Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
Ndugu wana JF,
Baada ya maongezi magumu ya kumuomba Mh. Dr.Slaa kukaa hapa na kujibu maswali ya aina yeyote ile yanayohusu Chadema na Upinzani, hatimaye amekubali rasmi kwamba atajibu kila swali litakalotolewa hapa. Yeye ameamua kuongea na Watanzania wa kada yetu kwa njia hii na ataendelea kuongea na wa kada nyingine kwa mazingira mengine yatakayofaa. Amekubali kuanza na sisi hapa.
Ameniomba niwaambie kuwa wavumilivu baada ya maswali yenu maana muda wake ni mchache na safari na kazi nyingi. Lakini amekubali kuendeleza mahojiano nasi. Ninaomba sasa kila mwenye swali lake, siku zote tumekuwa tunajiuliza na labda anakuja kuchangia na kuondoka lakini sasa atakuwa hapa kila anapoweza kujibu maswali yetu sote.
Karibuni tuweke maswali na Dr.Slaa asante in advance kwa kutukubalia kufanya hili.
UPDATED:
Majibu ya Dr. Slaa yanaanzia hapa na kuendelea
Baada ya maongezi magumu ya kumuomba Mh. Dr.Slaa kukaa hapa na kujibu maswali ya aina yeyote ile yanayohusu Chadema na Upinzani, hatimaye amekubali rasmi kwamba atajibu kila swali litakalotolewa hapa. Yeye ameamua kuongea na Watanzania wa kada yetu kwa njia hii na ataendelea kuongea na wa kada nyingine kwa mazingira mengine yatakayofaa. Amekubali kuanza na sisi hapa.
Ameniomba niwaambie kuwa wavumilivu baada ya maswali yenu maana muda wake ni mchache na safari na kazi nyingi. Lakini amekubali kuendeleza mahojiano nasi. Ninaomba sasa kila mwenye swali lake, siku zote tumekuwa tunajiuliza na labda anakuja kuchangia na kuondoka lakini sasa atakuwa hapa kila anapoweza kujibu maswali yetu sote.
Karibuni tuweke maswali na Dr.Slaa asante in advance kwa kutukubalia kufanya hili.
UPDATED:
Majibu ya Dr. Slaa yanaanzia hapa na kuendelea