nimesoma gazeti la daily nation la leo wakenya wanalalamika kuwa watz wanaenda kenya wanasoma kwenye shule za serikali bure. shule nyingi hasa za mipakani zimefurika. wanalaumu kuwa inakuwaje serikali yao inaogopa kutoa elimu ya bure halafu wao wagharamie? dr slaa alisema inawezekana ccm wakasema haiwezekani halafu kwa aibu tunakimbilia kenya. shame on ccm