Dr. Slaa amteua Mnyika kuwa Mkurugenzi wa Habari na Uenezi wa CHADEMA

Status
Not open for further replies.
Hao uliowataja wamekuambia wanaiweza hiyo nafasi? Je wamekumbia hawana majukumu kiasi hawatatingwa kama wangeteuliwa kwenye hiyo nafasi?
Oooohooo! Sasa haya maswali ndio ya wafungwa Segelea..nilichosema mimi Chadema ina vijana wengi sana wanaoiweza kazi hiyo sina sababu ya wao wanambie...Na kibaya zaidi nawashangaa sana wana Chadema siku zote siasa zenu ni za makundi tu... Yaani hapa tayari nimekwisha wasoma kwamba mnafikiri mimi niko against Mnyika, siwezi kuwa hivyo maana simjui wala sina makundi isipokuwa ukinambia kwamba Zitto ndio kapewa nitasema hivyo hivyo.

Hawa jamaa zetu ambao leo ni Wabunge wamekosa muda wa kukitumikia chama ipaswavyo baada ya kurundikiwa majukumu wao..Fact hiyo huwezi kuikimbia kwa kuuliza maswali bali kutafakari na kufanya maamuzi yanayokijenga chama.

Nakumbuka nilibahatika kuhudhulia kilkao kimoja cha Friends of Slaa (FoS) wapo vijana wengi pale vichwa safi sana tena wanajua sana kujenga hoja na wenye kutazama nje ya box, wana muda na sifa zote uzitakazo..JF ndio usiseme..Kwa nini vijana kama hawa wasitumiwe kukikuza chama badala yake tunawapa watu hao hao kama vile chama hiki kina wenyewe? - Au unataka nifukuzwe Uanachama mkuu wangu..
 
Hongera Mhe. Mnyikaa kwa kuaminiwa na Chama Chako...!!! Bila shaka weledi wako utadhihirisha uwezo wa vijana wakipewa fursa...!!!! Hongera sana!!
 
Mkandara nashukuru kwa mawazo yako kuwa viongozi hasa wabunge wanazidi kulundikiwa vyeo, lakini elewa si kila cheo anapewa mtu yeyote almradi terms zake ni nafuu. Cheo hicho cha katibu mwenezi kinatakiwa mtu anayekielewa vyema chama (not an employee) na awe loyal kwa chama na uongozi kwa ujumla. Hicho cheo kinaweza kukiuza chama au kukiua chama kwa muda mfupi sana refer Nape alivyopigwa stop baada ya miezi michache. Kwangu mimi naona Slaa kalamba dume kwa kumuweka Mnyika pale.

Ha ha ha ha ha ha! Mkuu hapo kwenye red umenikumbusha mbali! Jamaa walimwokota huko CCJ na kumzawadia eti uenezi wa chama. Ona sasa alivyovurunda hadi wakampiga ban wenyewe. Ama kweli magamba chiboko; sijui akili zao zinakaaga sehemu gani ya mwili.

Nakubaliana na wewe kabisa kwamba hiki cheo ni zaidi ya ajira; pamoja na kwamba CHADEMA inayo hazina ya vijana wengi tena wasomi wazuri na wengine hata michango yao tunaiona humu JF kama akina Ben lakini still ni lazima muhusika awe amepikwa na akaiva katika chama. Bravo Dr. Slaa, hongera Mh. Mnyika.
 
Wapo watu nawasoma kila siku huku wakiandika mambo mazito mazito na wanaelewa siasa za Bongo kwa nini tumwongezee mzigo Mnyika hali tayari kisha elemewa.. Kama unakumbuka kisha kuja hapa Kijiweni na kusema tummuwie radhi ana majukumu mengi sana hataonekana mara kwa mara hapa JF, leo unampa kazi inayohusu swala amblo yeye mwenyewe alishindwa kutokana na majukumu mengine?..

Kama kawaida yangu mimi siku zote msema kweli sina unafiki napoona jambo halikukaa vema hulisema sisubiri kwanza watu walitafune.. Binafsi nadhani Mnyika anatakiwa kupunguziwa kazi ili apate muda mzuri wa kuboresha sehemu alizopo, haya ya kuongezewa majukumu zaidi wakati vijana wapo wanakula, kushinda na kulala JF, Mwananchi, na vijiweni nadhani sii uchaguzi mzuri..
Mkandara your idea is good but not very practical.

Tofautisha kushinda JF ukishusha nondo na ku face the reality on ground, kunatakiwa ujasiri wa ziada si huu unaobishana na mtu nyuma ya laptop huku umelala kitandani, nafikiri tukikupa wewe siku ya pili utaomba kujiuzulu. Sikatai kuwa kuna vijana wanaweza lakini swala si kuweza tu wajitokeze basi, na wala si kujitokeza tu je wanakubalika na jamii? je ideology zao zinaendana na za chama? maana unaweza kuta mchangiaji mzuri humu JF lakini ideology yake hai-fit kwenye hivi vyama labda ni kati ya wanaotaka mgombea binafsi, au ni mchangiaji mzuri JF lakini management/leadership hawezi na vitu kama hivyo.
 
Ha ha ha ha ha ha! Mkuu hapo kwenye red umenikumbusha mbali! Jamaa walimwokota huko CCJ na kumzawadia eti uenezi wa chama. Ona sasa alivyovurunda hadi wakampiga ban wenyewe. Ama kweli magamba chiboko; sijui akili zao zinakaaga sehemu gani ya mwili.

Nakubaliana na wewe kabisa kwamba hiki cheo ni zaidi ya ajira; pamoja na kwamba CHADEMA inayo hazina ya vijana wengi tena wasomi wazuri na wengine hata michango yao tunaiona humu JF kama akina Ben lakini still ni lazima muhusika awe amepikwa na akaiva katika chama. Bravo Dr. Slaa, hongera Mh. Mnyika.
Sasa unataka kunambia CCM walifanya makosa kumchukua NAPE kwa sababu walikuwa na siri za Ufisadi ktk kujivua magamba!..Makosa mchagua mkweli isipokuwa mnafiki yule anayeweza kuwalinda kina Lowassa.. Haya nambie huku kwetu Chadema mna siri za Ufisadi upi ambao Mnyika ataulinda maana naona sasa mnatoka kwenye mada mnaanza habari za CCM..
 
Mkandara your idea is good but not very practical.

Tofautisha kushinda JF ukishusha nondo na ku face the reality on ground, kunatakiwa ujasiri wa ziada si huu unaobishana na mtu nyuma ya laptop huku umelala kitandani, nafikiri tukikupa wewe siku ya pili utaomba kujiuzulu. Sikatai kuwa kuna vijana wanaweza lakini swala si kuweza tu wajitokeze basi, na wala si kujitokeza tu je wanakubalika na jamii? je ideology zao zinaendana na za chama? maana unaweza kuta mchangiaji mzuri humu JF lakini ideology yake hai-fit kwenye hivi vyama labda ni kati ya wanaotaka mgombea binafsi, au ni mchangiaji mzuri JF lakini management/leadership hawezi na vitu kama hivyo.
Ni kipimo kipi kilichotumika ikiwa Mnyika mwenyewe kwa kauli yake kisha sema ana majukumu mengi ametingwa hawezi kuwepo mtandaoni mara kwa mara..

Mkuu wangu hata siku moja usidharau nguvu ya mtandao na wala usiseme Mwanakijiji au Mzee Es hawezi kukitetea chama au kukitangaza chama maana nguvu yote ya utangazaji dunia hii ni kupitia vyombo vya habari na sio microphone. Dunia hiyo ya kina Makamba na imepitwa na wakati na wala usije shangaa kwamba mimi hapa huwajibu watu wakati nikiandika sina muda wa kufikiri nje maana kila kitu kipo kichwani tayari...

Leo hii niweke mtetezi wa Lowassa ktk mdahalo nina hakika nitawaangusha wengi kwa sababu najua kupanga hoja, kuzijibu na kutafuta loopholes za udadisi, nimeisomea kazi yangu ya Ukachero mdogo wa mitaani najua uwezo wangu hata ukiniweka upande wowote ule wa mjadala. Hivyo Nakutaarifu tu uchaguzi wa Mnyika haukuwa wa busara unless chama kitamwondolea majukumu mengineyo. Hivi kwani Mbunge wa Kawe ana kazi gani zaidi maanake siwaoni wanawake kuhusishwa zaidi?.. nakuomba chukulia mawazo yangu kama mtu mwenye kutazama mbali na sii ushabiki utanielewa sana.
 
Ni kipimo kipi kilichotumika ikiwa Mnyika mwenyewe kwa kauli yake kisha sema ana majukumu mengi ametingwa hawezi kuwepo mtandaoni mara kwa mara..

Mkuu wangu hata siku moja usidharau nguvu ya mtandao na wala usiseme Mwanakijiji au Mzee Es hawezi kukitetea chama au kukitangaza chama maana nguvu yote ya utangazaji dunia hii ni kupitia vyombo vya habari na sio microphone. Dunia hiyo ya kina Makamba na imepitwa na wakati na wala usije shangaa kwamba mimi hapa huwajibu watu wakati nikiandika sina muda wa kufikiri nje maana kila kitu kipo kichwani tayari...

Leo hii niweke mtetezi wa Lowassa ktk mdahalo nina hakika nitawaangusha wengi kwa sababu najua kupanga hoja, kuzijibu na kutafuta loopholes za udadisi, nimeisomea kazi yangu ya Ukachero mdogo wa mitaani najua uwezo wangu hata ukiniweka upande wowote ule wa mjadala. Hivyo Nakutaarifu tu uchaguzi wa Mnyika haukuwa wa busara unless chama kitamwondolea majukumu mengineyo. Hivi kwani Mbunge wa Kawe ana kazi gani zaidi maanake siwaoni wanawake kuhusishwa zaidi?.. nakuomba chukulia mawazo yangu kama mtu mwenye kutazama mbali na sii ushabiki utanielewa sana.

Mkuu umeongea jambo la msingi sana.
Mimi namkubali Mnyika ila apunguziwe hivyo vyeo vingine ili aweze kuwa na muda wa kutosha kuhudumia chama kwa ufanisi zaidi.
 
Hapa JF wamejaa tele yaani siwezi hata kuwamaliza... na wameonyesha uwezo mkubwa sana ktk kukitetea chama. Na tuache siasa za makundi wapo kina Ben, Lwakatale, Feedback, Sikonge, Lunyungu, Mwita Maranya na wengine watu wazima wapo ktk media kila kukicha...

hawa wana tofauti gani na Tumbo
 
Mkandara your idea is good but not very practical.

Tofautisha kushinda JF ukishusha nondo na ku face the reality on ground, kunatakiwa ujasiri wa ziada si huu unaobishana na mtu nyuma ya laptop huku umelala kitandani, nafikiri tukikupa wewe siku ya pili utaomba kujiuzulu. Sikatai kuwa kuna vijana wanaweza lakini swala si kuweza tu wajitokeze basi, na wala si kujitokeza tu je wanakubalika na jamii? je ideology zao zinaendana na za chama? maana unaweza kuta mchangiaji mzuri humu JF lakini ideology yake hai-fit kwenye hivi vyama labda ni kati ya wanaotaka mgombea binafsi, au ni mchangiaji mzuri JF lakini management/leadership hawezi na vitu kama hivyo.
Uenezi ni kutoa habari, mara nyingi siyo cheo cha kisiasa, siyo cheo cha kudhurura na kutoa hotuba kama Nape...
CCM washaambiwa hilo.
Uenezi can be done by a third party company... like PR companies that are mushrooming all over the world but not here in Tz sijui kwanini.
Uenezi ni pamoja na uchapishaji wa leaflets, kuandaa mikutano na kuipublicize, kuwaandalia viongozi wa chama interviews kwenye vyombo vya habari like BBC, CNN,NBC.....
Kuanzisha vijarida, TV streams, internet radios etc etc.. siyo kubwabwaja, hayo huachiwa wanasiasa.
Uliza JK alipataje spot ya kukutana na Obama, interview ya CNN na CNBC... through PR companies that has nothing to do with siasa.
Makambas mdogo alipataje spot kwenye gazeti la Economist......
Zitto naona naye ameshtukia game ya PR, tunamuona sana kwenye magazeti huku compared to let say Lema au Mbowe, Slaa.
Uenezi wa twitter na FB ni kawaida siku hizi.... You guys need experts not politicians.
 
Uenezi ni kutoa habari, mara nyingi siyo cheo cha kisiasa, siyo cheo cha kudhurura na kutoa hotuba kama Nape...
CCM washaambiwa hilo.
Uenezi can be done by a third party company... like PR companies that are mushrooming all over the world but not here in Tz sijui kwanini.
Uenezi ni pamoja na uchapishaji wa leaflets, kuandaa mikutano na kuipublicize, kuwaandalia viongozi wa chama interviews kwenye vyombo vya habari like BBC, CNN,NBC.....
Kuanzisha vijarida, TV streams, internet radios etc etc.. siyo kubwabwaja, hayo huachiwa wanasiasa.
Uliza JK alipataje spot ya kukutana na Obama, interview ya CNN na CNBC... through PR companies that has nothing to do with siasa.
Makambas mdogo alipataje spot kwenye gazeti la Economist......
Zitto naona naye ameshtukia game ya PR, tunamuona sana kwenye magazeti huku compared to let say Lema au Mbowe, Slaa.
Uenezi wa twitter na FB ni kawaida siku hizi.... You guys need experts not politicians.
Wee waulize hawa hawa kama wananjua Robert Gibbs ktk siasa za Marekani..wachache sana wanamjua, wengine utaona wanakimbilia Google kwa sababu tumezoea siasa za kujuana...

I'm Sorry Dr.Slaa nadhani ktk hili kachemsha maana uwezo pekee hauwezi kuwa kigezo bali nafasi muda na kuelewa vyanzo vipi unatakiwa wakati muafaka na sii kusubiri vitu vimekwisha tokea kama zilivyo siasa za Bongo. Unaanda mikakati mbele ya safari na inahitaji muda mkubwa sana na ujuzi wa kazi hiyo jambo ambalo vyama vyetu vina mapungufu sehemu zote hizi.
 
Japokuwa watu wengi wanaweza wasielewe unachokisema Mkandara kwa ajili ya mapenzi waliyonayo juu ya Mnyika lakini ni jambo muhimu sana ambalo lilitakiwa kutafakariwa kwa undani na Chadema kabla ya kufanya uteuzi.
Mnyika mara kadhaa anasema kwamba yuko busy anashindwa kuwa available, kwa maana hiyo kumuongezea majukumu mimi naona ni kumpunguzia ufanisi.
Kila la kheri Mnyika kwenye majukumu yako mapya

Ni kipimo kipi kilichotumika ikiwa Mnyika mwenyewe kwa kauli yake kisha sema ana majukumu mengi ametingwa hawezi kuwepo mtandaoni mara kwa mara..

Mkuu wangu hata siku moja usidharau nguvu ya mtandao na wala usiseme Mwanakijiji au Mzee Es hawezi kukitetea chama au kukitangaza chama maana nguvu yote ya utangazaji dunia hii ni kupitia vyombo vya habari na sio microphone. Dunia hiyo ya kina Makamba na imepitwa na wakati na wala usije shangaa kwamba mimi hapa huwajibu watu wakati nikiandika sina muda wa kufikiri nje maana kila kitu kipo kichwani tayari...

Leo hii niweke mtetezi wa Lowassa ktk mdahalo nina hakika nitawaangusha wengi kwa sababu najua kupanga hoja, kuzijibu na kutafuta loopholes za udadisi, nimeisomea kazi yangu ya Ukachero mdogo wa mitaani najua uwezo wangu hata ukiniweka upande wowote ule wa mjadala. Hivyo Nakutaarifu tu uchaguzi wa Mnyika haukuwa wa busara unless chama kitamwondolea majukumu mengineyo. Hivi kwani Mbunge wa Kawe ana kazi gani zaidi maanake siwaoni wanawake kuhusishwa zaidi?.. nakuomba chukulia mawazo yangu kama mtu mwenye kutazama mbali na sii ushabiki utanielewa sana.
 
Ni kipimo kipi kilichotumika ikiwa Mnyika mwenyewe kwa kauli yake kisha sema ana majukumu mengi ametingwa hawezi kuwepo mtandaoni mara kwa mara..

Mkuu wangu hata siku moja usidharau nguvu ya mtandao na wala usiseme Mwanakijiji au Mzee Es hawezi kukitetea chama au kukitangaza chama maana nguvu yote ya utangazaji dunia hii ni kupitia vyombo vya habari na sio microphone. Dunia hiyo ya kina Makamba na imepitwa na wakati na wala usije shangaa kwamba mimi hapa huwajibu watu wakati nikiandika sina muda wa kufikiri nje maana kila kitu kipo kichwani tayari...

Leo hii niweke mtetezi wa Lowassa ktk mdahalo nina hakika nitawaangusha wengi kwa sababu najua kupanga hoja, kuzijibu na kutafuta loopholes za udadisi, nimeisomea kazi yangu ya Ukachero mdogo wa mitaani najua uwezo wangu hata ukiniweka upande wowote ule wa mjadala. Hivyo Nakutaarifu tu uchaguzi wa Mnyika haukuwa wa busara unless chama kitamwondolea majukumu mengineyo. Hivi kwani Mbunge wa Kawe ana kazi gani zaidi maanake siwaoni wanawake kuhusishwa zaidi?.. nakuomba chukulia mawazo yangu kama mtu mwenye kutazama mbali na sii ushabiki utanielewa sana.
Mkandara, politicsis not so straight that when you substitute X you get Y.

Ku-judge watu kwa kuangalia wanavyojibu JF is not enough to call them politicians, nimeshangaa sana hata mimi umeniweka kwenye uanasiasa, kwa mtazamo wako that proves you wrong, siwezi kuwa mwanasiasa kwa kuchangia sana kwenye mtandao. Kitu kingine unachochanganya ni mitandao na watumia mitandao au owners, hakuna anayedharau mitandao lakini mtu kusikika sana kwenye mtandao si kuwa yeye ni msemaji mzuri inawezekana anasikika kwa vile ni mtandao wake, kama Mengi anavyotangazwa kila anapokwenda ni makosa kudhani Mengi ni mwanasiasa.

Mnyika kusema yuko busy hawezi kuwepo muda mrefu JF si kuwa hawezi kazi za uenezi, katibu mwenezi si kushinda JF au mitandaoni, ni strategies, plans na vision aliyonayo kwa chama, unaweza kushinda na kulala mitandaoni ukachemsha vile vile. Halafu mtandao unachoma kotekote ukiutumia vibaya una kumaliza kwa sababu si kila kitu lazima kiwekwe mtandaoni. Mkandara, narudia tena sidharau mitandao but you have to know how to utilize them, media lies, it is a weapon to handle with care.
 
Natoa pongezi kwa Mnyika kuteuliwa kwake umefuata vigezo maalumu alivyonavyo Mnyika pia na ni Muda mwafaka kwa chama kutengeneza mazingira ya Ushindi wa kuteua au kuchagua viongoz makini na wenye uzoefu kwenye chama sio chipukizi tu.Hivyo Mnyika una jukumu la kutengeneza mtandao maalum ili kufikisha uimara wa chama vijijini na hili utaliweza kwa kushirikiana pamoja na mtandao wa matiwi ya chama ktk vyuo vikuu nchini .Hao wanaosema kwamba Mnyika asingepewa coz eti ana majukumu mengi hao ni maadui wa CDM ambao wanajua Vyema kujituma,umahili na umaridadi alionao Mnyika katika kuchapa kazi yoyote ile.Pia Nashukuru sana katibu mkuu kumuona Mnyika anafaa hapo chama kimepata jembe litakalo lima bila kujali ugumu wa ardhi au jembe litakalo pambana na jiwe ambalo liko ardhini bila kuonekana.Big up Mnyika.MUNGU IBARIKI CHADEMA NA MUNGU IBARIKI TANZANIA TUNAYOITAKA.AMENI
 
Uenezi ni kutoa habari, mara nyingi siyo cheo cha kisiasa, siyo cheo cha kudhurura na kutoa hotuba kama Nape...
CCM washaambiwa hilo.
Uenezi can be done by a third party company... like PR companies that are mushrooming all over the world but not here in Tz sijui kwanini.
Uenezi ni pamoja na uchapishaji wa leaflets, kuandaa mikutano na kuipublicize, kuwaandalia viongozi wa chama interviews kwenye vyombo vya habari like BBC, CNN,NBC.....
Kuanzisha vijarida, TV streams, internet radios etc etc.. siyo kubwabwaja, hayo huachiwa wanasiasa.
Uliza JK alipataje spot ya kukutana na Obama, interview ya CNN na CNBC... through PR companies that has nothing to do with siasa.
Makambas mdogo alipataje spot kwenye gazeti la Economist......
Zitto naona naye ameshtukia game ya PR, tunamuona sana kwenye magazeti huku compared to let say Lema au Mbowe, Slaa.
Uenezi wa twitter na FB ni kawaida siku hizi.... You guys need experts not politicians.
Simply wewe huzijui siasa za bongo mwisho utasema anaweza akatuma hata mkanda wa video hata tape recoder kwenye mikutano na yeye asiende.
 
Mkandara, politicsis not so straight that when you substitute X you get Y.

Ku-judge watu kwa kuangalia wanavyojibu JF is not enough to call them politicians, nimeshangaa sana hata mimi umeniweka kwenye uanasiasa kwa mtazamo wako that proves you wrong, siwezi kuwa mwanasiasa kwa kuchangia sana kwenye mtandao. Kitu kingine unachochanganya ni mitandao na watumia mitandao au owners, hakuna anayedharau mitandao lakini mtu kusikika sana kwenye mtandao si kuwa yeye ni msemajimzuri inawezekana anasikika kwa vile ni mtandao wake, kama Mengi anavyotangazwa kila anapokwenda ni makosa kudhani Mengi ni mwanasiasa.

Mnyika kusema yukobusy hawezi kuwepo muda mrefu JF si kuwa hawezi kazi za uenezi, katibu mwenyezisi kushinda JF au mitandaoni, ni strategies, plans na vision aliyonayo kwachama, unaweza kushinda na kulala mitandaoni ukachemsha vile vile. Halafu mtandao unachoma kotekote ukiutumia vibaya una kumaliza kwa sababu si kila kitulazima kiwekwe mtandaoni Mkandara, narudia tena sidharau mitandao but you have to know how to utilize them, media lies, it is a weapon to handle with extra care.
Hapana mkuu wangu wewe nadhani ndio unapotoka maana hata Rais anapotoa hotuba huandikwa na watu ambao hawapo ktk siasa. Press Scretary wa Obama au Romney, Ron Paul na wengineo hawa sii wanasiasa kwa jinsi unavyowafikiria bali hawa ni watu wanajua mbinu za kupanga vitu kisomi na utaalam maana kiongozi wake tayari anazo nyenzo za kisiasa..

Mnyika ni mwanaSiasa, mbunge mwenyekiti sijui waziri kivuli hivyo ni vigumu sana yeye kuweza kuwa na muda wa kuyafanya yote haya. Mathlan, Hivi Salva ni mwanasiasa kwa mtazamo wako au mapungufu yake yanatokana na kutokuwa mwanasiasa?...Sio lazima Mnyika ndiye awe anajibu kama alivyosema Soby bali kuandaa shughuli za chama iwe mahojiano, makutano na kadhalika. Na kwa mfano unapo chat na Obama Tweet au JK haina maana huyo ni Obama au JK mwenyewe bali ni imetokana na maadalizi yamefanya ktk idara yake ya mawasiliano..

Sina uhakika Mnyika atakuwa na muda huo wa kushinda makao makuu akiweka mikakati ya chama wakati ana majukumu Ubungo, bungeni sijui uwaziri kivuli wakati wapo watu Chadema wamesoma na hata kama hawaelewi somo hili, wataiweka kazi kama wataelekezwa vizuri kwani huyo Mnyika katokea wapi jamani?

Mkuu huku majuu maadam una elimu tosha, ari na uwezo unao kinachotakiwa ni maelekezo ambayo msomi anaweza chukua nyaraka akazisoma nyumbani kujua kazi zake. Wewe unaweza na wengine wote nilowataja wanaweza hata huyo Tumbo anayedharauliwa naweza ndio maana kachaguliwa nafasi nyingine.

Again why tunakazania hili? Mnyika kisha chaguliwa haina neno lakini nasema hivi mna mzeesha dogo mapema kwa kumpa majukumu makubwa wakati muda wenyewe hana.....Ni ushauri tu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom