Nyambala
JF-Expert Member
- Oct 10, 2007
- 4,465
- 1,170
Wakuu ni jambo la wazi kabisa kwamba tuna tatizo kubwa kabisa kuhusu uchaguzi kwenye jamii yetu. Huu mjadala ni above party politics, nadhani ni muda muafaka tujadili hili suala.
Kama tunakumbuka uchaguzi wa UWT (CCM) ulikuwa na mizengwe, Uchaguzi wa UVCCM mizengwe, Uchaguzi jumuiya ya wazazi CCM mizengwe, primaries za CCM mizengwe. Haya uchaguzi wa BAVICHA mizengwe mpaka ukaahirishwa, umerudiwa tena mizengwe. Uchaguzi mkuu 2010 mizengwe, Uchaguzi meya wa Arusha mizengwe. Chaguzi za maaskofu na madhehebu mbalimbali mizengwe. Chaguzi za maraisi wa vyuo mizengwer. Tuna tatizo gani???????? Je Inamaanisha watanzania bado ni wachanga wa demokrasia au hatujui kupangilia chaguzi, je ni rushwa nadhani suala hili linahitaji mjadala mpana na ikiwezekana lianishwe vizuri ndani ya katiba mpya.
Haiwezekani kila baada ya uchaguzi lazima kuwe na manung'uniko, kulalama na kutoridhika kwa baadhi ya washiriki. Si dhumuni langu kubariki mbinu chafu na ununuzi wa demokrasia lakini nafikiri kama taifa we need to do something on this now!!!! Narudia tena kusema tusilijadili hili katika misingi ya vyama, itikadi, dini, kabila or any identity, tujadili kama watanzania na focus iwe kwenye a true and permanent solution.
Nawakilisha!
Kama tunakumbuka uchaguzi wa UWT (CCM) ulikuwa na mizengwe, Uchaguzi wa UVCCM mizengwe, Uchaguzi jumuiya ya wazazi CCM mizengwe, primaries za CCM mizengwe. Haya uchaguzi wa BAVICHA mizengwe mpaka ukaahirishwa, umerudiwa tena mizengwe. Uchaguzi mkuu 2010 mizengwe, Uchaguzi meya wa Arusha mizengwe. Chaguzi za maaskofu na madhehebu mbalimbali mizengwe. Chaguzi za maraisi wa vyuo mizengwer. Tuna tatizo gani???????? Je Inamaanisha watanzania bado ni wachanga wa demokrasia au hatujui kupangilia chaguzi, je ni rushwa nadhani suala hili linahitaji mjadala mpana na ikiwezekana lianishwe vizuri ndani ya katiba mpya.
Haiwezekani kila baada ya uchaguzi lazima kuwe na manung'uniko, kulalama na kutoridhika kwa baadhi ya washiriki. Si dhumuni langu kubariki mbinu chafu na ununuzi wa demokrasia lakini nafikiri kama taifa we need to do something on this now!!!! Narudia tena kusema tusilijadili hili katika misingi ya vyama, itikadi, dini, kabila or any identity, tujadili kama watanzania na focus iwe kwenye a true and permanent solution.
Nawakilisha!