Msafara wa Katibu Mkuu, Dkt. Wilbroad Slaa unapokelewa kwa bashasha Wilaya ya Buhingwe, ambapo leo atakuwa na mikutano katika jJmbo la Manyovu.
Wananchi wamejipanga njiani hapa wakinyoosha vidole viwili na kushangilia kila Dkt. Slaa anapowapungia mkono.
Msafara wa pikipiki ndiyo nao ndiyo 'unaunga' hapa kumpokea Katibu Mkuu, kilometa kama 18 kutoka mjini.
Kuna ari kubwa sana ya wanaCHADEMA na wananchi kwa ujumla.
Updates....
Tumemaliza mkutano wa kwanza katika Kijiji cha Janda, Jimbo la Manyovu, wilayani Buhingwe, Mkoa wa Kigoma. Ulikuwa umefana sana na watu wamechangamka wakifurahia mkutano kila dakika inayokwenda.
Sasa msafara unasonga mbele kwenda mkutano wa pili.
Updates No 2.....
Msafara umewasili eneo la Mnanila unapofanyika mkutano wa pili kitambo na hatimaye sasa Dkt. Slaa yuko jukwaani akizungumza na wananchi.
Anazungumzia siku ya uhuru na dhana ya uhuru!
Source: Tumaini Makene Afisa Mkuu wa Habari CHADEMA.
Wananchi wamejipanga njiani hapa wakinyoosha vidole viwili na kushangilia kila Dkt. Slaa anapowapungia mkono.
Msafara wa pikipiki ndiyo nao ndiyo 'unaunga' hapa kumpokea Katibu Mkuu, kilometa kama 18 kutoka mjini.
Kuna ari kubwa sana ya wanaCHADEMA na wananchi kwa ujumla.
Updates....
Tumemaliza mkutano wa kwanza katika Kijiji cha Janda, Jimbo la Manyovu, wilayani Buhingwe, Mkoa wa Kigoma. Ulikuwa umefana sana na watu wamechangamka wakifurahia mkutano kila dakika inayokwenda.
Sasa msafara unasonga mbele kwenda mkutano wa pili.
Updates No 2.....
Msafara umewasili eneo la Mnanila unapofanyika mkutano wa pili kitambo na hatimaye sasa Dkt. Slaa yuko jukwaani akizungumza na wananchi.
Anazungumzia siku ya uhuru na dhana ya uhuru!
Source: Tumaini Makene Afisa Mkuu wa Habari CHADEMA.