KYAMTUNDU
JF-Expert Member
- Mar 7, 2013
- 1,820
- 294
Kuna ugomvi kati ya wachagga na wairaki. Wachagga walitaka Mbowe agombee. Hivyo kuonesha hasira zao ndo wakaamua kumpigia JK
Halafu ukute Kuna mtu anakuita Baba, mme eti?!
Dah, hasara hii
Kuna ugomvi kati ya wachagga na wairaki. Wachagga walitaka Mbowe agombee. Hivyo kuonesha hasira zao ndo wakaamua kumpigia JK
Mkuu Lizaboni tatizo hawapendi ukweli, wanafikiri kujadili JF ndio inachukuwa taswira ya nchi nzima ilivyo.........baada ya uchaguzi wao povu tu kwamba kura zimeibwa.Mkuu, wewe ndo una akili finyu ambaye upo kupingana na ukweli