEnyi wana CDM na wanaharakati wote
Baada ya kusoma maoni ya wengi nimegundua kuwa wanaJF hawataki aguswe Dr. Slaa kwa baya lolote. Namheshim Dr. Slaa ni msomi mwanaharaki mwenye ubongo uliohai ILA KWA NINI wanainchi wanamchukulia kuwa HAKOSEI?
(imefikia pahala TUMAINI University wanataka Dr. Slaa apewe saa nne za kulecture pale chuoni kila mwezi ili kufufua uzalendo kama vile hii nchi haina mzalendo mwingine)
KOSA NI KWA WENGINE ila makosa ya Dr. Slaa huitwa critical analysed ideas hence FACTS+media coverage mara gafla HUGEUKA MSIMAMO WA WANAINCHI.
Wewe unadhani Dr. Slaa ni fisadi kama hao Mafisadi Papa RA, EL na chenge mzee wavisenti??? Acha utoto!!!
Enyi wana CDM na wanaharakati wote
Baada ya kusoma maoni ya wengi nimegundua kuwa wanaJF hawataki aguswe Dr. Slaa kwa baya lolote. Namheshim Dr. Slaa ni msomi mwanaharaki mwenye ubongo uliohai ILA KWA NINI wanainchi wanamchukulia kuwa HAKOSEI?
(imefikia pahala TUMAINI University wanataka Dr. Slaa apewe saa nne za kulecture pale chuoni kila mwezi ili kufufua uzalendo kama vile hii nchi haina mzalendo mwingine)
KOSA NI KWA WENGINE ila makosa ya Dr. Slaa huitwa critical analysed ideas hence FACTS+media coverage mara gafla HUGEUKA MSIMAMO WA WANAINCHI.
absolutely yes!!!! maneno ya Dr.(Phd) ni Gold kabisaaaaa kwangu!!!!! we ulitaka maneno ya JK yale ya kishankupe na ya kimbayuwayu yasiyotekelezeka ndo yawe dhahabu?????? never!!!!!!!!! eace:Mkuu nadhan hata wewe unashaliona hili kuwa kandia wote ila sio Dr Slaa, nakiri tunamatatizo pale LUMUMBA, mbona JF hawaruhusu kabisa mabaya ya Slaa kuanikwa?
Mtu anayezeeka sio wa kumkumbatia sana, CDM cHAMA CHA VIJANA kwa hiyo hata Slaa ni kijana???watakwambia ndio!!!aibu hawana
Umeona namna walivyohalalisha ishu ya kumpora mtu mkee? hawa ndio CDM Wanavyuo Wanaharakati na magreat thinkers
vyuoni hapakaliki kisa Slaa,yaan always maneno ya slaa ni dhahabu kwao na hukaririwa.
Enyi wana CDM na wanaharakati wote
Baada ya kusoma maoni ya wengi nimegundua kuwa wanaJF hawataki aguswe Dr. Slaa kwa baya lolote. Namheshim Dr. Slaa ni msomi mwanaharaki mwenye ubongo uliohai ILA KWA NINI wanainchi wanamchukulia kuwa HAKOSEI?
(imefikia pahala TUMAINI University wanataka Dr. Slaa apewe saa nne za kulecture pale chuoni kila mwezi ili kufufua uzalendo kama vile hii nchi haina mzalendo mwingine)
KOSA NI KWA WENGINE ila makosa ya Dr. Slaa huitwa critical analysed ideas hence FACTS+media coverage mara gafla HUGEUKA MSIMAMO WA WANAINCHI.
Enyi wana CDM na wanaharakati wote
Baada ya kusoma maoni ya wengi nimegundua kuwa wanaJF hawataki aguswe Dr. Slaa kwa baya lolote. Namheshim Dr. Slaa ni msomi mwanaharaki mwenye ubongo uliohai ILA KWA NINI wanainchi wanamchukulia kuwa HAKOSEI?
(imefikia pahala TUMAINI University wanataka Dr. Slaa apewe saa nne za kulecture pale chuoni kila mwezi ili kufufua uzalendo kama vile hii nchi haina mzalendo mwingine)
KOSA NI KWA WENGINE ila makosa ya Dr. Slaa huitwa critical analysed ideas hence FACTS+media coverage mara gafla HUGEUKA MSIMAMO WA WANAINCHI.
wewe ulimwelewaje kwa kauli yake hiyo?, unauhakika Dr hajawahi kuwa na familia?, ningekueleza zaidi kuhusu familia yake ila naona ni jambo la dr binafsi zaidi na halitusaidi kitaifa....Ni mpuuzi sana. Tarehe 5 Januari katika uwanja wa Unga Ltd, Arusha alipotangaza kuwa atahakikisha nchi haitawaliki unadhani ni maneno ya mtu anayeitakia mema nchi hii?? Huyu hajawahi kuwa na familia ya kwake mwenyewe ndiyo maana hajui maana ya nchi kutotawalika. CHEAP POPULARITY.
sijapewaga thanks tokea nijiunge JF kwa sababu yakuhoji mambo muhimu.ukitaka sredi yako iwe na wachangiaji wengi wengi andika HAJAWAI KUTOKEA DUNIANI MTU MAKINI KAMA SLAA hapo utaona nanma JF ilivyopoteza mwelekeo.BE BLESSED,,,,,,,,,, Huja analyze vizuri article yako lakini inaeleweka kwa yeyote mwenye akili timamu. akili ambazo haziongozwi na ushabiki maandazi kama walivyo wengi humu