Recta
JF-Expert Member
- Dec 8, 2006
- 855
- 38
Mkuu, swali lako ni zuri sana. Ila ninavyofahamu ni kuwa, vyama vyote vya siasa vimeundwa kwa ajili ya kushinda uchaguzi na kuunda serikali, kama mojawapo ya madhumuni makuu.Mh Slaa,
Pole na kazi, ningependa fahamu kwani hamuwezi fanya maendeleo yoyote yenye kulenga kuwanufaisha watanzania?kwani ni lazima muingie ikulu ndo mtufanyie hayo maendeleo mnayosema?
Ngoja tusikie majibu ya Mh. Dr. W. Slaa. Inawezekana CHADEMA ina malengo tofauti.