Katibu mkuu wa CHADEMA Dr. Slaa amesema kunabaadhi ya viongozi ndani ya Chama ambao wamekuwa wakizuia jitihada za Chama hicho za kuchukuwa dola.
Habari kamili Soma Habari leo.
Wanao weweseka ni hao wenye dola lakini bado hawajiamini wanatumia miguvu kibao kuzima Mikutano ya CDMKwani uchaguzi tayari mbona ananza kuweweseka
Vijana wenyewe ni Kama wakina dada Makupa na MajebereNa bado
huyu mzee kila siku ni kulaumu watu tu.
Nani alikuambia CDM kuna zamu wewe ndiye msemaji wa Chama? Mtoto Mdogo lakini unakuwa na harufu za kizee kwa vile muda wote unashinda na vizee vya ccmHata aseme nini,safari hii anawekwa pembeni, zamu ya Mbowe au Zitto, anachafua chama huyu mropokaji.
Hata aseme nini,safari hii anawekwa pembeni, zamu ya Mbowe au Zitto, anachafua chama huyu mropokaji.
Wanao weweseka ni hao wenye dola lakini bado hawajiamini wanatumia miguvu kibao kuzima Mikutano ya CDM
CDM hawana mikutano ni vurugu tu mbona hawafanyi mikutano ya ndani ya chama na kufanya chaguzi za viongozi.Wanao weweseka ni hao wenye dola lakini bado hawajiamini wanatumia miguvu kibao kuzima Mikutano ya CDM
Hata aseme nini,safari hii anawekwa pembeni, zamu ya Mbowe au Zitto, anachafua chama huyu mropokaji.
Mikutano ndani ya Chama ndio itakayotupa kura ? CDM Chama ni cha wananchi siyo viongozi na mafisadi Kama kilivyo ccmCDM hawana mikutano ni vurugu tu mbona hawafanyi mikutano ya ndani ya chama na kufanya chaguzi za viongozi.
Ccm wao walishawahi kupanda zaidi ya kuvuna tokea uhuru?Tatizo lenu cdm mnataka kupanda leo na kuvuna leo hicho kitu akipo duniani
Katibu mkuu wa CHADEMA Dr. Slaa amesema kunabaadhi ya viongozi ndani ya Chama ambao wamekuwa wakizuia jitihada za Chama hicho za kuchukuwa dola.
Habari kamili Soma Habari leo.
Hata aseme nini,safari hii anawekwa pembeni, zamu ya Mbowe au Zitto, anachafua chama huyu mropokaji.