Dr. Slaa alimburuza tu, ila Mbowe hakuchukia ufisadi

THINKINGBEING

JF-Expert Member
Aug 9, 2010
2,779
1,304
Ushahidi unajidhihirisha Mbowe hakuwa akichukia mafisadi wala ufisadi bali yeye pamoja na baadhi ya viongozi wa CHADEMA waliburuzwa tu kufanya hivyo na Dr. Slaa.

Baada ya Dr. Slaa kuondoka Mbowe na wenzake wameamua kuonesha sura zao kamili dhidi ya ufisadi watanzania wameona na dunia nzima imeona.
Dr. Slaa aliondoka na Lowassa kuingia kwa mfano ule wa Wayahudi kuchagua afunguliwe nani kati ya Baraba na Yesu. Mpaka sasa sababu za kumtaka Lowassa dhidi ya Dr Slaa ni fumbo la imani ndani ya CHADEMA.

Baada tu ya kufanikiwa kumuondosha Dr. Slaa na kumkabidhi chama Lowassa ndipo chama kilipotangaza misimamo yake mipya na inayokinzana sana na ile ya mwanzo.

Chama kupitia Lowassa kilipiga marufuku kuwasema hovyo mafisadi. Kilisema ukiwa na ushahidi wa fisadi upeleke mahakamani kama huwezi funga mdomo wako.

Na sasa Mbowe ameenda mbali zaidi na kutangazia umma kuwa kinyume na hatua yoyote ambayo Magufuli ataichukua dhidi ya mafisadi. Mbowe ameamua kutetea maslahi ya mafisadi kwa nguvu zake zote.

Awali Magufuli alipoanza kuchukua hatua dhidi ya wakwepa kodi Lowassa alisema anaonea wanachadema. Yani alimaanisha wanachadema ni wakwepa kodi na hawapaswi kubugudhiwa wakifanya hivyo.

Huu ni ushahidi tosha kwamba ile misimamo ya awali haikutoka kwa Mbowe bali kwa kinara wa vita dhidi ya ufisadi Dr. Wilbrod Peter Slaa.
Uishi maisha marefu Dr Slaa.
 
Ushahidi unajidhihirisha Mbowe hakuwa akichukia mafisadi wala ufisadi bali yeye pamoja na baadhi ya viongozi wa CHADEMA waliburuzwa tu kufanya hivyo na Dr. Slaa.

Baada ya Dr. Slaa kuondoka Mbowe na wenzake wameamua kuonesha sura zao kamili dhidi ya ufisadi watanzania wameona na dunia nzima imeona.
Dr. Slaa aliondoka na Lowassa kuingia kwa mfano ule wa Wayahudi kuchagua afunguliwe nani kati ya Baraba na Yesu. Mpaka sasa sababu za kumtaka Lowassa dhidi ya Dr Slaa ni fumbo la imani ndani ya CHADEMA.

Baada tu ya kufanikiwa kumuondosha Dr. Slaa na kumkabidhi chama Lowassa ndipo chama kilipotangaza misimamo yake mipya na inayokinzana sana na ile ya mwanzo.

Chama kupitia Lowassa kilipiga marufuku kuwasema hovyo mafisadi. Kilisema ukiwa na ushahidi wa fisadi upeleke mahakamani kama huwezi funga mdomo wako.

Na sasa Mbowe ameenda mbali zaidi na kutangazia umma kuwa kinyume na hatua yoyote ambayo Magufuli ataichukua dhidi ya mafisadi. Mbowe ameamua kutetea maslahi ya mafisadi kwa nguvu zake zote.

Awali Magufuli alipoanza kuchukua hatua dhidi ya wakwepa kodi Lowassa alisema anaonea wanachadema. Yani alimaanisha wanachadema ni wakwepa kodi na hawapaswi kubugudhiwa wakifanya hivyo.

Huu ni ushahidi tosha kwamba ile misimamo ya awali haikutoka kwa Mbowe bali kwa kinara wa vita dhidi ya ufisadi Dr. Wilbrod Peter Slaa.
Uishi maisha marefu Dr Slaa.
Mbona Mbowe ni fisadi anaejulikana hapa mjini ? Anatafuna pesa za chama miaka mingi wala sio siri
 
chama cha upinzani kinachotetea mafisadi cha kwanza duniani ni chadema. wameamua kuchagua njia ngumu sana ambayo hawatafika. mbowe hajali chochote na wanachama wake wamejitoa ufahamu, hakuna kiongozi wa chadema anaweza kumkosoa mbowe, kwao mbowe ni malaika, ila mabingwa wakuona watu wengine mashetwani. hii inathibitisha kwamba ccm is the best political party of the all time, viongozi wanatawala then wanasepa no one will stay there forever!
 
Dr. Aliyeishi kwa shida hapa Tanzania mpaka kufikia hatua ya kushindia mihogo, sasa yuko ughaibuni anatumbua fedha za CCM.
Tangu Dr. Silaa ameondoka Chadema, pengo lake ni wazi na dhahiri.
Ilishindikana kumpata katibu mpya ndani ya siku 90 kama inavyopasa kikatiba.
Shida kubwa hii.
Anayebeza mchango wa Dr. Silaa kwa Chadema atapuuzwa tu na umma.
 
slaa ni mpuuz hakuondoka na yeyote zaidi ya malaya wake....
alishindwa kanisani
akashidwa kwa rose kamili
ameshindwa ccm akashindwa cdm ni mpuuz kuliko kim.... ba langu
Aaaah wewe...twaijua Chadema kabla ya Dr. Silaa, baada ya Dr. Silaa na baada ya Dr. Silaa.
Uaifikiri kwa kuwa katibu wa sasa hivi ni Dr. (wa usingizi) ni sawa na Dr. Silaa.
Kuwa na nidhamu na heshimu michango ya watu hata kama mlitofautiana baadaye.
 
Ushahidi unajidhihirisha Mbowe hakuwa akichukia mafisadi wala ufisadi bali yeye pamoja na baadhi ya viongozi wa CHADEMA waliburuzwa tu kufanya hivyo na Dr. Slaa.

Baada ya Dr. Slaa kuondoka Mbowe na wenzake wameamua kuonesha sura zao kamili dhidi ya ufisadi watanzania wameona na dunia nzima imeona.
Dr. Slaa aliondoka na Lowassa kuingia kwa mfano ule wa Wayahudi kuchagua afunguliwe nani kati ya Baraba na Yesu. Mpaka sasa sababu za kumtaka Lowassa dhidi ya Dr Slaa ni fumbo la imani ndani ya CHADEMA.

Baada tu ya kufanikiwa kumuondosha Dr. Slaa na kumkabidhi chama Lowassa ndipo chama kilipotangaza misimamo yake mipya na inayokinzana sana na ile ya mwanzo.

Chama kupitia Lowassa kilipiga marufuku kuwasema hovyo mafisadi. Kilisema ukiwa na ushahidi wa fisadi upeleke mahakamani kama huwezi funga mdomo wako.

Na sasa Mbowe ameenda mbali zaidi na kutangazia umma kuwa kinyume na hatua yoyote ambayo Magufuli ataichukua dhidi ya mafisadi. Mbowe ameamua kutetea maslahi ya mafisadi kwa nguvu zake zote.

Awali Magufuli alipoanza kuchukua hatua dhidi ya wakwepa kodi Lowassa alisema anaonea wanachadema. Yani alimaanisha wanachadema ni wakwepa kodi na hawapaswi kubugudhiwa wakifanya hivyo.

Huu ni ushahidi tosha kwamba ile misimamo ya awali haikutoka kwa Mbowe bali kwa kinara wa vita dhidi ya ufisadi Dr. Wilbrod Peter Slaa.
Uishi maisha marefu Dr Slaa.
Ahya tayari tumekusikia nenda kachukue buku 7 lumumba ule na wajomba zako
 
Ushahidi unajidhihirisha Mbowe hakuwa akichukia mafisadi wala ufisadi bali yeye pamoja na baadhi ya viongozi wa CHADEMA waliburuzwa tu kufanya hivyo na Dr. Slaa.

Baada ya Dr. Slaa kuondoka Mbowe na wenzake wameamua kuonesha sura zao kamili dhidi ya ufisadi watanzania wameona na dunia nzima imeona.
Dr. Slaa aliondoka na Lowassa kuingia kwa mfano ule wa Wayahudi kuchagua afunguliwe nani kati ya Baraba na Yesu. Mpaka sasa sababu za kumtaka Lowassa dhidi ya Dr Slaa ni fumbo la imani ndani ya CHADEMA.

Baada tu ya kufanikiwa kumuondosha Dr. Slaa na kumkabidhi chama Lowassa ndipo chama kilipotangaza misimamo yake mipya na inayokinzana sana na ile ya mwanzo.

Chama kupitia Lowassa kilipiga marufuku kuwasema hovyo mafisadi. Kilisema ukiwa na ushahidi wa fisadi upeleke mahakamani kama huwezi funga mdomo wako.

Na sasa Mbowe ameenda mbali zaidi na kutangazia umma kuwa kinyume na hatua yoyote ambayo Magufuli ataichukua dhidi ya mafisadi. Mbowe ameamua kutetea maslahi ya mafisadi kwa nguvu zake zote.

Awali Magufuli alipoanza kuchukua hatua dhidi ya wakwepa kodi Lowassa alisema anaonea wanachadema. Yani alimaanisha wanachadema ni wakwepa kodi na hawapaswi kubugudhiwa wakifanya hivyo.

Huu ni ushahidi tosha kwamba ile misimamo ya awali haikutoka kwa Mbowe bali kwa kinara wa vita dhidi ya ufisadi Dr. Wilbrod Peter Slaa.
Uishi maisha marefu Dr Slaa.
Anahitaji house boy nenda kachangamkie hiyo fursa
 
Chadema/Ukawa ingekuwa haiwapasui vichwa mngeagiza yale magari 700 ya maji ya kuwasha au mngepiga marufuku mita 200,au mfano mwingine mzuri ni hapo Zanzibar mngefuta uchaguzi na kutangaza marudio nini kimewasukuma kufanya hayo yote.
 
Back
Top Bottom