Narubongo
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 2,768
- 2,750
Hii habari kaandika yeye mwenyewe na kujijibu kwa kujiita ANONY.
Siyo gazeti hilo ila ni BLOG.......
Jamaa Msh***** sana huyu kwa kutumia jina la MAJIRA na kudanganya watu hapa....
Habari ipo hapa: GAZETI HURU LA KILA SIKU:: Heche aibuka kidedea BAVICHA
kishongo ni %$%&$ sana hii ni blog yake hlf amecopy msg aliyoituma huko na kuja kuipost hapa
2 Maoni:
Anonymous said...
hakuna kitu hapo.hebu angalia hii undugu,kujuana, Rushwa na Viongozi kupanga Safu yao. Hawa wa Mbowe, hawa wa Zito. Waliobaki lazima walikuwa wa Slaa. angalia pia hili CHADEMA kila siku kelele kuhusu Rushwa, hivi kweli Mtu kama Mbowe ataacha hiyo? kama kwenye kampuni zake halipi kodi na kwenye Chama anawachakachua kwa kuwauzia Magari Chakavu itakuwa kwenye Uchaguzi wa Vijana? hakuna Demokrasia ndani ya Chadema ni Uhuni tu na Undugu uliojaa huko. Watanzania hatuwezi kufanya kosa kuwaweka Madarakani Chama kama hiki. Mbona Visiwani hamtii Mguu huko? inaeleweka Wazanzibar hawataki ubabaishaji walishawakataa Mapeema kabisa. hiyo pia inawanyima sifa ya kutawala. haya ni Machache tu, Siri na Mambo wanayoyafanya tunayo na tunayajua. 2015 kiboko ni kama 2010.
May 30, 2011 12:02 AM